Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Mama yake hakuwa mwarabu alikuwa kijakazi mwenye asili ya Afrika huko habeshi(Sasa Ethiopia)soma kwanza historia kabla ya kukurupuka
Sikupingi... Ila Ibrahim alibarikiwa kuwa baba wa mataifa mengi na ismail alienda kuishi uarabuni huko ndiko alikooa na kuzaa koo mbalimbali ndipo waarabu wakamuita baba wa waarabu
 
Waarabu ni marufuku kabisa kufata ukoo wa mama,kwanza mwanamke kule hatakiwi hata kusogea mbele za watu.
Sawa je unafahamu mamake yakobo ni syrian?na kwamba ili aoe Yakobo ilibidi arudi syria kwa mjombake Laban kwa ajili ya kuoa?,kwahiyo kiufupi uzao wa yakobo wote wale wana 12 ni syrian kwa mujinu wa DNA
 
Hu "umoja wa nchi za Kiarabu" ulikuwepo wakati wa Ibrahim?
 
Israeli ni utaifa ambapo ndani ya Israel kuna wayahudi, Wakristo, waislamu, freemason, wapagani.
Naona una maanisha myahudi
 
Unaongelea nchi "israel", ilikuwepo wakati wa Ibrahim?
 
ok sir your wish is my commands..
Go and open Song of solomon 1:5
View attachment 2771651

Suleiman au solomon anasema yeye ni mweusi hapo sasa sema kingne boss.
Nakuja naandaa mafungu kwa ajili ya uzi wako wote nitakupa majibu yake yote ....
Nipe kifungu kuwa Musa ni mweusi
 
Unaongelea nchi "israel", ilikuwepo wakati wa Ibrahim?
Nchi ilikuwepo ila jina ndio limekuja hapo badae

Ni kama unavyosema Chief Mkwawa au Kinjeketile alikuwa Mtanzania wakati miaka hiyo jina Tanzania au nchi hiyo haikuwepo
 
Waisrael halisi hawapo hapo mashariki ya kati wenyewe ni weusi kabisa na wapo tabora igunga na soon watarud ku claim nchi Yao hao wapalestina na hao mamluki apo TelAviv watafute pakwenda
 
Nipe kifungu kuwa Musa ni mweusi
Sasa hiyo ndo tunaita ki 'psychology denial' 🤣🤣
Umeomba kifungu kama suleiman mweusi nimekupa ngoja namaliza kuandika jibu la waraka wako wote hapa nitautuma...
 
Nchi ilikuwepo ila jina ndio limekuja hapo badae

Ni kama unavyosema Chief Mkwawa au Kinjeketile alikuwa Mtanzania wakati miaka hiyo jina Tanzania au nchi hiyo haikuwepo
Iliitwa caanan,,caanan ilikuwa ni moja ya majimbo ya Egypt kingdom
 
/storage/emulated/0/Download/ANCIENT_FICTIONALITY_Moses_Exodus_and_th.docx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…