Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Pole sana
Usibishane na ukweli ,toka nje ya box acha UFIA DINI
IMG_20230507_071832.jpg
 
Uislamu umeanzia kwa Muhammad mwaka 600AD , hata majini na Shetani walisilimishwa na Muhammad View attachment 2612911
Umeokoteza tuvitabu huko mtandaoni eti Roma ianzinshe uislam wakati wenyewe bado wanajitafuta biblia haiwatoshi washike ipi. Yaan ni sawa na Ng'ombe aumbe mtu kamili uliona wapi? Bro relax Muhammad kaja kuendeleza uislam na kumodify sheria alizoacha Yesu. Nyinyi hamujui lolote kuhusu uislam ndio maana mmekazana na uislam wa mwaka 600AD

Wewe hujui kitu na utaondoka kapa kwakua umekuja kudhihaki

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Na shida inayowatesa nyie vikanisa vinavyozuka na kupotea ni umoja wa kanisa katoliki,mkijitazama mmeshindwa kuwa kitu kimoja basi mnalazimisha na ukatoliki usambalatike.
Jenga Hoja acha malalamiko

Baada ya kushambuliwa kwa ubalozi wa Marekani mjini Benghazi na kuuawa kwa aliyekuwa balozi wa Marekani nchini Libya kutokana na hasira za waumini wa kiislamu zilizotokana na kutolewa kwa sinema inayomkashifu SAW Mohammad (Innocence of Muslims),

Fr. Federico Lombardi msemaji wa Vatican alitoa matamko na kusema kwamba:

“profound respect for the beliefs, texts, outstanding figures and symbols of the various religions is an essential precondition for the peaceful coexistence of peoples”

akiwa anamaanisha kwamba ili pawepo na amani kwa watu, kunatakiwa pawepo na kuheshimu imani, maandiko pamoja na alama/nembo mbalimbali zinazotumiwa na dini kama utambulisho wao.

Kwa nini pawepo na mfululizo wa mijadala kati ya Al-Azhar University na Vatican; serikali ya Iran na Vatican na hata serikali ya Saud Arabia na Vatican?
1164665335.jpg
429494069.jpg
 
Umeokoteza tuvitabu huko mtandaoni eti Roma ianzinshe uislam wakati wenyewe bado wanajitafuta biblia haiwatoshi washike ipi. Yaan ni sawa na Ng'ombe aumbe mtu kamili uliona wapi? Bro relax Muhammad kaja kuendeleza uislam na kumodify sheria alizoacha Yesu. Nyinyi hamujui lolote kuhusu uislam ndio maana mmekazana na uislam wa mwaka 600AD

Wewe hujui kitu na utaondoka kapa kwakua umekuja kudhihaki

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

Utakuta shekhe/ustadhi/kijana wa kislamu amevimba mishipa ya shingo akiisifia Quran kuwa ni kitabu cha pekee kilichotunzwa toka karne ya 7, kwamba kina mambo ya sayansi toka karne hiyo na kimetukuka. Hapo wakifikiri karne ya 7 ni mbali sana. [emoji3]

Ngoja niwape shule kidogo; unajua hiyo karne ya 7 imetokanaje?

Basi tambua leo kuwa huo ni mpangilio wa miaka ya Wakristo toka kuzaliwa Kristo. Karne ya 7 ni miaka 600 toka kuzaliwa Kristo. Ndio maana inaandikwa 600 B.K (Baada ya Kristo) ama AD kwa English. Hivyo ni hesabu za Wakristo toka Bwana wao alipozaliwa. Hivyo msije fikiri ni mbali sana hiyo karne ya 7. Muelewe tu kuwa nyuma ya kuzaliwa Kristo kulikuwa na maelfu ya miaka. Na toka kuzaliwa kwake hadi sasa ni miaka 2000 imepita.

Hivyo basi Uislamu na Muhamad na Quran ni wageni tu hapo nyuma. Walikuta tayari kuna dini, serikali, maarifa na sayansi. Hata ukisikia islamic golden age ni wakati wa utawala wa Ukhalifa wa Abasia mnamo karne ya 8 baada ya Kristo. Hawa walichota mengi kwa Wakristo, Wagiriki, Warumi na Wayahudi na kuyaweka pamoja hapo Baghdad. Na wakati huo ndio hadithi za Muhamad ziliandikwa kwa 90%. Huu wakati ndio unaitwa wakati wa dhahabu na maarifa kwa Waislamu, je ni maarifa kutoka wapi? Ni kwa wageni na si Waarabu.

Hivyo hata aina za majengo ambayo leo wanayaita msikiti ni muigo wa ujenzi wa Byzentine (Warumi/Wagiriki) na Wayahudi. Maana Muhamad hakukuta majengo katika bara Arabu zaidi ya alkaaba, sababu Waarabu waliishi kwenye mahema ama vijengo vya tembe kama vile vya Wagogo na Wanyaturu. Na hadi anakufa Waislamu hawakumiliki majengo ya kisasa na maburuji, na zaidi hawakuwa na maendeleo ya kisayansi na tekinolojia zaidi ya kuteka na kupora maeneo ya wenzao kwa upanga.

Wakati wa Khalifa Ally (khalifa wa 4 baada ya Muhamad) ndio alihamia Basra Iraq, huko ndipo wakakuta majengo na maendeleo makubwa yaliyoundwa na Wakaldayo, Wapersia, Wagiriki. Na baada ya kufa kwake (kwa kuuliwa na waislamu wenzake) ndipo familia ya kisuni ya Umayah (iliyomuua) ikaunda ukhalifa wa kifalme na kuweka ngome yao Siria iliyokuwa imejengwa na Wakristo wa Orthodoksi. Sababu ya uzuri wa Siria (Shamu) walionelea waweke ngome yao hapo. Hivyo wakabadilisha majengo ya kuabudia wakristo (aka makanisa) kuwa misikiti yakiwemo masinagogi ya Wayahudi. Na wakachukua wanasayansi na wabunifu wa Byzentine (orthodoksi) ili kuwajengea majengo kwa mithili ya majengo ya Konstantinopoli. Mfano hilo shubaka (dome) si aina ya ujenzi wa Kislamu bali kiothodoksi ambao waislamu waliomba kujengewa, maana walikuwa washamba sana (wafuga Ngamia). Hata alama nyingi katika uislamu ziliundwa wakati wa utawala wa ukhalifa wa Umayah, aliyekopa alama kibao toka kwa Waorthodoksi, Wagiriki na Warumi na kuzifanya alama za Uislamu. Mfano nyota ya pembe sita (octagon) ambayo inajulikana kama alama ya Uislamu, ni ukopaji tu.

Hivyo Uislamu ni dini iliyoundwa undwa kwa ukorombwezo wa ukopaji kutoka katika dini zilizotangulia (Wayahudi, Wakristo na Upagani). Hata hoja za kisayansi ndani ya Quran ni uzushi mtupu. Maana kama wangekuwa wajuzi wa sayansi basi leo Arabuni ingekuwa mbele kwa tekinolojia, ila ndio wapo nyuma, na kwa 99% mambo ya kitekinolojia wanafanyiwa na wazungu.

Waislamu muelewe tu sayansi na tekinolojia zilikuwepo hata kabla ya Quran. Mjiulize Nuhu aliwezaje kujenga meli kubwa kama ile (Safina)? Mjiulize Nimrod aliwezaje kujenga Mnara (gorofa) refu pata ile? Au hamjui vipimo vya ujengaji? Muwaulize mainjinia wa majengo watawaambia. Ama mjiulize Mafarao walipata wapi ujuzi wa kujenga mapiramidi yenye mita 200? tena yenye vipimo vyenye mkabala wa nyota za angani, na mianga ya jua? Hivi unaelewa mita 200 wewe? Ni viwanja viwili vya mpira. Angalieni majengo ya kushangaza huko Ugiriki na Rumi, yamejengwa kwa ustadi sana. Huko America jamii ya Mayan imeacha historia ya ajabu, walijenga na kubuni vitu vya ajabu sana. Eti Quran imeelezea bing bang? Unajua hiyo dhana imetokanaje?

Sikiliza, Quran haina jipya, hata uduara wa dunia ulijulikana enzi za Mafarao, angalia Wagiriki wana sanamu zimeshika duara ya dunia toka miaka hiyo. Hata Ayubu na Isaya wa Biblia kabla ya Mgiriki walitambua dunia ni duara na inaelea angani. (Ayubu 26:7; Isaya 40:22). Je Muhamad alikuwepo ama Quran?

Hivyo Quran haina jipya zaidi ya masimulizi ya visa vilivyotokea nyuma hasa kwenye Biblia. Na zile hadithi za apokrifa za Kikristo, Kiyahudi na kipagani ndio zimejazana humo. Na ndio maana Quran haina mpangilio zaidi ya kurukaruka habari. Na ukubwa wa Quran ni unazidiwa na agano jipya la Biblia. Na Quran haijitoshelezi kuunda Uislamu, inaunda Uislamu kwa % chache na sehemu inayobakia imeundwa na hadithi za Muhamad, Fiqh na hoja za maulamaa (wasomi).

Hilo jengo la dome of the rock hapo Yerusalem, (angalia picha) lilijengwa na injinia toka Byzentine (muorthodoksi), limejengwa mithili ya majengo ya kifalme na kikanisa ya Konstantinopoli. Khalifa wa Umayad alipendelea hivyo mnamo karne ya 8 na akajenga msikiti wa Alaqsa kando ambao Waislamu walipotoshwa wakifikiri ulikuwepo toka enzi za Suleman. Alijenga kwa kuficha uchi wa Muhamad aliyedai alienda hapo usiku kimuujiza katika safari inayojulikana kama Isra al miraj na kukuta msikiti wa Suleman na manabii wote akawasalisha kisha akaenda hadi mbingu ya saba na kuonana na Allah. Umar alipokuja kuivamia Yerusalem mnamo 634 B.K hakukuta msikiti hapo, akashangaa. Huenda alijisema moyoni mtume alituchapa kamba. [emoji3]. Zaidi alikuta kanisa la Orthodoksi na uwanja (eneo) tupu wa hekalu (unaojulikana kama temple mount) naam hekalu la zamani la Wayahudi. Myahudi Kaab aliyesilimu ndio alimwonesha Umar eneo ambalo lilikuwepo hekalu la Suleman, ndipo akajenga msikiti wa miti hapo kwa aibu na baadae karne ya 8 katika utawala wa Umaya ndipo wakajenga msikiti wa Alaqsa ambao umekuwa tatizo hadi leo hivi.

Najua Waislamu mtaumia lakini ndio ukweli, vumilieni muelimike.

FB_IMG_16834421539713401.jpg
 
Sasa kama wamaandika wakatoliki basi na wakatoliki wa muda huu wanaweza kuiandika Quran, lakini ndani ya Qur an inatowa challengi kwamba ikiwa watu wanahisi Qur an haikutoka kwa Allah basi wao washirikiane watu wote wa ulimwenguni pamoja na majini (wanasciance, wanasiasa, wataalamu wa fedha na taaluma nyengine) watengeneze sura moja tu, ifanane na Qur an na baadae Allah akahibu challengu hio kuwa hawatoweza kufanya hivyo (kuandika sura moja tu yenye angalau mistari 2).
Sasa kama open challenge kama hio imetolewa tangu karne ya saba mpaka leo karne ya 21 haijafanyiwa kazi wakati wakatoliki wapo na uwezo wa elimu na utumiaji wa elumu umeengezeka kulingana na karne ya 7, huoni kwamba wakatoliki sio walio iandika?
Na wakati huo huo, huyo Muhammad yeye hakusoma wala hajui kusoma kilicho andikwa( hio ndio miongoni mwa sifa zake) sasa amewazaje kuandika na kama ameandikiwa au kusomeshwa ndio tuseme walimu wake waliletwa kumsomesha mtu mmoja tu na baadae wakamuandikia?
Je walimu hao hawakuwa na wanafunzi wengine? Angalau wakafahamu kuandika sura moja kwenye mfani wa sura 114 za Qur an.
Tafakari vizuri, kwani jukumu la Muungu ni kumuumba binaadamu, na kumpa uwezo wa kuyakabili maisha yake yake ya kila siku ndio maana akampa akili na baade vikashushwa vitabu vya muongozo na baadae wakaletwa na wataalamu wa kufafanua practical miongozo husika.
Kushindwa kutambua imani sahihi sio upungufu wa Muungu bali itakuwa upungufu wa binaadamu husika.
 
Wayahudi wametajwa sana kwenye Quran kwa kuwa wanasifa zifuatazo:
1.nijamii ambayo imepewa elimu kwani asilimia zaidi ya 90 ya mitume wa muungu waliokuwa wanatoka kwenye jamii ya uyahudi.
2. Kutokaana elimu waliopewa walitarajia kuwa mtume wa mwisho pia atatoka kwenye jamii yao, lakini Allah hakumtoa mtume huyo kwenye jamii yao, na hivyo kupelekea kuwa na chuki kubwa kwenye vifua vyao, na katika kutekeleza chuki zao wapo tayari kushirikiana na kila jamii kuhakikisha kuwa binaadamu hawamfuati mtume sahihi ambao wao hawamkubali kutokana tu hatoki kwenye jamii yao. Ndio maana Quran imewazunguza sana ili kumfahamisha Muhammad na watu wafuasi wake kuhusu ubaya wao, na katika hili ni rahisi mara 100 kumkuta mkiristo au anaeabudia asiekuwa muungu kuingia kwenye uislam kulinganisha na wanaojiita wayahudi.
3. Wayahudi kwa kuwa niwatukutu, ndio maana wakapatiwa mitume wengi hata hivyo walikuwa wabishi na waliwauwa baadhi ya mitume wao, vile vile walitaka kumuuwa Jesus,(jesus vile vile ni myahudi) lakini Allah akamlinda na akafananishwa mmoja wa waliokusudia kumuuwa sura ya Jesus na Allah akamchukuwa Jesus kumpleka mbinguni.
Kiufupu Qur an imesimulia karne zilizopita ambazo kwa kiasi kikubwa zilitawaliwa na historia ya mitumei iliotoka kwenye jamii ya kiyahudi
Yaani mnachekeshaga Sana mnapodai BIBLIA imetiwa mikono hivo Quran ndio imekuja kurekebisha




Mnasema Mungu ana vitabu vinne vitukufu ambavyo ni,

1) Torati
2) Zaburi
3) Injili
4) Quran

Na kwamba Torati, Zaburi na Injili zilishatiwa mikono na Wakristo na Wayahudi, hivyo kwenye Biblia hakuna Torati ya kweli, Zaburi ya kweli na Injili ya kweli. Wakati huo huo wanadai Quran haijatiwa mikono maana Allah anailinda.

Maswali kwenu,

1).Kama Allah anailinda Quran alishindwa vipi kuilinda Torati, Zaburi na Injili? b/Au alisinzia wakati vinaharibiwa na wasela na sasa yupo macho akiilinda Quran?

2) Mtamwamini vipi Allah kuwa ataweza kuilinda Quran yenu isitiwe mikono huku alishindwa na wahuni waliotia mikono Torati, Zaburi na Injili?

3).Na kwanini mnatutupia sisi lawama juu ya uharibifu wa vitabu hivyo na isiwe Allah mwenye vitabu?

4) Na kama Biblia imetiwa mikono mbona mnadai kuwa Muhammad na Uislam wametabiriwa humo na mnanukuu aya zake kuthibitisha hilo? b/Hamwoni mnamchafua mtume wenu kwenye aya zilizotiwa mikono?

5) Kama Torati, Zaburi na Injili zimetiwa mikono, mnaweza kutupa original zake ili tulinganishe na zilizopo ili tuhakiki usemi wenu?

Karibuni Mashekhe, Maimam, maulamaa, Maustadhi akiwemo hata Ayatollah Khomeini mtujibu hayo maswali ili tuongoke kwenye dini ya haki.

1404340463.jpg
 
Jenga Hoja acha malalamiko

Baada ya kushambuliwa kwa ubalozi wa Marekani mjini Benghazi na kuuawa kwa aliyekuwa balozi wa Marekani nchini Libya kutokana na hasira za waumini wa kiislamu zilizotokana na kutolewa kwa sinema inayomkashifu SAW Mohammad (Innocence of Muslims),

Fr. Federico Lombardi msemaji wa Vatican alitoa matamko na kusema kwamba:

“profound respect for the beliefs, texts, outstanding figures and symbols of the various religions is an essential precondition for the peaceful coexistence of peoples”

akiwa anamaanisha kwamba ili pawepo na amani kwa watu, kunatakiwa pawepo na kuheshimu imani, maandiko pamoja na alama/nembo mbalimbali zinazotumiwa na dini kama utambulisho wao.

Kwa nini pawepo na mfululizo wa mijadala kati ya Al-Azhar University na Vatican; serikali ya Iran na Vatican na hata serikali ya Saud Arabia na Vatican?View attachment 2612925View attachment 2612926
Kwahiyo wewe unaunga mkono machafuko na watu kuuana.?
 
Soma pia historia

Ulishajiuliza kwanini nje ya QURAN huwez kupata uthibitisho wa kiakolojia ,au wa kisayansi kuhusu Uislamu

Uislamu Ni dini iliyoanzishwa mwaka 600 AD , Na Roman Catholic wakimtumia Muhammad

View attachment 2612804
Kama ulichokiweka ndio ushahidi wako basi nihitimishe kwa kusema huna hoja wewe ni empty set bora ukajadili mambo ya Arsenal .

Yani unakopi na kupest ushahidi uchwara uchwara bila kufanya tafiti ?nianze na hiyo dome of the rock huo sio msikitini kabisa kwa hiyo ni makosa kuchukua jambo waliojiamulia watu kuhusisha na uislamu kama ambavyo inafanya kwa alama ya nyota na mwezi .

Fafanua how islam allied with Hitler na hiyo salvation by works ?
 
1. Jitahidi kuandika vizuri.
2. Punguza Dharau na Matusi.
3. Kuwa mtu wa Kusoma sana na kufanya Tafiti.

ALIYELETA ANDIKO HILI SI MJINGA.

NANI ASIYEJUA VATCAN KUANZISHA ISLAMIC???????!!!!!!!!!
Ukotoliki na ukiristo ni ushirikina wa wazi kwa hiyo ni mbigu na ardhi na uislamu ambayo ni kumpwekesha Mola mlezi pekee pasi na kumshirikisha.

Wewe kiazi wakati mwingine una kopi na kupaste vitu bila tafiti ndio wa kunishauri mimi kusoma na kufanya tafiti ? nikufahamishe tu nina soft copies ,hard copies,audio books na documentary videos kuhusu tafiti ,history,mambo yaliyojificha(nyuma ya pazia ) na current issues kuhusu mambo mbalimbali .

Hata nikiwa natembea naplay audio book ,nikichoka kusoma naplay video kwa kila siku natumia masaa hayapungui matano katika kuchukua maarifa katika dini na nyanja mbalimbali.
 
Ushirikina ni nini??
Ukotoliki na ukiristo ni ushirikina wa wazi kwa hiyo ni mbigu na ardhi na uislamu ambayo ni kumpwekesha Mola mlezi pekee pasi na kumshirikisha.

Wewe kiazi wakati mwingine una kopi na kupaste vitu bila tafiti ndio wa kunishauri mimi kusoma na kufanya tafiti ? nikufahamishe tu nina soft copies ,hard copies,audio books na documentary videos kuhusu tafiti ,history,mambo yaliyojificha(nyuma ya pazia ) na current issues kuhusu mambo mbalimbali .

Hata nikiwa natembea naplay audio book ,nikichoka kusoma naplay video kwa kila siku natumia masaa hayapungui matano katika kuchukua maarifa katika dini na nyanja mbalimbali.
 
Ushirikina ni nini??
Kwa ufupi ni kuomba na kutegemea kingine baada ya Mwenyezi Mungu au kuomba Mwenezi Mungu pamoja na wengine kwa wakati mmoja katika mambo ambayo haustahili kuombwa mja na hana uwezo nao isipokuwe yeye mifano ;

1.Mimi nije niungame nitubu dhambi zangu kupitia wewe wakati hayo ni mamlaka ya Mwenyezi Mungu pekee.

2.Kuamini kwamba kiumbe /mtu au kitu chochote ndicho chenye uwezo wa kukupa mabalaa na kukuponya .Kama kusema "Ewe Maria .............." ,"Ahsante Yesu ilibaki kidogo gari linigonge "

3.Kuweka mtu wa Kati baina ya mja na Mwenyezi Mungu ,mfano hauwezi kufanikiwa au maombi yako kujibiwa mpaka uende kwa fulani (Priest nk)

4.Nk
 
Kwa ufupi ni kuomba na kutegemea kingine baada ya Mwenyezi Mungu au kuomba Mwenezi Mungu pamoja na wengine kwa wakati mmoja katika mambo ambayo haustahili kuombwa mja na hana uwezo nao isipokuwe yeye mifano ;

1.Mimi nije niungame nitubu dhambi zangu kupitia wewe wakati hayo ni mamlaka ya Mwenyezi Mungu pekee.

2.Kuamini kwamba kiumbe /mtu au kitu chochote ndicho chenye uwezo wa kukupa mabalaa na kukuponya .Kama kusema "Ewe Maria .............." ,"Ahsante Yesu ilibaki kidogo gari linigonge "

3.Kuweka mtu wa Kati baina ya mja na Mwenyezi Mungu ,mfano hauwezi kufanikiwa au maombi yako kujibiwa mpaka uende kwa fulani (Priest nk)

4.Nk
Mwenyenzi Mungu yupu wewe unayemuongelea?
Dini tofauti si zina miungu tofauti? Au mungu ni mmoja kwa dini zote??
 
Mwenyenzi Mungu yupu wewe unayemuongelea?
Dini tofauti si zina miungu tofauti? Au mungu ni mmoja kwa dini zote??
Asiyekuwa na mwana ,Mwenye kuundesha ulimwengu wote ,kuleta Mvua, jua giza ,aliyemuumba Adam na mwenye kukusanya sifa zote za ukamilifu.
 
Yale Yale unasema Muhammad saw alikopi nilikwambia alikuja kuendelea alipoishia Daudi,Musa,Yesu Sasa wew ulitaka aje na kipya kipi? Nyie mlivotaka kuleta kipya matokeo yake ndio mmtoka kwenye dini yenyewe mnapuyanga na biashara sio dini tena wakati Yesu mwenyew hakutaka tuchanganye dini na biashara ndio maana alimwaga vitu walivokuja kuuzia msikitini. Nawambien wakristo mafundisho ya Yesu mnayo kwa 1% sisi Waislam tunayo kwa zaidi ya 90%
Huna jipya hapa zaidi ya vioja tuuu

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kasome hata Vitabu vya Maisha ya Muhammad vya Sheikh Farsy ,kasome historia


Waraq , na Bi Khadija walikuwa dini gani kabla ya kukutana na muhamad hasa Khadija ndiye wakwanza kusilimu

Unajua alitoka dini gani

Hakuna muislamu asiyejua hili
Nimevisoma ndiyo maana nakutaka uweke ushahidi.
 
Mbona unania attack ? Acha mihemko kaa ujifunze utaelewa kwanini Uislamu sio njia sahihi
Kungekuwa hakuna dini isipokuwa ukiristo mimi nahisi asilimia 100% ningekuwa naishi kwa mfumo wangu mwenyewe maana ukiristo nimeuchunguza kwa muda mwingi na kuona haufai hata kidogo kuwa mfumo wa maisha ya mwanadamu ,kuanzia itikadi ,ibada ,mfumo wa maisha ya kila siku ,maombi ,waumini wake nk.

Hakuna njia ukiristo kuwa ni mfumo ambao Mwenyewezi Mungu awe ametuchagulia kuishi nao .
 
Kama ulichokiweka ndio ushahidi wako basi nihitimishe kwa kusema huna hoja wewe ni empty set bora ukajadili mambo ya Arsenal .

Yani unakopi na kupest ushahidi uchwara uchwara bila kufanya tafiti ?nianze na hiyo dome of the rock huo sio msikitini kabisa kwa hiyo ni makosa kuchukua jambo waliojiamulia watu kuhusisha na uislamu kama ambavyo inafanya kwa alama ya nyota na mwezi .

Fafanua how islam allied with Hitler na hiyo salvation by works ?
Mbona unania attack ? Acha mihemko kaa ujifunze utaelewa kwanini Uislamu sio njia sahihi

RCC hutumia ishara ya mwezi nusu katika majengo yao na machapisho yao; ishara ambayo ni ya kale ya kipagani na ya kibabeli iliyowakilisha ibada ya Baali, mungu jua

Islamu pia hutumia ishara ya mwezi nusu kwenye majengo na machapisho yao, kama walivyofanya wapagani wa kale wa kibabeli.
1213709428.jpg
 
Back
Top Bottom