Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%

Ukweli ni kwamba Maandamano ya CHADEMA yamefanikiwa kwa 100%

Me nilijua tu hakuna atakaeingia barabaran kuandamana wabongo ni waoga sana wana kelele nyingi mitandaoni ila vitendo ni 0
Hata kwenye uchaguzi kutamwaga polisi kuliko hao walio mwaga leo hamtakua na ubavu wa kulinda kura zenu mjiandae kisaikojia.

hii ishu ingekua imeratibiwa Zanzibar na chama kikuu cha upinzani ingefanikiwa ata kwa %70 walau kidogo hawana uwoga wa polisi.
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
100% perfect
 
Me nilijua tu hakuna atakaeingia barabaran kuandamana wabongo ni waoga sana wana kelele nyingi mitandaoni ila vitendo ni 0
Hata kwenye uchaguzi kutamwaga polisi kuliko hao walio mwaga leo hamtakua na ubavu wa kulinda kura zenu mjiandae kisaikojia.

hii ishu ingekua imeratibiwa Zanzibar na chama kikuu cha upinzani ingefanikiwa ata kwa %70 walau kidogo hawana uwoga wa polisi.
Roho imekuuma kwa kuwa hatujavunjwa miguu
 
Mhhh. Kweli makurukurutabu ni janga la taifa. Eti lengo kuu la maandamano ya maandamano ya chadema ilikuwa ni kuijulisha dunia yote na tasisi zote za dunia na kwamba leo lengo hilo limefanikiwa kwa 100%. Hii ni akili ya samaki.

Hamujui hata dunia ni kitu gani. Kwenu Amerika na Ulaya magharibi ndiyo dunia nzima. Kwa taarifa yenu huko China, India Ukraine, Palestina, Amerika ya kusini, UAE na kadhalika hawana habari of your existence in this planet called dunia.

Hao mnaowaita dunia (USA, Canada and UK) ujumbe wenu walishausikia mapema tu na ku react kwa kuielekeza kwa maandishi na kwa matamko serikali yetu inachotakiwa kufanya. Raisi wetu shupavu aliwakoromea sana hao unaowaita dunia. Koromeo lake liliungwa mkono na kukaziwa zaidi na Umoja Afrika (AU) na Umoja wa Mataifa (UN).

Hao mnaosingizia wametekwa na kuuliwa na polisi hamna hamna ushahidi wo wote. Wengi wao inawezekana wametekwa na kuuliwa na chadema yenyewe kwani historia yake inajulikana kwenye masuala haya kuanzia ya Chacha Wenge nk. Inawezekana wengine wameuawa kwa kutembea na wake za watu, au kuiba mali za watu, kudhurumu wenzao, imani za ushirikina na kadhalika.

Uchunguzi (Criminal investigation) ya masuala haya siyo nyepesi kama ambavyo akili yenu inawatuma. Yanahitaji utaalamu wa juu na infrastrure ya juu katika dunia ya leo. Hata huko kwenye nchi zilizoendelea, zenye makamera kila mahali, forensic laboratories za hali ya juu, drones, artificial intelligence ya hali ya juu, robots na setilites za kutosha bado changamoto zipo nyingi tu kwani wahalifu nao wana akili na wanaweza ku evade hizo systems.

Sasa sembuse sisi ambao tunatumia zaidi ushirikishwaji wa wananchi huko mitaani, vijijini na vitongojini katika criminal investigation zeu. Kwa akili yenu mnafikiri maandamano ndiyo criminal investigation technique madhubuti ya kuwapata hao wahalifu. Mmeambiwa hiyo ni akili ya samaki. Leo mtakuwa mmejifunza kutokana na maandamano mliyokuwa mmeyapanga ku fail vibaya sana kwa wananchi kuyapuuzia mbali. Hata wewe hukuonekana huko kwa kuogopa kuchapwa virungu na kumwagiwa maji ya washa washwa. Kama mna akili hamtarudia tena hiyo dhana yenu ya maandamano.
Usilie, Mambo Bado
 
Nilishawahi kukutaja kwenye orodha ya wanaCCM wanaokisaidia chama mtandaoni ukabisha na mods wakaondoa jina lako kwenye list. Sasa leo umejianika wazi kuwa wewe ni mamluki ndani ya CHADEMA. Kina Mbowe wamejitokeza hadharani ila wewe na mamluki wengine mkajificha.
Nani kakuloga?
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Muwe mnaacha kujifariji kwa mambo ya kipuuzi hasa baada ya kufeli,kubalini kwamba tumefeli pakubwa na mjipange upya. Lengo kuu la maandamano hayo ya mchongo ilikuwa ni kuhakikisha akina Soka waliotekwa wanatudishwa je,wamerudishwa?ilikuwa ni kuhakikisha waliomteka na baadae kumuua mzee Ally Kibao wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria je,mefanikiwa kwa kiasi gani? Lengo lilikuwa kuhakikisha IGP,DGIS na waziri wa mambo ya ndani wanajiuzulu je,wamejiuzulu? Mlisema kama hayo yote hayawezekani basi Samia Must Go je amego where?
Shida yenu huwa hamuoni mlipofeli badala yake mnaishia kujifariji badala ya kuangalia mnatokaje hapo.
 
Pamoja na nyumba yangu Tandika Mwembeyanga kuzingirwa tangu saa 4 usiku, Lakini muda huu niko mnazi mmoja, sasa kama hapa kuna uvungu basi sawa
Nimekuona ayeyeyeyeyeeeeeeee we ni jasiri sana polisi wamekuona wakakimbia kwa hofu yaani wewe ndo kamanda wa ukweli wa kukivusha chama chenu🤣🤣🤣
 
Muwe mnaacha kujifariji kwa mambo ya kipuuzi hasa baada ya kufeli,kubalini kwamba tumefeli pakubwa na mjipange upya. Lengo kuu la maandamano hayo ya mchongo ilikuwa ni kuhakikisha akina Soka waliotekwa wanatudishwa je,wamerudishwa?ilikuwa ni kuhakikisha waliomteka na baadae kumuua mzee Ally Kibao wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria je,mefanikiwa kwa kiasi gani? Lengo lilikuwa kuhakikisha IGP,DGIS na waziri wa mambo ya ndani wanajiuzulu je,wamejiuzulu? Mlisema kama hayo yote hayawezekani basi Samia Must Go je amego where?
Shida yenu huwa hamuoni mlipofeli badala yake mnaishia kujifariji badala ya kuangalia mnatokaje hapo.
Usiondoke JF
 
Labda kama nchi ni ya mmeo tu, asubiri yaliyofika dikteta Magufuli
Wacha weee kwahio ndo mmepanga hayo sio???? Mnataka mrudie tena sio......tunawangoja.....uzuri mnaosema haya wengi mpo nje ya nchi ila wa hukuhuku ndo kama leo ma keyboard warriors tu
 
Wacha weee kwahio ndo mmepanga hayo sio???? Mnataka mrudie tena sio......tunawangoja.....uzuri mnaosema haya wengi mpo nje ya nchi ila wa hukuhuku ndo kama leo ma keyboard warriors tu
Je Jiwe hakufa?
 
Mama Dr Samia leo ameutubia Ruvuma Hana furaha usoni Kuna kitu kinamsumbua.Ilq wale waliosoma.Dua Tanga majibu tutayaona tu
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Sijayaona huku nanjilinji
 
Lengo Kuu la Maandamano haya lilikuwa ni kuijulisha Dunia yote na Taasisi zote za Kimataifa kwamba Serikali ya Tanzania ndio inayoteka na kuua Wakosoaji wake kwa kutumia vyombo vya Dola, Hili limethibitika Rasmi, kwa Ushahidi Mwanana, Kauli ya Rais ya Juzi na mnachokiona mitaani ni uthibitisho kwamba Wauaji ni Watu wa serikali na Wanalindwa kwa Udi na Uvumba.

Kujitokeza hadharani kwa Freeman Mbowe huko Magomeni, Huku akijua kwamba atapigwa risasi ili afe au atakamatwa, Kumekata Ngebe na kuwafunga mdomo waliodhani hili jambo ni Utani, Huu ni Ushindi Mkubwa sana.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Hata ukimuuliza leo IGP au hata RPC Murilo kwanini wanazuia Maandamano ya Chadema, hawatokuwa na Majibu yoyote zaidi watasema ni Amri kutoka Juu.

Bali Swali ni hili, Unateka mtoto kama Soka na kumuua ili upate nini, uokoe nini au ushinde kitu gani ambacho kijana huyo alikuzuia kukishinda? Kama mnataka kuimaliza CHADEMA kwanini msimuue Mbowe au Lissu ili mkate kabisa mzizi wa Fitna?

Bali ifahamike kwamba Mungu siyo fala, Na Kila Ubaya Utalipwa.
Jipeni moyo tu.

Hayo maandamano yamefanyika wapi?

Siyo yamedondokea pua?
 
Back
Top Bottom