Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
whatever it takes sishabikii hivi vitendoUmejipanga
Utatumiwa Long Range Missile Na Utaumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whatever it takes sishabikii hivi vitendoUmejipanga
Utatumiwa Long Range Missile Na Utaumia
Mkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.Ulawiti haufanywi tu na Watu wa Kanisa Katoliki na ni Upungufu mkubwa wa Akili kwa Mtu anayejiita Intellectual hapa JamiiForums kufanya Fallacy of Generalization kuwa Dhambi ya Mkatoliki Mmoja basi ni ya Wakatoliki wote.
Una uhakika kuwa huko katika ama Dhehebu lako au Imani yako hakuna Vitendo vya 'Kifirauni' kama hivi? Kama Wewe ni Muislamu ni Kesi ngapi za Walimu wa Madrasa Kuwaingilia Watoto huwa zinaripotiwa? au huwa huzisikii na unajifanya umezisahau?
Mwaka jana kuna Taarifa ya Mchungaji Mmoja wa KKKT alikutwa na Dhambi hii ( unayoisema kuwa ipo tu Roman Catholic ) je, uliisikia na Kuifuatilia?
Chuki yako ( zenu ) dhidi ya Kanisa langu la Katoliki ni Kwakuwa Kwanza lina Waumini walio 'Academicians' hasa halafu pia ni 'very Intelligent and Think Tanks' by nature' kuliko Makanisa yenu na hizo Imani zenu zingine hivyo kwa Mtu kama Mimi GENTAMYCINE wala siwashangai sana sana nazidi tu Kuwadharau na Kuwasanifu kwa Ushamba ( Umbwiga ) na Upopoma ( Upumbavu ) wenu wa Kurithishwa.
Hakuna kama Roman Catholic duniani.
KumbeeeeMkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.
Watuhumiwa wengi walihamishwa kwenda kwenye makanisa mengine katika nchi mbalimbali na huko waliendelea na mchezo wao. Kule Boston, Marekani vijana wengi wa kiume ndani ya kanisa wamepakatwa sana na mapadre mpaka ikatia kinyaa. Uongozi wa kanisa kule Vatican walikuwa na taarifa, lakini hakuna kilichofanyika. Haya ndio matokeo yake. Yaleyale, ya mfuga maradhi.....
Hata walokole nao ni majanga...kwahyo ni kupambana tu...si uliona gwaj boy had wamemfotoa...hawa wengne tunakutana nao mitaan huku wanavaa kapelo wanaibia wake za watu..kina mwingira..kwahyo ..mapambano ni makal sanaHizi dini hizi..anyway ushauri kwa wakatoliki endeleeni kutafuta Mungu wa kweli..hicho kisiwe kituo chenu cha mwisho.
#MaendeleoHayanaChama
Kwani hawapigi wale masista!!!?...wanachofata kwa watoto ni mnatoNaona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.
Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Shida yenyewe ni nyege tuu za mapadreKumekuwa na kesi na tuhuma nyingi juu ya watoto kulawitiwa n viongozi wa Kanisa Katoliki. Kwenye habari hii, Papa Benedict yaripotiwa 'alilipotezea' suala la baadhi ya Viongozi kulawiti watoto.
Nikitafakari haya mambo, nadhani kuna Tatizo kubwa kwenye Taasisi hii ya Katoliki.
Angalizo; sizungumzii Katoliki kama dhehebu/dini bali taasisi.
View attachment 2094593
Nao ni binadamuShida yenyewe ni nyege tuu za mapadre
Mazala ❌Mlolongo
Duh yawezeka kuwa uko sahihi ila lugha uliyoitumia ni kali mno kiasi inaweza kukuletea mazala
Si kila anayejiita mtumishi wa Mungu anamtumikia Mungu. Usizuzuke na bodi,cheki Injini.Naona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.
Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Duuh mbona unatukana ndugu yangu, kuwa mpoleUlawiti haufanywi tu na Watu wa Kanisa Katoliki na ni Upungufu mkubwa wa Akili kwa Mtu anayejiita Intellectual hapa JamiiForums kufanya Fallacy of Generalization kuwa Dhambi ya Mkatoliki Mmoja basi ni ya Wakatoliki wote.
Una uhakika kuwa huko katika ama Dhehebu lako au Imani yako hakuna Vitendo vya 'Kifirauni' kama hivi? Kama Wewe ni Muislamu ni Kesi ngapi za Walimu wa Madrasa Kuwaingilia Watoto huwa zinaripotiwa? au huwa huzisikii na unajifanya umezisahau?
Mwaka jana kuna Taarifa ya Mchungaji Mmoja wa KKKT alikutwa na Dhambi hii ( unayoisema kuwa ipo tu Roman Catholic ) je, uliisikia na Kuifuatilia?
Chuki yako ( zenu ) dhidi ya Kanisa langu la Katoliki ni Kwakuwa Kwanza lina Waumini walio 'Academicians' hasa halafu pia ni 'very Intelligent and Think Tanks' by nature' kuliko Makanisa yenu na hizo Imani zenu zingine hivyo kwa Mtu kama Mimi GENTAMYCINE wala siwashangai sana sana nazidi tu Kuwadharau na Kuwasanifu kwa Ushamba ( Umbwiga ) na Upopoma ( Upumbavu ) wenu wa Kurithishwa.
Hakuna kama Roman Catholic duniani.
Mbona kila siku mashehe wanabaka?Naona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.
Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Upole huwashinda wengi hasa kwenye maswala ya diniDuuh mbona unatukana ndugu yangu, kuwa mpole
OkUpole huwashinda wengi hasa kwenye maswala ya dini
Ulivyoripoti is as if kuna jambo jipya limetokea wakati ni ripoti kuhusu mambo yaliyotokea miaka ya 1970 hadi 1990. Kuwa makini sana kwenye kutoa taarifa sahihi, achana na ajenda ya kutoa habari ambazo wewe mwenyewe huwezi kuzithibitisha. After all source wako siyo primary source wa issue yenyewe. Yaani ume'rely on a secondary source' whose authenticity on the issue you cannot establish. Shame upon you!Kumekuwa na kesi na tuhuma nyingi juu ya watoto kulawitiwa n viongozi wa Kanisa Katoliki. Kwenye habari hii, Papa Benedict yaripotiwa 'alilipotezea' suala la baadhi ya Viongozi kulawiti watoto.
Nikitafakari haya mambo, nadhani kuna Tatizo kubwa kwenye Taasisi hii ya Katoliki.
Angalizo; sizungumzii Katoliki kama dhehebu/dini bali taasisi.
View attachment 2094593
Kwani hayo yako katoliki tu, jiulize kwa nini wengine hawasemwiMkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.
Watuhumiwa wengi walihamishwa kwenda kwenye makanisa mengine katika nchi mbalimbali na huko waliendelea na mchezo wao. Kule Boston, Marekani vijana wengi wa kiume ndani ya kanisa wamepakatwa sana na mapadre mpaka ikatia kinyaa. Uongozi wa kanisa kule Vatican walikuwa na taarifa, lakini hakuna kilichofanyika. Haya ndio matokeo yake. Yaleyale, ya mfuga maradhi.....