Ccm ipi hiyo?...umesahau azimio la Zanzibar lilivyouzika ujamaa?
Shukran kiongozi kwa ukumbusho.
Pamoja na ccm kuukana ujamaa na kubariki ubepari hata hivyo ktk dhana zote mbili kuna nidhamu moja wamefafana.
Nidhamu hiyo ni Secularism.
Usekula kwasasa una maana tofauti, lkn asili yake ni ile ile kukanusha kuwepo kwa mungu na hivyo dini kwayo haina maana yyt.
Kwa historia mifumo yote ya utawala ilishikwa na viongozi was dini. Lkn baada ya viongozi was dini kuvimbiwa na madaraka, uongozi ukawa si ule wa kumtegemea mungu. Na baada ya dhiki na mateso ndipo wakajitokeza watu kupinga utawala huo unaitwa unamtangaluza mungu. Ndio ikaja hoja ya usekula.
Kwa uoni wangu historia mpya ya uongozi inapaswa kujengwa uongozi utakao mtanguliza mungu na usekula.
Nadharia hiyo kwa lugha nyepesi huitwa ya Diversity au Serikali jumuishi.
Kwani kwa uhalisia pamoja na tz kujipambanua hadi Leo kuwa haichanganyi mambo ya mungu na siasa. Hata hivyo huchanganywa. Hivyo Usecular umebaki kuwa ni jinamizi la kuwanyima haki baadhi ya dini nchini.
Waznz kwa mfano 98% ni waislam lkn mabinti walio jeshini wananyimwa haki ya kuvaa mavazi ya stara sawa na dini yao. Vazi la stara ni moja ya ibada kwa waislam.
Lkn hizi kwa mznzr mwenyewe haoni shida. Kwasasabu ingawa ni waislam lkn wameathiriwa na ujamaa. Na matokeo yake wanaleta siasa za ubaguzi kama ujamaa wenyewe ulivyo.