Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

Ni wazi ndivyo ilivyo.
Kisheria kuna ile haki inaitwa exclusive right, kwamba kama msanii ameuza mpaka exclusive right basi anakuwa hana haki tena na hiyo kazi.

Mfano, nasikia Darassa aliuza album yake boomplay kwa milioni 140 hivi (na exclusive right), baadae wimbo wake wa I Like It ukatumika kwenye movie na boomplay wakalipwa milioni 600, akaanza kujilaumu.
 
Soggy hata juzi kama miezi miwili imepita alikuwa anaongea kuwa waliingia mgogoro na P Funk baada ya ngoma ya Darubini Kali ya Afande Sele, beat aliifanya Soggy ila credit hakupewa na vitu kama hivyo.
Soggy na Lamar si Sawa na Prof. Ludigo na Bizman. Hawa ni wanafunzi tu wa Majani huko studio. Walikuwa wameajiriwa hapo kama Producers!?
 
Kisheria kuna ile haki inaitwa exclusive right, kwamba kama msanii ameuza mpaka exclusive right basi anakuwa hana haki tena na hiyo kazi.

Mfano, nasikia Darassa aliuza album yake boomplay kwa milioni 140 hivi (na exclusive right), baadae wimbo wake wa I Like It ukatumika kwenye movie na boomplay wakalipwa milioni 600, akaanza kujilaumu.
daah noma sana aisee😱😱 umaskini huu mbayaa
 
Kisheria kuna ile haki inaitwa exclusive right, kwamba kama msanii ameuza mpaka exclusive right basi anakuwa hana haki tena na hiyo kazi.

Mfano, nasikia Darassa aliuza album yake boomplay kwa milioni 140 hivi (na exclusive right), baadae wimbo wake wa I Like It ukatumika kwenye movie na boomplay wakalipwa milioni 600, akaanza kujilaumu.
hivi mpaka beat inatumika inakuwa hao wanaogiza movie wameitaka au umejipigia promo??
 
hivi mpaka beat inatumika inakuwa hao wanaogiza movie wameitaka au umejipigia promo??
Wanakuwa wameipenda wenyewe. Ila wakati mwingine huwa wanatoa tangazo watu walete kazi zao ili zitumike kama soundtrack, wanatoa idea ya movie na kusema nyimbo ziwe na maudhui hayo, ila mara nyingi ni kwa wao kupenda nyimbo zilizotoka tayari.

Kwenye Sometimes in April movie, walitumia kinyemela wimbo wa Dataz ft Soggy Doggy; Soggy alipofuatilia walilipwa hela yeye na Dataz
 
Cosota hawajui kitu kabisa. Ni wasomi wanaoajiriwa kwa elimu ya vyeti tu ila hawajui vitu kimtaa.

Walichoenda kufanya ni kuthibitisha kuwa kazi ilisajiliwa cosota hicho tu ndicho walichofanya. Kumbuka wenye movie hawataki milolongo na makesi kesi kwa hiyo wakatoa mpunga kama ambavyo walimtoa Chameleone kiholela, hata Profesa Jay huenda angekomaa nao naye wangemtoa pia. Ila Jay alimind kuwa P Funk alimzunguka, hakumshirikisha na hakumtoa hata baada ya kulipwa
Unajua nini Ndugu Mdau!? "Haki Haiombwi" Bali "Inapiganiwa". Kama Prof. Jay anaamini ana Haki yake imedhulumiwa, hakuna aliyemkataza kuipigania. Majani alisafiri mpaka Uganda kuipigania haki yake.
 
Unajua nini Ndugu Mdau!? "Haki Haiombwi" Bali "Inapiganiwa". Kama Prof. Jay anaamini ana Haki yake imedhulumiwa, hakuna aliyemkataza kuipigania. Majani alisafiri mpaka Uganda kuipigania haki yake.
Mkuu mimi sio msemaji wa Prof. Jay ila ni mdau tu wa kusikiliza habari kwenye media. Nimezungumza kile nilichokisikia

Ni imani yangu kuwa Professa anapitiaga mitandao ya kijamii, huenda ataona huu ushauri wako
 
Wazee mbna mnaendeleza chuki sana na WCB, wapi wameandika ukilipa bado nyimbo zinakuwa za kwao? Aisee watu mnaongeza chumvi Sana , Harmonize accnt zote aliachiwa unataka kunambia , nyimbo zote alizoimba WCB pesa hapati , inaingia anatoa anapeleka WCB ? Maana ya kuvunja mkataba na kulipa ni nini? Acheni hzo , Watanzania fanyeni kazi , hamna mtu wa kukupambania bure , hata kumuabudu Mungu ni costfull sembuse mtu akushike mkono
Hivi huoní kuwa nimeuliza nieleweshwe?
 
Wanakuwa wameipenda wenyewe. Ila wakati mwingine huwa wanatoa tangazo watu walete kazi zao ili zitumike kama soundtrack, wanatoa idea ya movie na kusema nyimbo ziwe na maudhui hayo, ila mara nyingi ni kwa wao kupenda nyimbo zilizotoka tayari.

Kwenye Sometimes in April movie, walitumia kinyemela wimbo wa Dataz ft Soggy Doggy; Soggy alipofuatilia walilipwa hela yeye na Dataz
So hapo producer hakulipwa kitu?? au walimmegea pia..
 
ignorance of law can't be used as a defence.

vipi kama wengi wao walikuwa hawana uelewa wa sheria za kusimamia haki zao?.

kumbuka akina nature wakati ule walikuwa bado wadogo na wengine kama hao akina daz baba ndio kwanza walikuwa wanahaingaika na elimu ya sekondari.

jaribu kuvaa viatu vyao.
Statement ya akili Sana hiyo. Eti "sikujua kuwa sheria hairuhusu hii". Mahakama inakupiga nyundo tu.
 
Sipendi sana kuingilia mada za machawa siku hizi, ila nimona wewe nikujibu.

Kiuhalisia, huyo P Funk ana afadhali kuliko hao WCB.

PF hamiliki Album za wasanii ila anamiliki BEATS. Na ndio maana hujawahi kusikia Msanii analalamika.

Na kiukweli, wasanii wa zamani walipata pesa mnoooo.

Hakuna Msanii ambaye hakupata pesa. Kuna wasanii mpaka walikuwa wanatembea na pesa kwenye but I za gari.

Tatizo kubwa ukiwa msanii WCB ujue Ni Kama unafanya kazi ambayo Ni COMMISSION BASED.

Inatakiwa ufanye kazi halafu, iqe Shows, ngoma mitandaoni au endorsement kila kinachopatikana unakatwa 60% unapewa 40% kwa mkataba wa miaka 10.

Maana yake, unafonzea kila kitu. Miaka 10 kisanii hutakuwa na jipya tena.

Na baada ya kutoka hutakuwa unamiliki nyimbo yoyote Wala digital platform zako.

Kuna vitu watu huwa wanakubali kwasababu ya shida tu.
Ukweli lazima usemwe.
 
Kama ile kesi ya MWANA FA NA AY mpaka wakalipwa BIL 2 sijui na tigo ina maana ukitumikaa wimbo bhasi ndo haki ya msanii kulipwa ila likitumiKA BEAT tu bhasi haki ya producer kulipwaa... ngoma ngumu snaa hii 😀 😀 😀
 
Sheria ya haki miliki inasema mbunifu wa sanaa anapata umiliki wa 100% kwa kazi yake aliyobuni, na hapa ndipo changamoto inapojitokeza.

Produsa anachobuni ni beat kwa hiyo anasema kuwa haiuzi ile beat bali anaikodisha tu kwa msanii, na hivyo anaweza kuikodisha kwa mwingine na mwingine na mwingine bila kuomba ruhusa kwa msanii wa kwanza. Ni kama muuza kitabu cha riwaya, anakiuza kwq wasomaji wengi bila kuomba ruhusa kwa wasomaji walionunua mwanzoni kitabu chake

Wakati huo, msanii wa kwanza anasema kuwa ameweka maneno kwenye beat na hivyo kuipa thamani, kazi iliyotoka mwishoni sio beat bali ni muungano wa beat na maneno. Ukimpa beat mtu mwingine, yeye msanii wa kwanza kazi yake inaathirika kimauzo nk, kwa hiyo anasema hauwezi kuiuza bila yeye kufaidika au kutoa ridhaa

Hapo ndipo penye mgogoro
Ni kweli ni mgogoro mkubwa. Kwani kila mmoja ni wazi anaibeba kazi ya mwingine.
 
Sikiliza interview za wasanii wa zamani mfano Ferouz, anasema P. Funk aliwasaidia mawazo na kuwapeleka mpaka kuuuza albam kwa mdosi, maana walikuwa hawajui waanzie wap baada ya hapo wakawa wanaenda wenyewe
Skia, mtafute Feruzi mwambie mnataka kufanya biashara utumie wimbo wake wa starehe kwenye tangazo. Alafu utaskia atachokwambia
 
yaah POINT KUBWA SANA HII.. kiukweli ukienda kihaki hata serikali inanyonya sana wafanyakazii.. hizi private ndo balaa ukiandikiwa mshahara laki 5 ukija kuangalia mauzo ya siku inaingia mil 10 unapataa motoo 😀 😀 😀 😀 unaweza acha kazi yani ila ndio CAPITALISM.
Ukishakuwa mfanyakazi ni kunyonywa tu 😄😄😄
 
Ukweli lazima usemwe.
20220711_000826.jpg
 
Back
Top Bottom