MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Naam... Ndugu yangu kahama Chamazi, uswahili mwingi 🤣🤣🤣🤣Shida ni majirani wanaokuzunguka. Wana mwamko wa maendeleo? Elimu? Au ndo full kupiga nyanga 365days a year.
Kuna mtu aliwahi kuniambia ukitaka kununua sehemu kwa ajili ya kuishi angalia majirani zako. Nami nikajiongeza huwa naangalia na maduka ya dawa za asili. Nikiona yako mengi nakimbia kama Usain bolt.
Hakuna hadhi yeyoye Ile pengine ni ushamba wa maeneo tuStatus/hadhi
Ila mvua ilipiga sana mwaka 2019 kule ikaacha majangaWilaya pekee ambayo haijawahi kuwa na mafuriko-Kigamboni
Jina limekaa hovyo hovyoLabda mbadili hilo jina la mbagala
Otherwise hamtoboi
Leo nimeangalia video moja ya baba askofu Gwajima akituhadai wapiga kura wake nimecheka sana
Legos kinyaaTatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu
Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
Hakunaga mafuriko kabisa, ila mipango miji maeneo yenye miinuko kama kimara, bonyokwa, mbezi hadi kibamba walipakosea sana. Hayo maeneo yangepimwa na mipango miji yangependeza sana, ila hakuko vibaya sababu wauzaji na wanunuzi walijiongeza wenyeweUmewahi kusikia Kibamba kuna mafuriko?
Hakunaga mafuriko kabisa, ila mipango miji maeneo yenye miinuko kama kimara, bonyokwa, mbezi hadi kibamba walipakosea sana. Hayo maeneo yangepimwa na mipango miji yangependeza sana, ila hakuko vibaya sababu wauzaji na wanunuzi walijiongeza wenyewe
Mkuu hadhi ya maeneo ipo, unaweza toka sehemu Moja ukaenda sehemu nyingine ukahisi ni nchi tofautiHakuna hadhi yeyoye Ile pengine ni ushamba wa maeneo tu
Mkuu kiwanja ni bei gani huko?Bunju hakuna mafuriko acha uwongo, hii mvua ya leo Bunju imenyesha kidogo sana wala hatujatikisika, kwa ukanda huu majanga yapo Tegeta, Mbezi beach (njia panda ya Goba), Njia panda ya Wazo, Kunduchi Mtongani, Bahari beach, Ununio Mbweni, Boko Basi haya, huko ndiko kumeathirika. Bunju kupo shwari kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni mipango miji
Yaani kutoa viwanja holela unauziwa kiangazi na masika nyumba inabadilika kuwa meli iliyopaki
Wa kuwalaumu ni hao wasiokuwa na maono unagawaje viwanja kwenye mikondo ya maji
Hata kama kuna mkondo na maji yanapita yaheshimiwe maana yana nguvu kutuzidi sio kila mahali ni kujenga tu
Wenzetu Holland ukipaona wao kwa ujenzi nawakubali duniani
Wameamua sehemu zingine kuweka maji na nyumba za kuelea hakuna magari badsla yake ni maboti yanapita juu ya maji
Kwa sisi ni ngumu kufikia huko maana nawaza kama ya Nigeria kwa uchafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbagala udongo wake kichanga kama kigamboni
Mbezi bunju mbweni boko nk
Dongo mfinyanzi
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapi matajiri wa mbweni jkt mlipigwa[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii khaaahMbweni kule mvua ikinyesha Kuna mitaa nyumba zinaonekana kama visiwa vya ukerewe