Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

Kanisa katoliki Lina kazi moja tu,kububiri injili na kuwaonesha watu njia ya wokovu
Kazi ya kusema nani anasali lini na wapi tumewaachia wasabato.
Mimi hofu yangu ni wale wanaopotoshwa na wakapotea. Yesu aliwahi kusema hata kama una kondoo mia, moja akipotea unaacha 99 na kumtafuta mmoja aliyepotea. Swali la kijiuliza haya makanisa yanayoibuka Kila kukicha wanapata wapi waumini?
 
The Catholic Church played a vital role in the trans-Atlantic slave trade, according to historians and several published thesiis on the topic.

The trans-Atlantic slave trade was introduced by the coming of the Europeans who came with the Bible in the same manner that Arab raiders and traders from the Middle East and North Africa introduced Islam through the Trans-Saharan slave trade, according to AfricaW.com, a premiere informational website available throughout the continent.

“In fact, the Church was the backbone of the slave trade,” the authors wrote. “In other words, most of the slave traders and slave ship captains were very ‘good’ Christians.”

For example, Sir John Hawkins, the first slave-ship captain to bring African slaves to the Americas, was a religious man who insisted that his crew “serve God daily” and “love one another.” His ship, ironically called “The Good Ship Jesus,” left the shores of his native England for Africa in October 1562. Some historians argue that if churches had used their power, the Atlantic slave trade might have never occurred.e

The Catholic Church played a vital role in the trans-Atlantic slave trade, according to historians and several published thesiis on the topic.

The trans-Atlantic slave trade was introduced by the coming of the Europeans who came with the Bible in the same manner that Arab raiders and traders from the Middle East and North Africa introduced Islam through the Trans-Saharan slave trade, according to AfricaW.com, a premiere informational website available throughout the continent.

“In fact, the Church was the backbone of the slave trade,” the authors wrote. “In other words, most of the slave traders and slave ship captains were very ‘good’ Christians.”

For example, Sir John Hawkins, the first slave-ship captain to bring African slaves to the Americas, was a religious man who insisted that his crew “serve God daily” and “love one another.” His ship, ironically called “The Good Ship Jesus,” left the shores of his native England for Africa in October 1562. Some historians argue that if churches had used their power, the Atlantic slave trade might have never occurred.
Every history is interpreted history
 
The Catholic Church played a vital role in the trans-Atlantic slave trade, according to historians and several published thesiis on the topic.

The trans-Atlantic slave trade was introduced by the coming of the Europeans who came with the Bible in the same manner that Arab raiders and traders from the Middle East and North Africa introduced Islam through the Trans-Saharan slave trade, according to AfricaW.com, a premiere informational website available throughout the continent.

“In fact, the Church was the backbone of the slave trade,” the authors wrote. “In other words, most of the slave traders and slave ship captains were very ‘good’ Christians.”

For example, Sir John Hawkins, the first slave-ship captain to bring African slaves to the Americas, was a religious man who insisted that his crew “serve God daily” and “love one another.” His ship, ironically called “The Good Ship Jesus,” left the shores of his native England for Africa in October 1562. Some historians argue that if churches had used their power, the Atlantic slave trade might have never occurred.
Are you talking about the church (institution) or a particular church member
 
Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Kwaufupi , wasabato ni wagonvi. wanatafuta kwa namna yoyote ile ugomvi wa kidini na roman catholic. Ni namna ya mapokeo ya dini yao walivyo pokea kutoka kwa waanzilishi wa hilo dhehebu
 
Labda nami niweke neno kdg.. je siku ya sabato ya bwana ni lini? Kama ni jmos au jpili bas naomba aya toka kweny biblia. Pia kama unaweza muuliza huyo mchungaj ingekua heri atupe majibu hayo, lingine... Ni nani aliezipa majina cku tulizonazo? Maana kweny maandiko hazijaandwa jmos au jpili!!
Wakijibu ntag
 
Kwani mmekatazwa ? Si mualikane huko kwenye Mahekalu yenu muanze kujibizana ?
 
Mimi ni mlutheran , lakini watu kupingana na taasisi ya ukatoliki yenye zaidi ya miaka 2000+ ni ujinga kwa haya madhehebu ambayo hayana hata 300 years.. ni sawasawa na kujilisha upepo halafu sijawahi bahatika kusikia kiongozi wa katolik anatoka hewani na kuanza kujibishana na Hawa wenye dini zao. Hata ibada za katolik ni nadra sana kukuta wanapondea dini za wengine.
Upo sahihi.

Maisha yangu yote ndani ya Kanisa Katoliki sijawahi kumsikia kiongozi yeyote wa Kanisa akihubiri kulisema vibaya kanisa lolote au Uislam au dini yeyote.

Mimi ninachoamini ni kwamba kila ambaye yupo hapa Duniani ni kwa sababu Mungu ameruhusu. Imani yoyote ambayo ipo hapa Duniani naamini Mungu ameruhusu. Asipotaka, hawezi kushindwa kuifuta.

Wakati yetu akiwa na mitume wake, wapo mitume waliomlalamikia Yesu kuwa kuna watu wengine ambao siyo.miongoni mwao, nao wanahubiri habari ya Mungu na habari zake. Lakini siyo Yesu aliwakanya na kusema kuwa kama kuna yeyote ananena neno la Mungu, hata kama hayupo nao, basi yupo upande wao. Lile ni fundisho kubwa sana.

Muislam anaposema wizi ni dhambi, watu msiibe. Anaposema hivyo, hawezi kuwa adui wa ukristo badala yake anazidi kueneza ujumbe wa Kristo. Yeyote anayeeneza chuki dhidi ya wanaoeneza ujumbe wa Mungu, bila ya kujali dhehebu au dini, anafanya kazi ya shetani. Azidi kuombewa.
 
Hawa hata msalaba hawautaki,sasa tunawasaihdiaje??

Mtu anayeuliza swali anatakiwa awe tayari kujibiwa.
Kuna wakati hata kumtaja Yesu walikuwa wanaona shida. Na huwa hawapendi kuitwa wakristo.
 
Nimekuwa namsikiliza mhubiri mmoja nadhani ni msabato. Kila mara anarejea juu ya makanisa, anayosema ni waabudu Sanamu na wanaosali jumapili (akiita siku ya jua) badala ya sabato. Nadhani ni wakati muafaka wa kumjibu. Uongo ukirudiwa mara kwa mara wasikilizaji wanaweza kudhani ndiyo ukweli. Wajuzi wa mafundisho ya RC ni wakati sasa wa kujibu
Na mchungaji huyo ndo wewe mwenyewe, muadventista maskini, unayejaribu kujustify umaskini wako kwa kuwapa lawama wakatoliki kuwa kwa wao kuabudu sanamu, Mungu anakulaani wewe unakosa hela ya kula.

Ulishawahi kuona sehemu wakatoliki wameweka sanamu wanaliita Mungu na kuliabudu kama Mungu wao?

Musa alipotengeneza sanamu la nyoka na kuwaambia waisrael atakayemtazama yule nyoka atapona, alikuwa anaabudu sanamu?

Kipi bora, kati ya kutenengeza sanamu linalokukumbusha kuwa kuna mtu(binadam mwenye mwili) aliyeitwa Masihi ambaye pengine alifanana hivyo, na kisha kuamini kuwa mtu huyo aliyefanana na sanamu lako, ni hakika alikuwa mwana wa Mungu, na ukakiri kwa kinywa chako na kufuata mafundisho yake AU kufuata mawazo ya mtu mmoja aliyekwaminisha kwamba Jumapili sio siku sahihi ya kusali na akakufundisha kuwachukia wakatoliki halafu mtu akafa kama utakavyokufa wewe?

Shika imani yako, kama ipo sahihi kuliko ukatoliki si ndo safi wewe uende mbinguni wao waende motoni.
 
Mimi hofu yangu ni wale wanaopotoshwa na wakapotea. Yesu aliwahi kusema hata kama una kondoo mia, moja akipotea unaacha 99 na kumtafuta mmoja aliyepotea. Swali la kijiuliza haya makanisa yanayoibuka Kila kukicha wanapata wapi waumini?
Yanapata waumini kwenye ujinga,mtu anayeamini kuwa inatakiwa aombewe ili afanikiwe atatoa wapi akili ya kutambua mafundisho ya kanisa katoliki?
 
Siku zimepewa majina kufuatia ugunduzi wa kalenda na wamisri miaka elfu kadhaa baada ya biblia. Sasa hawa MASALIA wenyewe wamekomaa na majina ya siku wakidhani ndo majina ya Mungu wehu kabisa
 
Hatutajibu.
255716959161_status_0e231747b5f34d9c94d43d860d736180.jpg
 
Back
Top Bottom