Mkuu,siamini kama ni kweli, labda uwe ulifanya kosa moja,la kuanzisha biashara bila soko.
Au vinginevyo,uwe na uelewa mdogo kuhusu masoko.
Kuna mdau mmoja kasema hutompata mtu atakaekushirikisha mafanikio. Soko likiwepo anataka akupige akulize,na usijue soko.
Kama wewe mwenyewe unaweza, au una watu,jaribu kutafuta connection kwenye makampuni yanayouza nchi za nje. Napojua ni Dubai(kwa mjibu wa watu wa nchi jirani wanaopeleka palachichi na viazi mvilingo huko).
Tatizo kubwa,palachichi nchini humu ni nyingi na watumiaji ni wengi.
Kama umelima una shamba,fatilia. Zamani walikuwa wakisafirisha kwa ndege,ila kwa sasa wanatumia meri. Na hakika ni bandari ya Dar. Kama unaweza pata mzigo wa uhakika si tani moja,mbiki tatu, unawauzia wenye export certificates na masoko yao,kikubwa tu ukidhi vigezo.
Au vinginevyo,uwe na uelewa mdogo kuhusu masoko.
Kuna mdau mmoja kasema hutompata mtu atakaekushirikisha mafanikio. Soko likiwepo anataka akupige akulize,na usijue soko.
Kama wewe mwenyewe unaweza, au una watu,jaribu kutafuta connection kwenye makampuni yanayouza nchi za nje. Napojua ni Dubai(kwa mjibu wa watu wa nchi jirani wanaopeleka palachichi na viazi mvilingo huko).
Tatizo kubwa,palachichi nchini humu ni nyingi na watumiaji ni wengi.
Kama umelima una shamba,fatilia. Zamani walikuwa wakisafirisha kwa ndege,ila kwa sasa wanatumia meri. Na hakika ni bandari ya Dar. Kama unaweza pata mzigo wa uhakika si tani moja,mbiki tatu, unawauzia wenye export certificates na masoko yao,kikubwa tu ukidhi vigezo.