Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Pamoja na ukweli huo, kuna waliozama kwenye hiyo taaluma wanaweza kujibu kitaaluma. Vinginevyo utababaisha halafu waonekane washindi. Kuna waliosomea biblia, kuna waliosomea elimu Mungu. Wewe unafikiri Kila mmoja anaweza? Mimi Nina taaluma yangu na ukiigusa nitaijibu bila kubabaisha.Usidhani kanisa katoliki ni mapadre tu na maaskofu na masista.
Kanisa ni pamoja na wewe yaani kila aliyebatizwa na hivyo kila mmoja ana duty ya kulilinda kanisa.
Hivyo mjibu huyo muhubiri usisubiri askofu au padre.
Pamoja na ukweli huo, kuna waliozama kwenye hiyo taaluma wanaweza kujibu kitaaluma. Vinginevyo utababaisha halafu waonekane washindi. Kuna waliosomea biblia, kuna waliosomea elimu Mungu. Wewe unafikiri Kila mmoja anaweza? Mimi Nina taaluma yangu na ukiigusa nitaijibu bila kubabaisha.
Usipoteze muda kubishana na mjinga. Kiimani unatakiwa kumwombea.Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Roman catholic mind your own businessMimi ni mlutheran , lakini watu kupingana na taasisi ya ukatoliki yenye zaidi ya miaka 2000+ ni ujinga kwa haya madhehebu ambayo hayana hata 300 years.. ni sawasawa na kujilisha upepo halafu sijawahi bahatika kusikia kiongozi wa katolik anatoka hewani na kuanza kujibishana na Hawa wenye dini zao. Hata ibada za katolik ni nadra sana kukuta wanapondea dini za wengine.
HayaRoman catholic mind your own business
The Catholic Church played a vital role in the trans-Atlantic slave trade, according to historians and several published thesiis on the topic.Dini ni utapeli,