Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Nadhani hustahili lawama kwa Sababu ya Umri pengine!

Unajua au kusikia ajira ya waalimu wa UPE?

UNAJUA UPE NININI?

Unajua kwa nini Mwalimu alifanya hivo?

Mwalimu alifanya kila aliloweza!

Sema tu neno UJAMAA NI JINAMIZI HATA LEO!!
 
Sababu za Nyerere kufeli ni external factors za kubadilika kwa Sera za kisiasa na kiuchumi za kidunia.Sera zilizopelekea mataifa ya kiafrika kuletewa ukoloni mambolea.
Kwa Tanzania hakuna kiaongozi kama Nyerere ukiwajumuisha Mwinyi,Mkapa,Kikwete,Magufuli &Samia ukiwajumuisha wote hawafikii hata robo ya uwezo wa Nyerere kiouongozi.

Matatizo ya Tanzania yamesababishwa na viongozi wasio na vision baada ya Nyerere,ni Mara 100 angeendelea Nyerere kuongoza.
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kila siku nasema h
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kila mara nasema humu Nyerere na mashoga zake walikua na tamaa ya uongozi tu hatukua tayar kujitawala hivi unaenda kudai Uhuru nchi nzima haina hata watu waliotayar kua viongozi unaenda kudai Uhuru wa nini kisa shobo za kijinga
Nyerere katuingiza kwenye zahma kubwa sanaa tena hasa baada ya kutuachia hawa CCM chama cha mambuzi ndio maana wale vijana kina hanspope walitaka kukapindua kwasababu waliona kabisa huyu atakuja kua ndio chanzo cha umaskini wa watanzania
Miaka ya baadae kuna vijana wataenda kulichapa bakora kaburi lake hawa kina Nyerere nashangaa tunawaenzi Kwa upuuzi waliotuletea
#Mchonga meno katuweka kwenye matatizo mengi zaidi ya faida#
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kwa hayo nyerere hayumo, waliofuata mpaka sasa hawajafanya kazi yao kutuvusha sawasawa.
 
Nyerere unamuonea bure.

Nyerere amekuta nchi iko so disorganized, magonjwa, ujinga, umaskini wa kutupwa na ukabila

Nyerere alikua na mlima mrefu sana wa kupanda, kwanza kuhakikisha chembechembe za ukabila zinakufa na kuleta umoja, kupambana na ujinga, kuhakikisha watu wanajua hata kusoma na kuandika. Ulitaka awape elimu gani kama hata kusoma na kuandika hawajui? Ulitaka awape elimu ya uraia wakati hata kusoma hawajui?

Mwalimu kakuta pepopunda, surua, polio, kifua kikuu, kifaduro, kwashakoo na magonjwa mengine yametamalaki kwa watanzania, ulitaka awape alimu ya uraia huku akiwaacha wafe?

Mwalimu kakuta Watanzania ni mafukara wa kutupwa, hawana matumaini ya kesho, akaanzisha vijiji angalau wawe pamoja ili iwe rahisi kuwaletea maendeleo kwa sababu walikua so scattered and disorganized, akaanzisha mashamba ya ushirika ama sustainable farming, akahakikisha anapeleka watu shule wakasome waje wampokee ma kubadilisha nchi kina Chenge na wengine, matokeo yake, wamekua wezi.

Nyerere alipigana kuanzisha viwanda, mashamba ya vijiji, na mambo mengine mengi bila kuuza ardhi hata kipande kimoja kwa waarabu wala wazungu.

That man died poor, had nothing kwa kuwapigania Watanzania

Na alivyokua mwema yule bwana, alipotoka madarakani aliangalia nyuma, akaona failures zake na success zake, akakiri kwamba kweli kuna mahala alifeli, na sababu kubwa za failure za mwalimu zilikua nje ya uwezo wake, kumbuka oil crisis and financial crisis za 70s and 80's.

Yule jamaa alipoona he can continue failing, akajipumzikia yeye mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote. Angeweza kufia madarakani.

Tukubaliane kwamba CCM ndio ya kulaumiwa, ila kumpa Nyerere zigo la lawama ni kumuonea. Yule bwana aliachia hii nchi miaka zaidi ya 35 iliyopita, hao wengine waliofuata walifanya nini?
Umemaliza yote.
Bila ya kusahau pia Mwalimu Nyerere alikuwa na msemo wake kwamba "Ikulu ni sehemu ya lawama,ikulu sio sehemu ya kuikimbilia"lakini hawa viongozi wa sasa wako tayari kutumia nguvu yoyote ili mradi wabaki ikulu na kuendelea kuitawala nchi ikiwemo na kuandaa watoto wao waje kuendeleza kuitawala nchi na hata wanaostaafu bado wanataka kuishikilia nchi kuwa mali yao.
Ni aibu kubwa sana kumfananisha nyerere na viongozi wa kisasa wenye tamaa ya kujilimbikizia utajiri wa nchi.
Leo hii aje kusifiwa mtu aliyefanya ufisadi wa kufuru kwa kujenga majengo tupu ya shule yasiokuwa na walimu ambayo yanalea watoto kisha wanarudi mtaani kuwa Panyaroad,je hiyo ndiyo elimu inayokusudiwa Watanzania waipate?
 
Mwl alifeli pia kwa kukitukuza kiswahili na kukipromote kuwa lugha ya taifa .
Tunetengeneza taifa ambalo lipo isolated sana na dunia. Watu wanahitaji akina mkandara kutafsiriwa cnn english news.
Huwezi kuendelea ki technolojia kwa kutumia lugha ya mwenzio,mataifa yote yanayoongoza katika technology mbalimbali Duniani wanajifunza kwa lugha zao.
Leo Hui Putin ugomvi wake mkubwa ni kuhusu west Ku destroy culture ya Russia. Alicho kosea Nyerere ni kutobalisha masomo yawe kwa lugha ya Kiswahili kuanzia darasa LA kwanza hadi university
 
Huu sio muda wa kumlaumu marehemu...huu ni muda wa kuanza kuleta mabadiliko unayotaka kuyaona.
It begins with you.
Watu wanaoifisidi Nchi ni lazima wamtafute mtu wa kumwangushia gari bovu !!
Sisi tunashikilia kwamba yeye Mwalimu hakuwa fisadi na hiyo inatosha kuamini kwamba alikuwa ana nia njema sana na Taifa lake !
Mengine aliyokosea ni kwa mapungufu ya kila binadamu aliyonayo !
Hakuna binadamu aliye mkamilifu !!
 
Sasa kwa miaka hiyo 24 aliyokaa alifanya nini kutengeneza watanzania wenye elimu ya kuchimba hayo madini? Je alijenga shule ngapi za sekondari zinazofundisha mambo ya madini? Kumbuka alikaa 24yrs kwenye uongozi.

Alifanya nini sasa kuhusu watanzania kupata elimu ya madini? Ilimshinda nini kila wilaya kuchukua watu watano wakasomee madini kwenye nchi zilizokuwa zimeendelea.

Watu 5 kila wilaya kama upo na wilaya 100 maana yake ni wasomi 500 wa madini baada ya miaka sita. Alishindwa nini?
Hivi unafikiri kina mhongo walisomeshwa kipindi gani, tatizo letu kubwa ni ubinafsi.
Ukiangalia wakuu was usalama wengi kipindi chake walikuwa PhD holder.
Aliondoa mfumo was watoto wa machifu kuwa wapewe kipaumbele kusoma, alitaifisha shule za dini Ila Kila mtu asome.Alianzisha vyuo vingi vya Kati ili watu wapate ujuzi Leo hii tuna vyuo na wasomi wengi wanasaidia Nini taifa, PhD wa uchumi anaweka tozo benki?
 
Mwalimu Nyerere alitawala miaka 24. Niambie kwanini aliweza kujenga viwanja vya mpira kila mkoa? Kwanini aliweza kujenga ofsi za chama kila kijiji?

Alishindwa nini kuweka sera hata ya miaka 5 kujenga shule za sekondari kila kata kama alivyofanya Lowassa?

Yaani yapo mataifa mengi tu tulikuwa sawa nayo wakati tunapata uhuru lakini waliwekeza kwenye elimu. Nchi za Malaysia, Thailand nk.

Waliwekeza kwenye elimu. Alishindwa nini kujenga shule za msingi kila kijiji?
Enzi za Nyerere huduma za elimu, hadi anangatuka zilikuwa nzuri sana! Tatizo baada ya hapo, serikali ilianza kutumia hela za umma kulia Bata! Kuanzia Mwingi, safari za nje za anasa! (Rejea safari ya RioDejeneiro ktk mkutano wa mazingira mwaka 1992).
Kama warithi wake Wangwe seleza jitihada zake, tatizo la elimu halingekuwa!
Ila katika katiba, mimi simtetei Nyerere, alituuza, ndiyo chanzo cha ubovu wa Tz ya leo!
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...


Huyu mzee unamuonea Tu

Kwa miaka Ile hata chakula cha kulisha wanainchi wake ilikuwa ishu

Hata dawa hospital zilikuwa hamna

Do you think angewekeza Kwa watu kupata Elimu kuliko kula?
 
Nadhani hustahili lawama kwa Sababu ya Umri pengine!

Unajua au kusikia ajira ya waalimu wa UPE?

UNAJUA UPE NININI?

Unajua kwa nini Mwalimu alifanya hivo?

Mwalimu alifanya kila aliloweza!

Sema tu neno UJAMAA NI JINAMIZI HATA LEO!!
UALIMU PASIPO ELIMU
Hiki ndicho kituko kingine alichokifanya mwalimu.

Utawafundishaje watu wewe huna elimu? Nyerere alikuwa nataka ku reinvent the wheel.

Ukweli ni kwamba alikuwa na kila namna ya kujenga nchi ya wasomi. Kulikuwa na nchi nyingi tu zilizokuwa zina mu support. Angeweza hata kupeleka watu wake wakajifunzo huko namna ya kufundisha.

Just imagine kama angeweza kupeleka watu watu 10 kila kijiji wakaenda kusomea ualimu kwa miaka miwili miwili. Maana yake kipindi cha miaka miwili angekuwa na walimu 200,000.

Sasa unakuja na sera ya UPE what a failure.
 
Ukweli mchungu ,pro ujamaa watakuja kukuambia eti mwalimu aliacha Mali nyingi za umma.
Nyerere ameacha nchi ikiwa bikra kabisa bila kuiba chochote.

  • Ameacha madini
  • Ameacha misitu
  • Ameacha mashirika yaumma zaidi ya 400

- Ameacha viwanda lukuki, vingunguti ilikuwa imechangamka.

- ameacha nchi moja.

Waluofuata wamefanya nini, zaidi ya kugawana keki ya taifa, kugawia watoto wao na machawa??!!
 
Huyu ndio rais aliyeweza kulinda rasilimali zanchi kama leo hii rais ndani ya miaka 2 tu kashauza kila kila kitu tukimpa miaka 20 hii nchi itakuwa sio yetu tena tutarudi kwenye ukoloni
Na huyo huyo ndie alietuwachia hii katiba wanayoitumia hao viongozi kufanya wanavotaka inawapa mpaka kinga ya kutoshitakiwa

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Hao wachache walisomeshwa na mwalimu, zaidi ya kuwa mafisadi wameifanyia nini nchi? Aliiacha nchi ikiwa unexploited, lakini wameuza kila kitu, walipoona raslimali zote zimekwisha, wameamua kuuza hata Bandari kwa style ya santakalawe.

Kufika 2030 hata chama chao kilichoanzishwa na nyerere na wenzake watakipiga mnada.
 
alichokosea ni kuwa alijua hii katiba siyo ila akatuachia hivyo hivyo hayo mengine unamuonea!
angebadili katiba na kuweka sheria kali kwa viongozi wa umma wala tusingekuwa hapa!
 
Enzi za Nyerere huduma za elimu, hadi anangatuka zilikuwa nzuri sana! Tatizo baada ya hapo, serikali ilianza kutumia hela za umma kulia Bata! Kuanzia Mwingi, safari za nje za anasa! (Rejea safari ya RioDejeneiro ktk mkutano wa mazingira mwaka 1992).
Kama warithi wake Wangwe seleza jitihada zake, tatizo la elimu halingekuwa!
Ila katika katiba, mimi simtetei Nyerere, alituuza, ndiyo chanzo cha ubovu wa Tz ya leo!
Kwenye Katiba hapo ndipo alipobugi stepu na alikuja kuliona hilo na akaonya when it was too late !
 
Nimeongelea kuna baadhi ya nchi walijenga misingi ya nchi zao katika elimu. Nchi yetu haijajengwa kwenye misingi ya elimu.

Nyerere alikuwa ndiye mjenga msingi wa nchi. Msingi wa nchi umejengwa mbovu. Taifa la watu wasiojiamini, taifa la watu wasio na elimu.

Ilikuweza kujenga taifa imara ni muhimu kutambua makosa yaliyofanyika huko nyuma, nasiyo kuyafumbia macho na kujifariji kwa vitu visivyo na tija.

Tukitambua kuwa msingi wa taifa letu umejengwa vibaya ndipo tunaweza kuubomoa msingi huo na kujenga taifa imara la wasomi.

But tukitukuza hata vitu hivi vya ovyo tutakuwa hatujengi taifa letu. Lazima tuseme ukweli kuwa Nyerere ailiharibu taifa letu.
Asante tena kwa uchambuzi mzuri...

Msingi wa watu wanaojiamini,msingi wa watu wenye elimu nzuri...nadhani hapa hauongelei tena idadi,bali aina ya elimu ya hao wachache waliyoipata.

Ni kipindi hicho cha Nyerere mtu akipata elimu,unaiona elimu yake wazi wazi,kuliko elimu hii ya sasa ambayo wengi wanaingia shule wakiwa wajinga,wanatoka wakiwa wajinga vile vile..wanafaulu div 1 za kutosha lakini unapomsikiliza unamuona elimu hajaipata sawasawa.

Elimu ya kipindi hicho,serikali iliibeba elimu kama wajibu wake wa msingi,mtu atapata huduma zote za elimu bure hadi chuo kikuu,leo hii elimu inaendeshwaje? ,hatushudii wanafunzi wanashinda na njaa shuleni kutwa nzima,huku serikali ikilazimisha wazazi wachangie chakula,wazazi wasipo changia chakula hicho wanafunzi wanashinda na njaa kutwa nzima...

Rungwe mzee wa ubwabwa amekuwa akiishangaa serikali inapelekaje mtoto shule bila kumhakikishia kuwa atakula?

Hoja yako kubwa naiona ni kuihamasisha serikali iboreshe elimu na siyo kukazania kuongeza idadi ya vituo vya watoto kwenda kukua huku wakiviita vituo hivyo shule
 
Hivi unafikiri kina mhongo walisomeshwa kipindi gani, tatizo letu kubwa ni ubinafsi.
Ukiangalia wakuu was usalama wengi kipindi chake walikuwa PhD holder.
Aliondoa mfumo was watoto wa machifu kuwa wapewe kipaumbele kusoma, alitaifisha shule za dini Ila Kila mtu asome.Alianzisha vyuo vingi vya Kati ili watu wapate ujuzi Leo hii tuna vyuo na wasomi wengi wanasaidia Nini taifa, PhD wa uchumi anaweka tozo benki?
Ndio maana nasema kipindi chake elimu ilikuwa bahati mzee. Haikuwa haki ya watanzania wote.

How many people like mhongo wapo. Na hawa wamekuwa machawa tu, kutokana na kuishi katika nchi isiyo na misingi bora ya elimu.

Kila mwaka sera za elimu zinabadirika. Hakuna msimamo wowote kwenye elimu ya mtanzania. Hii nikutokana na muweka maono ya nchi kukosa dira ya elimu katika nchi yake.


Kwa hili la elimu Nyerere ali fail.
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Nyerere aliogopa wasomi ili kuzuia ukosoaji dhidi ya sera zake za kijamaa.
 
Back
Top Bottom