Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kwahiyo we unaakili kuliko warusi wenyewe tena ni majajusi [emoji3][emoji3] ,Yani humu jf Kuna watu vituko kwelHuo ni ufaller tu, una vikwazo lukuki halafu nawe unaongeza vikwazo?
Hajui kuwa anawafanya wateja watafute mbadala kwa gharama zozote?
Kwani Urusi alitoa maagizo hayo kama ombi mpaka useme wamekataa takwa?.Hawajalalamika wamekataa takwa la urusi ushabiki unakupofusha mkuu!
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851] kawaambia weka ugoko naweka nondoWatake ama wasitake gesi watalipia tu kwa Ruble hawana namna, wameweka vikwazo zaidi ya 1000 mwanaume kaweka kimoja wote wanaanza kulialia hapa na kutia huruma. Wasipolipa jamaa anafubga koki na hapo ndipo watatuma wake zao na watoto wao kama malipo ya gesi Urusi[emoji1787]
Ni vita vya kiuchumiHii ngoma bado mbichi Putin anapiga kwenye moyo vizuri Sana ,ngoja tuone mwisho wake
HahahahaFursa gani na hili jembe letu la mkono.
Bado una akili za kitoto sana.Hii game lazima ukubali kwa kupimana ubavu wamagharthawawez watabaki kulia lia tu na kuona wameonewa kukimbilia mkataba bc unapiga kampen URUSI itengwe halafu unachagua sehem ya kuitenga itenge yote Kama kwel we kidume
Ni kwamba mpaka hapo hizo nchi ziko tayari ku-sacrifice ndio maana ya kuweka hivyo vikwazo vya kufa mtu Crippling Sanctions, russia inatakiwa aje huku tulipo kwa wachumia tumbo.Kupata gesi sio shida.....hilo hata hao ulaya wanajua hilo shida ni kupata gesi kwa gharama ile ile ambayo waliku wanaipata toka kwa mrusi......gesi ya kusafirishwa na meli sio sawa na gesi ya kusafirishwa na bomba........hapo logistics tu zinapandisha gharama
Mkuu huwezi kujadili huu mjadala na vijana ambao wamekaa kishabiki. Hapo umemueleza kwa undani ili atafakari, akija hapa atakupinga mno.2030 ni kesho tu chief.. kwa sasa watakuwa wanauza kwa meli n.k gharama lazima zipande, hizo ni cost ndogo sana kwa NATO, kwahiyo miaka 8 kuanzia sasa soko la gesi la mrusi kwa Ulaya linakuwa limekwisha hasara kwa nani? Unajua ni kiasi gani Russia anawategemea ulaya kuuza gesi yake? Unapima kweli chief long term effects ya hiki kitu?
Mbona sio mingi sana? Unataka kunambia US na NATO hawawezi kufix hii mpaka ifike miaka nane?Kwa meli? Au kwa njia gani? Uwe unafukira zile ni siasa.. gesi ya urusi kua replaced sio chini ya miaka 8
Unafikiri ni kwanini hizo pesa za familia za kitajiri Russia hawajaziweka kwao Russia?Na mambo ya kushikilia mali zao nao yakitoka wapi?
Miundombinu wameijenga lini mkuuMarekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi taratibu wameanza.. tatizo la Putin, ni nguvu, akili anatumia kidogo sana..
US hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.Ndio mkuu marekani jana wametangaza badala yake soko litahamia kwao, ni Putini amekosa yote pengine Marekani pia alikuwa anataka soko la gesi ikawa hajui ni kwa vipi putini atamnyanganya lakini ngoma imekuja automatically
Ndio kwasasa hakuna namna lazima watafute gesi ya mrusi, kwa badae wanaweza kuwa na alternativeunahis alternative ya gesi ni urusi tu ?
Qatar anahitaji muda kujipanga kwahiyo kwasasa lazima warudi Urusi au wazime mitambo yaoUS hawawezi kuziba pengo la Russia mkuu, kwanza US gas yake itakua gharama, pili US hawezi ziba pengo la Russia kwa 100%, kwenye 40% wanasema atafidia kwa 10%.
Hao Qatar sio wajinga ni taifa la 3 duniani kwa reserve kubwa ya gas baada ya Iran, wakati inayoongoza ni Russia.
Nambie wewe 30% wanatolea wapi.
Njia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.Qatar anahitaji muda kujipanga kwahiyo kwasasa lazima warudi Urusi au wazime mitambo yao
Na huu ndio wakati anaweza kuwapa maumivu EU kwenye gesi maana mda sio rafiki kwa watu wa EU kwasasaNjia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.
Hilo limeshindikana, cause Syria Russia yuko pale.
Assad ndicho kisa cha kupigwa na West kwamba akubali kupitisha bomba la Qatar.
Kazi ipo, Russia wanacheza kete zao kwa umakini sana.
Sasa nayeumia na vikwazo hapo ni nani?Ni kwamba mpaka hapo hizo nchi ziko tayari ku-sacrifice ndio maana ya kuweza hivyo vikwazo vya kufa mtu Crippling Sanctions, russia inatakiwa aje huku tulipo kwa wachumia tumbo.
Walidhani wanacheza na Mugabe ,wanacheza na Kanali wa zamani wa KGB. Pengine watu hawajui KGB ni nini ndio maana wanamchukulia poa. Kwa ufupi tu KGB ilikuwa mashine ya ujasusi kubwa sana duniani .Njia pekee ya kupitisha bomba toka Qatar ilikuwa na Syria, ule ndio mlango halafu linafikia Turkey na kuingia Ulaya.
Hilo limeshindikana, cause Syria Russia yuko pale.
Assad ndicho kisa cha kupigwa na West kwamba akubali kupitisha bomba la Qatar.
Kazi ipo, Russia wanacheza kete zao kwa umakini sana.
Russia lazima iheshimu terms of contract ambayo inasema malipo yatafanywa kwa sarafu za dola/euro/pound, period hayo mambo ya sijui ruble yanatoka wapi tena.
Kama anavunja mkataba kuna gharama yake vilevile ya kulipa damages for the breach of contract gharama ambayo kwa hali yao ya sasa hawawezi kumudu kulipa.
Putin anajaribu bila mafanikio kuokoa sarafu yake isiporomoke lkn hana jinsi kwani ameshashika mavi lazima awe mpole, uchumi lazima uporomoke tu.