Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%

Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%

Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.

"Njia pekee ambayo Wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa kupitia mtutu wa bunduki."

Jeff's O'Brien.
 
Wamefanikiwa hakika na ujumbe umefika..!
Ila Hawa jamaa wamezingua yaani wenzao wanaandamana mjini wao wapo mashambani sijui vichakani 🤣🤣🤣

Yani wanaume wa Mara mmekuwa waoga na nyie 😹😹
 

Attachments

  • IMG_3702.jpeg
    IMG_3702.jpeg
    122.1 KB · Views: 1
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
hii ni aibu kubwa mliyoipata kwa kushindwa kujitokeza kama mlivyokuwa mnapiga kelele kwenye vyombo vua habari hiyo imetudhihirishia ni jinsi gani mlivyo waoga na wapiga kelele kwenye keyboards aibu kwenu na ushindi kwa vyombo vya ulinzi kwa kuwadhibiti vilivyo ndiyo maana mange kimange anawaita chadema hakuna wanaume yaaani wote mademu tu
 
Wamefanikiwa hakika na ujumbe umefika..!
Ila Hawa jamaa wamezingua yaani wenzao wanaandamana mjini wao wapo mashambani sijui vichakani 🤣🤣🤣

Yani wanaume wa Mara mmekuwa waoga na nyie 😹😹
hakuna wanaume chadema wote mademu tu
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Samia must go, Tanganyika haiwezi kabisa, ameshindwa vibaya sana
 
Mkuu

Watu wa elimu ya STD seven
How they can have interagency unit.

Wamefundishwa kupiga na kutumia mtutu.
Mtutu kila mtuu anajua kutumia
Nimewashangaa sana leo. Wamekua kama nyumbu. Vipi kama tungekua tumevamiwa? Ingekua ni hatari zaidi
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Oya eeeh pesa za wagiriki zitawatokea puani🤣🤣🤣🤣🤣sie tunajuana bwana ni jamhuri ya ma keyboard warriors hayo mengine ni matembezi tu ya kawaida kama kwenda kko na kurudi magetoni,,,,yani makelele yooote mji hata haujui kama kulikua na maandamano
 
Polisi hawana intelligentsia kabisa.. Wamezingira nyumba akitoka tu wamkamate mwenyekiti.

Baadae intelijensia ikawaambia amesafiri jana kwenda Arusha. Wakawa na uhakika 100% tayari amewasili Arusha. Wakapata na ujasiri wa kutangaza kwamba amejifungia kwenye ofisi ya chama Arusha.

Wanakuja kushangaa mwamba kaibuka Magomeni 😅😅

Poor intelligence.
Intelejensia aliozungumzia Chura Kiziwi ikowapi
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
wanafanya siasa za uadui hata wakimuua mbowe na lis hawatamaliza uphnzan bali wataibuka wengine ambao ni zaidi hata ya mbowe na lisu, solution ni ccm wakae chini wajiulize wanakosea wapi. Kwani wakiongoza vizuri watapata hasara gan
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Yaani polisi wameyatangaza na kuyashiriki maandamano kuliko hata hao chadema wenyewe.
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Mkuu kumbe umechimba ? Nilifikiri wewe ni miongoni mwa 14 waliokamatwa.
 
Mkuu

Watu wa elimu ya STD seven
How they can have interagency unit.

Wamefundishwa kupiga na kutumia mtutu.
Mtutu kila mtuu anajua kutumia
Nyinyi ndio mmeshindwa kuelewa...

Mbowe alikua anatafutwa haonekani, amejificha...

Watu wakatumia akili ili jamaa atoke hadharani amuaibishe dogo wa arusha...

Na kweli Mbowe akajitokeza kumwaibisha dogo...

Na amemuabisha kweli maana kumbe yuko magomeni.
 
Back
Top Bottom