Ukweli hausemwi. Kilimo cha Parachichi ni kigumu sana na pesa yake ni ndogo

Migomba ilifyekwa mno, misitu ikachomwa moto na kuvunwa hovyo ili wapande maparachichi.

Kwa maana waliopanda mwaka juzi saivi wanalia tu,parachichi liliwafaidisha wale watu wa mwanzo kabisa miaka ya 2011 kidogo mpaka mwaka juzi.
Chini ya mlima Rungwe Mwekezaji alikuja akalima akashawishi na wenyeji pia, ambao humuuzia yeye

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Rahisi kuongeleka

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Nililima heka 50 hizo Hass Ovacado mafinga nilipoangalia gharama msimu wa kwanza nikajikuta nimepata mil 14 ndg zangu hela niliyokua nimeweka pale nilitamani kulia mchozi...ovacado ni shida kubwa sana bora ulime mihogo
Poole asee, Mm mafinga sehemu gani asee

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Tikiti gani uuze hapa Bongo upate Mil 20? [emoji23]

Walianzia mbali Mimi huwa siwasikilizi hata, Mara ufugaji Sungura, Ufugaji wa samaki, Kilimo cha parachichi, tikiti maji, kilimo cha Vanila...then hawakupi kbs soko
Ufugaji wa samaki unashida gani ndugu?
 
Ukiona wanasiasa wanahimiza watu walime zao Fulani. Hilo zao achana nalo, Ni mtego.
Ukiona zao halina bodi Wala wanasiasa hawalisemi ujue Hilo Ni dili na wanasiasa wenyewe watakua wanalilima.
Nikuhakikishie, nchi hii hakuna anayemtakia mwenzie mema.
Umeshawahi kumsikia mwanasiasa akihimiza watu walime viazi vya chips ambavyo vinasoko mwana mzima?
 
Sahihi ndugu, unastahili PhD kabisa wewe. Huo ndio ukweli
 
Mkuuu
Kwa barafu la makete unalizuiaje kwa mfano

Tupe ABC
Hapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.
Mie nsha innovate simple method na naendelea na utafiti kuboresha. Natumia simple method.
Leo nimejifunza njia zingine mbili kutoka kwa wenye akili wanao tumia ubongo.
 
Hapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.
Mie nsha iinivate simple method na baendelea na utafiti kuboresha. Natumua simple method.
Leo nimejifunza njia zingine mbili kutoka kwa wenye akili wanao tumia ubongo.
Story nyingi we sema barafu unaizuiaje simple and clear

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Mkuu viazi vya chipsi havina soko mwaka mzima na hakuna wanasiasa wanalima hilo zao. Nayo ni perishable goods kama matunda tu.
Mda huu nakwambia bei ime drop from elf 80 mpaka elf 40. Ni bora hata kulima avocado kuliko viazi, very expense na wakulima wengi hawapati faida ispokuwa misimu michache tu na mara nyingi ni mwanzo wa msimu.
Viazi mviringo ndio biashara kichaa bora hata avocado.
Naishi kwenye mabonde ya hili zao na nalima. Ni pasua kichwa.
Kilimo chetu kwa ujumla kinachangamoto mtu akitoboa ujue huyo ni mjanja sana na anatumia akili yake vuzuri.
 
Story nyingi we sema barafu unaizuiaje simple and clear

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Tumia akli mkuu. Humu kuna hali ya kudharauliana, hivyo chemsha kichwa.
Zipo njia 5 za kuzuia, 3 zinafafamika 2 nime innovate kwa akili yangu, sijaziona popote.
Parachichi zako zikiungua ndio utazijua, yaani kama wewe kichwa kipo timamu utazijua tu, hutaruhusu ziungue msimu ujao.
mwakani bataka iwe businesses , ntawatembekea watu wanaojielewa niwauzie wazo na vifaa.
Hii ni kwa wale walio ktk barafu kali ambayo haizuiliki kwa njia zilizozoeleka njombe.
Pole mkuu, wajuaji wanasababisha tusiweke solution humu, mwenye dharau muache na dharau yake.
 
Hapa watu wanaona mambo hayawezekani, acga tu wapagawe wafeli wakimbue.
Mie nsha iinivate simple method na baendelea na utafiti kuboresha. Natumua simple method.
Leo nimejifunza njia zingine mbili kutoka kwa wenye akili wanao tumia ubongo.
Tuwekee hapa hizo simple methods nao wajifunze
 
Nnavojua mm
Kiazi ukiuza gunia moja zaidi ya elf 28
Kamwe hupati hasara

Kiazi kikuzwa chini ya elf 23 NDIO maumivu kwa mkulima
 
Hongera, huku nje tunaaninishwa parachichi ni fursa
 
Nikikumbuka kwa bibi kuna mjukuu alishawahi kata miti ya maembe na maparachichi ili kuvuna mbao napata hasira sana. Yule jamaa sintokaa nimwelewe.
Kapande tena, uidraft itawahi kuzaa.
Sojawahi ona miaka hii embe bolibo au dodo inauzwa 100. 3buku.
Embe tu zikifanywa kwa ustadi zinamtoa mtu.
Embae zisizofaa ni sindano zinaoza haraka sana.
Vijana msichelewe, pandeni miti,msisikilize keleke.
 
.
Your browser is not able to display this video.
 
Gharama ya kuzalisha viazi vya kyepe hazimithiriki faida kiduchu... Kuna mazao Yana faida ila ulime kimkakati na pakubwa. Sasa avocado unalima miti 200 unategemea uwe tajiri?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…