Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

alafu hayo mapared hayana maana
namaanisha kutawala dunia kama ilivyotawala roman empire....simaanishi kuenea maana kama kuenea duniani sisi islamic ndo tupo kila mahali na n mara 3 ya idafi ya katolic wordwide
 
Sasa kwa Nini makanisani vinetengenezwa vinyago vya kuabudu.

Yaani, unakutana na bonge la sanamu na watu wanalipipigia magoti. Mtu anaweza Toka zake misha kwenda kanisani kupigia magoti Sana. Hiyo sio sio Ibada ya kweli kama unavyotaka mwenyewe.
 
Kumbuka Yesu hakuanzisha kanisa ila mitume ndio walioanzisha kanisa. Likaenezwa kwa upanga.
.
 
Kuna namna waeza tupa ushahid juu ya hili? Pia kama ni hivyo inamaana sote tunaabud cku ambazo ni mapokeo ya wanadam? Kama ndivyo je kuna mweny haki wa kumwambia mwenzake sabato ni cku flan?
Mtume Paulo anasema siku siyo muhimu kwa maana hakuna siku ambayo Mungu aliiumba iliyo ya dhambi na nyingine ya utakatifu.

Alisema kuwa anayepumzika siku fulani kwaajili ya utukufu wa Mungu anafanya vyema, lakini asimlazimishe na mwingine kufanya vivyo hivyo. Ni hivyo hivyo kwa vyakula.

5 One person considers one day more sacred than another; another considers every day alike. Each of them should be fully convinced in their own mind. 6 Whoever regards one day as special does so to the Lord. Whoever eats meat does so to the Lord, for they give thanks to God; and whoever abstains does so to the Lord and gives thanks to God. 7 For none of us lives for ourselves alone, and none of us dies for ourselves alone. 8 If we live, we live for the Lord; and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord. 9 For this very reason, Christ died and returned to life so that he might be the Lord of both the dead and the living.
 
alafu hayo mapared hayana maana

namaanisha kutawala dunia kama ilivyotawala roman empire....simaanishi kuenea maana kama kuenea duniani sisi islamic ndo tupo kila mahali na n mara 3 ya idafi ya katolic wordwide
Wakristo 2.4 billion

Muslims wapo 1.9 billion

Kwa hiyo 2.4 billion ni ndogo kuliko 1.9 billion?

Wakatoliki pekee ni 1.3 billion

Hivi ukizidisha 1.3 mara 3 unapata 1.9? Hesabu za wapi hizo?

largest, with more than two billion followers. Christianity is based on the life and teachings of Jesus Christ and is approximately 2,000 years old.

Kama hufahamu, chukua kuanzie leo, wakristo, katika ujumla wao, ni wengi kuliko Waislam katika ujumla wao.
Na kama wakatoliki ni wachache kama umavyosema, itawezekana vipi hao watu wachache wawatawale walio wengi kupindukia?

Tenganisheni ukweli na hadithi.
 
roman empire ilivyotawalandunia inaaman kipindi kile warumi walikuwa weng kuliko mataifa mengne yote au ??
 
Nmekusoma mkuu
 
mwache tu ajifurahishe
 
roman empire ilivyotawalandunia inaaman kipindi kile warumi walikuwa weng kuliko mataifa mengne yote au ??
Usiwe unakariri bila kutafakari. Unaielewa Dunia ya wakati wa utawala wa Urumi?

Roman empire ilihusisha nchi za Ulaya, North America na kwa Mashariki iliishia tu Uturuki. Kwa hiyo, kiuhalisia haikutawala Dunia nzima.

Hivi unaamini kwa sababu Uingereza, Ufaransa, Spain, na Belgium kwa vile zilitutawala wakati huo, zitakuja kututawala tena kwa vile tu kwa sababu zamani zilitutawala?

Ufahamu kuwa kuna matukio hutokea mara moja tu kutokana na hali ya nyakati, wala hayawezi kutumika kama reference ya kutokea tena.

Inaonekana huujui kabisa ukatoliki. Ukatoliki siyo kama uislam, haujihusishi na mambo ya tawala za nchi. Mafundisho ya Kanisa ni juu ya ufalme wa mbinguni, na si ufalme wa Ulimwengu. Hayo ndiyo mafundisho ya ukristo.
 
hapo tuweke nukta kwamba roman empire haikutawala dunia nzima?? ubishi usio namaana haufai . lkn kaa ukijua ROMAN inahatia ya kuua mamilion
 
Hii elimu aliwahi nipa mtu mmoja kwa urefu sana nikabisha next time kuna mtu akanipa humu humu nikafatilia nikaanza kuielewa hadi walivyokuwa wana hesabu nikagundua mengi sana.
 
Tenganisha kati ya Roman Empire na Kanisa la Roman Catholic.
iliyona hatia ya kuua mamilion wasio na hatia ktk karne ya 16 17 na 18 ni roman katholic na sio roman empire nafikir nmetenganisha tayar
 
Unavyopiga magoti mbele ya sanamu ya bikira Maria unaheshimu au unaabudu?
Hakuna ibada ya namna hii katika ukatoliki.
Kupiga magoti kwa image ambaye umwakilisha bikra Maria ni ishara ya heshima kwake kwa maana ni mzazi wa Yesu Kristu.

Katika kanisa katoliki ibada zipo za aina mbali mbali kama vile sala,rozari,njia ya msalaba n.k.Misa ikiwa ndio ibada kuu ambayo huwakutanisha waumini wengi sehemu moja.

Ukatoliki unaelekeza yakuwa Mungu peke ndiye wa kuabudiwa na ukitambua mitume,watakatifu,na malaika.
 
Chief, nakubaliana nawe. Ila Kuna mafundisho yao mengine wanaamini siku ya mwisho kanisa la roman catholic wataungana na USA kuwatesa wasabato kwa kuwalazimisha kusali jumapili. Msingi. Wa mafundisho yao nikulishambulia kanisa katoliki
 
a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…