Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww unamwita "wizo" anhaaa sawa!Wizo hiyo id yako inanitishia amani
,😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna asiyehitaji Uhuru haijalishi unasaidia au hausaidii,,###UhuruTuUnatosha###Hiyo ilikuwa miaka ya 80's kwa sasa mtu yoyote anaweza kuachwa bila kuangaliwa uhandsamu au pesa zake, wanawake wanataka uhuru usiowasaidia kitu
Mwanaume asiyeweza kuachwa ni yule tu aliyetoa uhuru kwa mke wake,uhuru unaomvumilia mwanamke hata akiwa na boyfriends kwenye ndoa.Hello morning [emoji274]!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa [emoji763] na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Mkuu kuna shida hapo...Na ww unamwita "wizo" anhaaa sawa!
Fake P kumbe age goo unantamanishaHandsome na Disko mara ya mwisho niliyasikia haya maneno mwaka 2005 Msalato adv. kumbe bado bado yanaishi? 😳😳😳
Hakipo chumba cha mchaga mshamba nilikwambiaFake P kumbe age goo unantamanisha
Napenda sana MOTO hasa wa GesiYaani hii ni ukweli kabisa mkuu wala si uwongo...
Sema kwa hi theory yako hai apply kwa mashangazi.
Mshangazi anataka 🔥 tu
Achana nae huyo kijeba, wivu tu unamsumbua!!Mkuu kuna shida hapo...
Fanya hata mda mwingine kunipa hint..
Kuna mambo yanafanyika sometimes hata hujui huenda nikawa najua nipo sawa kumbe nazingua ety mkuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂AaaaahNapenda sana MOTO hasa wa Gesi
😂😂😂😂😂 Ety shubamitAchana nae huyo kijeba, wivu tu unamsumbua!!
Yaani hata mtu kuitwa wizo inaleta nongwa na wivu jamani😂😂😂😂😂 khaaaa
Haya basi yeye ndio awe wizooo shubaamiitii 😱😱😱😱
Kaka kwani kuwa below 25 ndio kigezo cha kuwa mpumbavu. Mtoa mada ni mpumbavu tu hata akisema ni above 25 haibadilishi upumbavu wake.Unawazungumzia wanawake au wasichana?
Alaf kwa kukukadiria, umri wako ni below 25
Inafikia hatua hadi namuuliza demu wangu mi kosa langu ni nini? Au kosa langu ni kuzaliwa handsome boy