Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Nyerere alikuwa na utu, alithamini watu wote sawia na alichukia ufisadi na ubadhrifu toka ndani ya moyo wake je hao akina Lowasa anaowasifia wametajwa kuhusika na wizi wa mali ya uma mara ngapi na hawajakanusha, je hivyo walivyoiba si wangevifanya vya uma kiwango cha umasikini kingepungua?
Alimtesa Oscar Kambona bila sababu.
 
Nyerere alikuwa na utu, alithamini watu wote sawia na alichukia ufisadi na ubadhrifu toka ndani ya moyo wake je hao akina Lowasa anaowasifia wametajwa kuhusika na wizi wa mali ya uma mara ngapi na hawajakanusha, je hivyo walivyoiba si wangevifanya vya uma kiwango cha umasikini kingepungua?
Kitu gani Oscar alimkosea Nyerere mpaka huo utu wake unao uzungumzia kupotea ?
 
Siyo kweli;ilikuwa ni mazingira tofauti sana kati ya nezi za Nyerere na enzi za leo. Ungewapa JPM na Samia kutawala nchi hii enzi za Nyerere huenda ingewashinda kabisa.
Sawa, hebu tuelezo hayo 'mazingira' yaliyopelekea yeye kushindwa kabisa kuelimisha wananchi wae
 
Nyerere alikaa madarakani miaka 24, na kati ya hiyo 24, mmoja ulikuwa ni chini ya Malkia, na mwingine miwili kabla ya Muungano, kwa hiyo effective term yake ilikuwa ni miaka 21 tu.
Hiyo miaka 21 michache ?
 
Kipindi cha Nyerere mpaka anang'atuka literacy rate ilikuwa chini ya 50%. Hapa unasemaje?
Uwongo; literacy rate ya mwaka 1984 ilikuwa zaidi ya 80% Usitunge data kujifurahisha. Mimi niliwahi kutumiaka kufundisha elimu ya watu wazima kwenye kipindi cha Nyerere wakati nikiwa mwanafuzi wa sekodari, na ninajua jinzi wazee walivyowekza kujua kusoma na kuandika. **** umeangal;ia video ya Amini kabla ya vita ya Kagera kuanza, alikabidhiwa kitabu kilichotekwa na askari wake ambacho kilikuwa kitatumika katika elimu ya watu wazima Tanzania wakati huo.

1693154895969.png
 
Kwa lipi alilolifanya
Soma kuhusu Kambona baada ya Tanganyika kupata uhuru.
Alikuwa waziri wa elimu wa kwanza.

Kisha alimshauri Nyerere asiue vyama vya siasa kuwe na vyama vingi. Lakini Nyerere alikasilika na kumuita Oscar Kambona kuwa ni mhaini.

Aliwafunga ndungu wa Kambona. Kambona alikimbia nchi.
 
Hiyo miaka 21 michache ?
Ameoandoka madarakani takriban miaka 45 sasa, bado unamlalamikia? Nyerere aliondoka madarakani miaka kumi kabla ya vita ya Kimbali ya Rwanda. Leo Rwanda imesimama imara kuliko Tanzania halafu watu wa aina yako mnaamka usingizini kusema ni kwa sababu ya Nyerere. JPM alijitahidi kutuweka sawa lakini sasa tunarudi kule kule kwenye mambo ya uswahili wa kulalamika na kutafuta misaada.
 
Uwongo; literacy rate ya mwaka 1984 ilikuwa zaidi ya 80% Usitunge data kujifurahisha. Mimi niliwahi kutumiaka kufundisha elimu ya watu wazima kwenye kipindi cha Nyerere wakati nikiwa mwanafuzi wa sekodari, na ninajua jinzi wazee walivyowekza kujua kusoma na kuandika. **** umeangal;ia video ya Amini kabla ya vita ya Kagera kuanza, alikabidhiwa kitabu kilichotekwa na askari wake ambacho kilikuwa kitatumika katika elimu ya watu wazima Tanzania wakati huo.

View attachment 2730664
Sasa mzee wangu unaweka hiyo screenshot haijulikani hata umeitoa wapi. Unazozifanya hapa ni cheap propaganda.

Kizazi cha sasa hakidanganywi kivyo. Weka source ya taarifa zako watu waweze evaluate. Unaogopa nini?
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kama hujui legacy ya Nyerere bora ukae kimya. Hiki ndio kile kizazi ambacho hata Nyerere mwenyewe mmemsikia kwenye tv.

Unafahamu vyuo vikuu vya serikali isipokuwaUDOM tu alijenga yeye. UDSM, SUA, Mzumbe, CBE, vyuo vingi vya ufundi Moshi Tech, Dar Tech, ArushaTech n.k

Unafahamu vyuo na taasisi za utafiti nchi nzima Maruku(Kagera), Lyamungo (Moshi), Ukirguru(mwanza) Uyole (Mbeya), Naliendele, Katrini, selian, n.k

Unafahamu shule zote za secondary za serikali zilizokuwepo kabla ya mkapa kuanza kujenga alijenga Nyerere over 200,

Unajua shule za msingi zilizokuwepo kabla ya mkapa alijemga Nyerere.

Unafahamu wakati wa nyerere Darasa moja lilokua watotohawazidi 45 na hakuna mtoto aliyekaa chini

Unajua wakati wa nyerere hakukuwa na ada, watoto walisoma bure na walikula shule na vitabu na madaftari walipewa bure kila mtoto.

Unatambia literacy level ilifikia 82% kutoka less tha 10% wakati tunapata uhuru

Some literature, vyuo vikuu vyetu vilikua vinaongoza Africa kwa ubora wa elimu

Mapungufu yameanza baada ya kuingia warith wake.

Sijui kwa nini umeamua kumbagaza huyu mzee wakati ndio aliyepigania elimu kwa kiwango cha juu sana. Na ameandika maandiko mengi sana kuonyesha umuhimu wa kukuza elimu.

Kama hijamsoma nyerere uaipende kutoa lawama kwa usiolijua
 
Ameoandoka madarakani takriban miaka 45 sasa, bado unamlalamikia? Nyerere aliondoka madarakani miaka kumi kabla ya vita ya Kimbali ya Rwanda. Leo Rwanda imesimama imara kuliko Tanzania halafu watu wa aina yako mnaamka usingizini kusema ni kwa sababu ya Nyerere. JPM alijitahidi kutuweka sawa lakini sasa tunarudi kule kule kwenye mambo ya uswahili wa kulalamika na kutafuta misaada.
Unataka makosa yake yasisemwe ili liwe funzo. dogo umeazimisha kichwa ?
 
Sasa mzee wangu unaweka hiyo screenshot haijulikani hata umeitoa wapi. Unazozifanya hapa ni cheap propaganda.

Kizazi cha sasa hakidanganywi kivyo. Weka source ya taarifa zako watu waweze evaluate. Unaogopa nini?
Kama huwezi kufanya research usitoe hoja. Iwapo hata huwezi kujua hiro screenshot imetokana na document gani, basi huna authority ya kusema kuwa literacy rate wakati wa Nyerere ilkikuwa ya chini kwani ni wazi hujafanya marejeo ya kutosha. Nenda katafute records za UNICEF na UNESCO ndipo ulete hoja hapa.
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Marehemu hasemwi😁😁😁
 
Ameoandoka madarakani takriban miaka 45 sasa, bado unamlalamikia? Nyerere aliondoka madarakani miaka kumi kabla ya vita ya Kimbali ya Rwanda. Leo Rwanda imesimama imara kuliko Tanzania halafu watu wa aina yako mnaamka usingizini kusema ni kwa sababu ya Nyerere. JPM alijitahidi kutuweka sawa lakini sasa tunarudi kule kule kwenye mambo ya uswahili wa kulalamika na kutafuta misaada.
JPM aliwaweka sawa wewe na ukoo wako. Au wewe ni mnufaika wa uchafuzi wa kidikteta wa 2020 wa zimwi ?
 
Unataka makosa yake yasisemwe ili liwe funzo. dogo umeazimisha kichwa ?
Cheap scapegoats. Iwapo Nyerere angekuwa Mwislamu, most likely usingengekwenda miaka 45 nyuma nyuma kumtafuta wa kumlaumu. Lawama kwa nyerere huwa zinapamba moto sana wakati Rais akiwa mwislamu; dini inasukumiza sana kudumaza mawazo na maono ya watu.
 
Siufahamu vizuri umri wako lakini Mwalimu Nyerere alipambania elimu kuliko kitu kingine chochote.

Tulisomeshwa bure na nakumbuka pale forodhani sekondari wakati nikiwa shule ya msingi walikuwa na mpaka sehemu ya kanteen kwa ajili ya chakula cha wanafunzi.

Tulikuwa tunapewa vitabu vya bure, na vilipatikana kwa wingi pale katika duka la Elimu Supplies. Mwalimu alipambana sana na sidhani kama ni vyema kila baya kumtupia yeye.

Aliondoka ikulu mwaka 85 imepita miaka 38, tumefanya nini kuanzia alipoiacha nchi mpaka leo hii?

Wamepita marais wanne tangu alipoondoka ikulu, wamefanya kipi cha maana katika kuendeleza elimu ya nchi?.
Sijui kama ni wewe kweli, lakini potelea mbali, imenilazimu nitoe 'like' tu.

Jambo la muhimu kwa nchi yetu hii ni kuwa wakweli tu wa nafsi zetu, bila kujali maslahi ya mtu mmoja mmoja au kundi maalum na kuanza kuuacha ukweli huo.

Hapa naona ulichoandika ni ukweli mtupu, lakini inafaa nikukumbushe, huyo uliyemjibu wewe katika hili, jitazame mwenyewe pia katika lile jingine lililoteka akili yako yote kwa sababu malum uzijuazo mwenyewe.
 
JPM aliwaweka sawa wewe na ukoo wako. Au wewe ni mnufaika wa uchafuzi wa kidikteta wa 2020 wa zimwi ?
Ninajua huwezi kumkubali lakini JPM aliiweka nchi sawa sana. Wewe ni mmoja kati ya watu ambao wako biased kwa hiyo huwezi kuona ukweli ukoje iwapo ukweli huo hauko kwenye lines za imani yako! History will tell.
 
Cheap scapegoats. Iwapo Nyerere angekuwa Mwislamu, most likely usingengekwenda miaka 45 nyuma nyuma kumtafuta wa kumlaumu. Lawama kwa nyerere huwa zinapamba moto sana wakati Rais akiwa mwislamu; dini inasukumiza sana kudumaza mawazo na maono ya watu.
Kwa akili zako zilizo oza hapa kuna mtanange kati ya muslims vs christians, muslims leaders vs christians leaders. Umevuta bangi ?
 
Back
Top Bottom