Ulawiti watoto: Ipo shida kubwa kwenye Taasisi ya Kanisa Katoliki

Ulawiti watoto: Ipo shida kubwa kwenye Taasisi ya Kanisa Katoliki

Huku Afrika hivi visa nina uhakika viko vingi, lakini vitakuwa kuwa chini ya maji
 
Ulawiti haufanywi tu na Watu wa Kanisa Katoliki na ni Upungufu mkubwa wa Akili kwa Mtu anayejiita Intellectual hapa JamiiForums kufanya Fallacy of Generalization kuwa Dhambi ya Mkatoliki Mmoja basi ni ya Wakatoliki wote.

Una uhakika kuwa huko katika ama Dhehebu lako au Imani yako hakuna Vitendo vya 'Kifirauni' kama hivi? Kama Wewe ni Muislamu ni Kesi ngapi za Walimu wa Madrasa Kuwaingilia Watoto huwa zinaripotiwa? au huwa huzisikii na unajifanya umezisahau?

Mwaka jana kuna Taarifa ya Mchungaji Mmoja wa KKKT alikutwa na Dhambi hii ( unayoisema kuwa ipo tu Roman Catholic ) je, uliisikia na Kuifuatilia?

Chuki yako ( zenu ) dhidi ya Kanisa langu la Katoliki ni Kwakuwa Kwanza lina Waumini walio 'Academicians' hasa halafu pia ni 'very Intelligent and Think Tanks' by nature' kuliko Makanisa yenu na hizo Imani zenu zingine hivyo kwa Mtu kama Mimi GENTAMYCINE wala siwashangai sana sana nazidi tu Kuwadharau na Kuwasanifu kwa Ushamba ( Umbwiga ) na Upopoma ( Upumbavu ) wenu wa Kurithishwa.

Hakuna kama Roman Catholic duniani.
Mkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.

Watuhumiwa wengi walihamishwa kwenda kwenye makanisa mengine katika nchi mbalimbali na huko waliendelea na mchezo wao. Kule Boston, Marekani vijana wengi wa kiume ndani ya kanisa wamepakatwa sana na mapadre mpaka ikatia kinyaa. Uongozi wa kanisa kule Vatican walikuwa na taarifa, lakini hakuna kilichofanyika. Haya ndio matokeo yake. Yaleyale, ya mfuga maradhi.....
 
Wanamwagana mavi tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe jamaa umepatia kweli
 
Mkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.

Watuhumiwa wengi walihamishwa kwenda kwenye makanisa mengine katika nchi mbalimbali na huko waliendelea na mchezo wao. Kule Boston, Marekani vijana wengi wa kiume ndani ya kanisa wamepakatwa sana na mapadre mpaka ikatia kinyaa. Uongozi wa kanisa kule Vatican walikuwa na taarifa, lakini hakuna kilichofanyika. Haya ndio matokeo yake. Yaleyale, ya mfuga maradhi.....
Kumbeeee
Dah hii hatari sasa
 
Hizi dini hizi..anyway ushauri kwa wakatoliki endeleeni kutafuta Mungu wa kweli..hicho kisiwe kituo chenu cha mwisho.

#MaendeleoHayanaChama
Hata walokole nao ni majanga...kwahyo ni kupambana tu...si uliona gwaj boy had wamemfotoa...hawa wengne tunakutana nao mitaan huku wanavaa kapelo wanaibia wake za watu..kina mwingira..kwahyo ..mapambano ni makal sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.

Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Kwani hawapigi wale masista!!!?...wanachofata kwa watoto ni mnato
 
Kumekuwa na kesi na tuhuma nyingi juu ya watoto kulawitiwa n viongozi wa Kanisa Katoliki. Kwenye habari hii, Papa Benedict yaripotiwa 'alilipotezea' suala la baadhi ya Viongozi kulawiti watoto.

Nikitafakari haya mambo, nadhani kuna Tatizo kubwa kwenye Taasisi hii ya Katoliki.

Angalizo; sizungumzii Katoliki kama dhehebu/dini bali taasisi.

View attachment 2094593
Shida yenyewe ni nyege tuu za mapadre
 
Naona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.

Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Si kila anayejiita mtumishi wa Mungu anamtumikia Mungu. Usizuzuke na bodi,cheki Injini.
 
Ulawiti haufanywi tu na Watu wa Kanisa Katoliki na ni Upungufu mkubwa wa Akili kwa Mtu anayejiita Intellectual hapa JamiiForums kufanya Fallacy of Generalization kuwa Dhambi ya Mkatoliki Mmoja basi ni ya Wakatoliki wote.

Una uhakika kuwa huko katika ama Dhehebu lako au Imani yako hakuna Vitendo vya 'Kifirauni' kama hivi? Kama Wewe ni Muislamu ni Kesi ngapi za Walimu wa Madrasa Kuwaingilia Watoto huwa zinaripotiwa? au huwa huzisikii na unajifanya umezisahau?

Mwaka jana kuna Taarifa ya Mchungaji Mmoja wa KKKT alikutwa na Dhambi hii ( unayoisema kuwa ipo tu Roman Catholic ) je, uliisikia na Kuifuatilia?

Chuki yako ( zenu ) dhidi ya Kanisa langu la Katoliki ni Kwakuwa Kwanza lina Waumini walio 'Academicians' hasa halafu pia ni 'very Intelligent and Think Tanks' by nature' kuliko Makanisa yenu na hizo Imani zenu zingine hivyo kwa Mtu kama Mimi GENTAMYCINE wala siwashangai sana sana nazidi tu Kuwadharau na Kuwasanifu kwa Ushamba ( Umbwiga ) na Upopoma ( Upumbavu ) wenu wa Kurithishwa.

Hakuna kama Roman Catholic duniani.
Duuh mbona unatukana ndugu yangu, kuwa mpole
 
Naona wangeruhusu tu kuoa, dhana ya kuwa single na kumtumimkia Mungu maisha yote halafu unajificha unalawiti watoto, haingii akilini. Na vitu kama hivi ndiyo vinasababisha niache kwenda kanisani, na kuja kuona dini kama fundraising projects kupitia sadaka zetu.

Watumishi wa Mungu ndiyo hawaaminiki kabisa. Bora hata wahuni wa mtaani tu.
Mbona kila siku mashehe wanabaka?
 
Kumekuwa na kesi na tuhuma nyingi juu ya watoto kulawitiwa n viongozi wa Kanisa Katoliki. Kwenye habari hii, Papa Benedict yaripotiwa 'alilipotezea' suala la baadhi ya Viongozi kulawiti watoto.

Nikitafakari haya mambo, nadhani kuna Tatizo kubwa kwenye Taasisi hii ya Katoliki.

Angalizo; sizungumzii Katoliki kama dhehebu/dini bali taasisi.

View attachment 2094593
Ulivyoripoti is as if kuna jambo jipya limetokea wakati ni ripoti kuhusu mambo yaliyotokea miaka ya 1970 hadi 1990. Kuwa makini sana kwenye kutoa taarifa sahihi, achana na ajenda ya kutoa habari ambazo wewe mwenyewe huwezi kuzithibitisha. After all source wako siyo primary source wa issue yenyewe. Yaani ume'rely on a secondary source' whose authenticity on the issue you cannot establish. Shame upon you!
 
Mkuu GENT, ni kweli ulivyosema. Hili tatizo lipo kwenye kila taasisi ya dini duniani. Lakini ndani ya Roman Catholic, hii ilikuwa kama institutionalized na viongozi wa kanisa. Haikuwa na isolated incidents tena. Tukatae au tukubali, Roman Catholic ni taifa kubwa na wahusika hawakuadhibiwa au kufikishwa mbele ya sheria.

Watuhumiwa wengi walihamishwa kwenda kwenye makanisa mengine katika nchi mbalimbali na huko waliendelea na mchezo wao. Kule Boston, Marekani vijana wengi wa kiume ndani ya kanisa wamepakatwa sana na mapadre mpaka ikatia kinyaa. Uongozi wa kanisa kule Vatican walikuwa na taarifa, lakini hakuna kilichofanyika. Haya ndio matokeo yake. Yaleyale, ya mfuga maradhi.....
Kwani hayo yako katoliki tu, jiulize kwa nini wengine hawasemwi
 
Mtu kuambiwa amejitoa sadaka kwa Mungu mpaka ku- sex, huoni hapo Pana tatizo?
 
Kama kazipuuzia kwa makusudi kesi au tuhuma hizo nzito, tumeanza kuwa na mashaka naye.
 
Back
Top Bottom