Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

Wacha kuandika vitu vya kusadikika..

CAG alishaikabidh Report yake muda mrefu kwa mheshimiwa Rais na ilishakabidhiwa kwa Speaker wa bunge

Ww uko dunia gan?

Teh teh teh..kwaiyo kumbe hujui hata unachokiongea?

Pole sana hebu kaaa chini kwanza
Mkuu ripoti iloenda kwa rais ilikuwa haina nataka za board,rais akirudishwa ndo maana wangwe aliikuta na kujadili upya,spika hajapewa ila November atapewa na itatinga bungeni baada ya PAC ukipitia,wait an see acha kelele
 
Sasa unawatetea watu eti wapumzike wakati wao wenyewe bado wanataka kufanya kazi, kama kweli wanataka kupumzika mbona JK alikubali ukuu wa chuo? mbona Dr. Dau alikubali kuteuliwa ubalozi?
Hiyo ni wazi hawa watu inabidi wabanwe wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuyabeba walipoharibu! Politics bwana.
 
Wewe checkbob chukua time zako...

Hakuna asiefaham humu JF kuwa mimi ni mfia dini au Jihadist hilo liko wazi kabisa

Na hakuna asiefaham humu JF kuwa wewe ni mtetea mafisadi tuh kama Lowasa n his gangs kwa posho ya popularity na uchumia tumbo ufipa ambapo hata hivyo hujaipata...

Tokea umeanza kutumika chadema umepata kitu gan?

Wenzako wenye akili kama Juliana Shonza na Mwimpamba wameondoka huko na wameukwaa ubunge na maisha yanaendelea...

Utasota sana hapo town kwa maisha yako ya kuunga unga.
Mwapamba naye mbunge nilikuwa sijui
Hvi kuna mtu ameifanyia kazi hii nchi kama Kitily wa TRA? Yeye yuko wapi sasa hvi?Haki sawa kwa wote
 
Nashukuru Pasco.

Nachotaka ujumbe ufike na upotoshaji uachweee

Pasco inasemekana wewe ni mwandish wa habari

Sasa waeleze waandishi wa habari wenzako mfano wa Mwanachi waache mtindo wa kupokea bahasha na kuacha weledii

Kwan hata Pasco Njaa kama hizo umeachaa tokea zamaaani sana kama sikosei
Mbona kama unataka kulia?? Hahaha

Tusubiri Dau arudishwe nchini aende kwenye mahakama ya Mafisadi...
 
Audit gan iliyomtaja Dr Dau ni mchafu?

Mkuu mbona Dr Dau anakuumiza sana?

Kama unampenda sema tuh akuoe maana ruksa giyo kwa utaratibu wa dini anayo

CAG Reports zinasema Nssf wana hati safi na kila kitu kipo wazi...wewe unachotaka ni kitu gan?

Teh teh teh
Mkuu we muongo hivyo,Nssf imepata hati safi?labla hati emetia wewe na sio Asad
 
Ha ha ha ha

Jaman hebu acheni umbumbumbu

Wewe unadhan CAG anaweza akakabish Report yake kwa Mh Rais ili hali haijakamilika?

Na Mh Rais aikabidh kwa speaker bila kukamilika hivyo hivyo?

Huko shule jaman mmekuwa mnasoma vitu gan?

Watu wa ajabu sana
Mkuu ripoti iloenda kwa rais ilikuwa haina nataka za board,rais akirudishwa ndo maana wangwe aliikuta na kujadili upya,spika hajapewa ila November atapewa na itatinga bungeni baada ya PAC ukipitia,wait an see acha kelele
 
Jamani kwani Kikwete katajwa?huyu jamaa ataweza kusaidia utumbuaji,yani anataja na wasiokuwepo kwenye tego
 
Nafikiri issue kama haina ukweli itaisha tu! haina haja ya kutokwa povu...
Muda ni hakimu wa kweli
 
Back
Top Bottom