Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Mliooa hamlawiti, hamzini, hamtendi dhambi?Shida ya ukatoliki ni mapadre kuto ruhusiwa kuoa. Bin-Adam kamwe hawezi kushindana na nature, kulhali itachukua mkondo wake.... Kwa siri au kwa dhahiri.
Wasiooa wote hulawiti?
Je, Yesu alipotembea juu ya maji aliendana na nature? Alipopaa mbinguni aliendana na nature?
Mtume Paulo hakuoa na yeye alikuwa mlawiti?