Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Ni kweliMama Dr Samia leo ameutubia Ruvuma Hana furaha usoni Kuna kitu kinamsumbua.Ilq wale waliosoma.Dua Tanga majibu tutayaona tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweliMama Dr Samia leo ameutubia Ruvuma Hana furaha usoni Kuna kitu kinamsumbua.Ilq wale waliosoma.Dua Tanga majibu tutayaona tu
Kama macho huna hilo si kosa languJipeni moyo tu.
Hayo maandamano yamefanyika wapi?
Siyo yamedondokea pua?
Na itakuwa ni busara zidi kama hilo linaweza kutokea. Tusifumbie maho tatizo kama lipo lipo na ufumbuzi utafutweUjumbe umefika kwa Rais wetu kuna kitu hakipo sawa na naamini atakaa na familia zilizopoteza jamaa ili kupata ufumbuzi.
Nikiwa mtetezi wa haki za wanyama nachelea kusema Nyumbu ana akili kubwa wana umoja na mshikamano kuliko watanganyikaNyumbu buanna!! Mnachekesha sana, kwani we umetekwa?
Hakika litafanyika maana Mama Samia ni msikivu na ana huruma.Na itakuwa ni busara zidi kama hilo linaweza kutokea. Tusifumbie maho tatizo kama lipo lipo na ufumbuzi utafutwe
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.
Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.
- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.
Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?
Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Na wewe ulikuwa wapi, si Mbowe alitoa wito hata kwa wasiowanachadema kwamba waandamane? Kwa mantiki hiyo, kwa vile hukushiriki, basi na wewe msaliti au siyo?Wasaliti wakubwa nyie.Mmejificha chumbani kwenu huko tena uvunguni ,halafu saizi ndio mnajifanya kutoa pua zenu hapa. Mlikuwa wapi wakati Mbowe anakamatwa peke yake kama kuku? Waandishi wa habari ndio wamebaki wanamtetea na kumuombea asikamatwe na polisi huku Ninyi mmejificha porini huko
🗑🚮🗑🚮🗑🚮Mhhh. Kweli makurukurutabu ni janga la taifa. Eti lengo kuu la maandamano ya maandamano ya chadema ilikuwa ni kuijulisha dunia yote na tasisi zote za dunia na kwamba leo lengo hilo limefanikiwa kwa 100%. Hii ni akili ya samaki.
Hamujui hata dunia ni kitu gani. Kwenu Amerika na Ulaya magharibi ndiyo dunia nzima. Kwa taarifa yenu huko China, India Ukraine, Palestina, Amerika ya kusini, UAE na kadhalika hawana habari of your existence in this planet called dunia.
Hao mnaowaita dunia (USA, Canada and UK) ujumbe wenu walishausikia mapema tu na ku react kwa kuielekeza kwa maandishi na kwa matamko serikali yetu inachotakiwa kufanya. Raisi wetu shupavu aliwakoromea sana hao unaowaita dunia. Koromeo lake liliungwa mkono na kukaziwa zaidi na Umoja Afrika (AU) na Umoja wa Mataifa (UN).
Hao mnaosingizia wametekwa na kuuliwa na polisi hamna hamna ushahidi wo wote. Wengi wao inawezekana wametekwa na kuuliwa na chadema yenyewe kwani historia yake inajulikana kwenye masuala haya kuanzia ya Chacha Wenge nk. Inawezekana wengine wameuawa kwa kutembea na wake za watu, au kuiba mali za watu, kudhurumu wenzao, imani za ushirikina na kadhalika.
Uchunguzi (Criminal investigation) ya masuala haya siyo nyepesi kama ambavyo akili yenu inawatuma. Yanahitaji utaalamu wa juu na infrastrure ya juu katika dunia ya leo. Hata huko kwenye nchi zilizoendelea, zenye makamera kila mahali, forensic laboratories za hali ya juu, drones, artificial intelligence ya hali ya juu, robots na setilites za kutosha bado changamoto zipo nyingi tu kwani wahalifu nao wana akili na wanaweza ku evade hizo systems.
Sasa sembuse sisi ambao tunatumia zaidi ushirikishwaji wa wananchi huko mitaani, vijijini na vitongojini katika criminal investigation zeu. Kwa akili yenu mnafikiri maandamano ndiyo criminal investigation technique madhubuti ya kuwapata hao wahalifu. Mmeambiwa hiyo ni akili ya samaki. Leo mtakuwa mmejifunza kutokana na maandamano mliyokuwa mmeyapanga ku fail vibaya sana kwa wananchi kuyapuuzia mbali. Hata wewe hukuonekana huko kwa kuogopa kuchapwa virungu na kumwagiwa maji ya washa washwa. Kama mna akili hamtarudia tena hiyo dhana yenu ya maandamano.
Machadema ndio mdudu gani?Ujue baba yako na mama yako ni wanachama wa chadema na hivyo unawavunjia heshima nao ni Nyumbu!
Kwa hiyo na wewe ni nyumbu!!?Nikiwa mtetezi wa haki za wanyama nachelea kusema Nyumbu ana akili kubwa wana umoja na mshikamano kuliko watanganyika