Yaani.. mimi kuna kijana nilimuachia biashara hapo nimeshamfundisha kila kitu. Baadae nashangaa mambo yanaenda mrama, kumbe yeye vitu anavyowaeleza wateja ni tofauti kabisa na jinsi mimi nilivyomuelekeza πKwa Hii Tanzania sidhani kma yupo.
JF ninayoijuaChukua muda kujifunza na pia uwe na uvumilivu.
Biashara yoyote mpya matarajio ya kupata faida iwe baada ya miaka 2, kwa maana ya kupata muda mzuri wa kulisoma soko na kujifunza changamoto mbalimbali na namna ya kukabiliana nazo.
Ukitaka mafanikio ya haraka hamna biashara ya namna hiyo labda wizi.
Lazima uanguke ili usimame imara.
Biashara umefanya kidogo huoni muelekeo unakimbilia nyingine, hayo unayokimbia unatakiwa uyakabili na ujifunze ili kuyashinda.
Kwaheri.
Link ya Whatsapp channel Iko wapi ya JFWhatsApp channel
Wait niangalie nikutumieLink ya Whatsapp channel Iko wapi ya JF
π€£ππ ujue hiyo inasababishwa na nini?kumbe yeye vitu anavyowaeleza wateja ni tofauti kabisa
Ulimbia mchezon mapema sana, issue s ilikua kukata mti mwingine tu uchane size unayotaka ? Auboss miti inadondoshwa zinachanwa mbao undersize... yan si za kuuza ni kwa ajiri ya kutengeneza mizinga ya nyuki. mwisho wa siku sikufikia malengo na pesa nimeshachoma
Hehehe pole mkuu, tayar umejifunza, rudi upya mzigoninakumbuka niliweka hapa bandiko la mashine gani nzuri ya kuchana mbao wadau wakashauri nichukue husqvana... acha kbs kazi yoyote ya kuambiwa usiende kichwa kichwa kama hujawahi kuifanya ndio kilichonitokea mim
Hii cosmetics mpewe maua yenu walai, nilijifunza kwenu , mwaka wa pili na kitu sasa , biashara imesimama mie niko porini natafuta shilingi kwenye kilimo na ufugaj, pesa inatoka kwenye cosmetics huko hukoNimechoma hela kwenye biashara
1.Mtumba
2.pembe Za ngβombe
3.Kilimo
4.forex
5.Chakula
6.Samaki&Kuku
Mpaka nimekuja kusettle kwenye cosmetics na hapa nimesettle in a very hard way.. Yaani nilichojifunza
Kwenye biashara kuna muda inabidi ujitahidi kuforce sana mambo na kusimamia biashara mwenyewe
Usiachie mtu biashara yako.
Usiweke mtaji wote kabla haujausoma mchezo.
Kubali kuwa mjinga jifunze kwa watangulizi.
Kuwa na nidhamu ya Pesa.
Kupitia haya angalau biashara inaweza kusimama na kukua.
Dah kumbe Hornet ni Taasis na hamsemi.Hii cosmetics mpewe maua yenu walai, nilijifunza kwenu
Watu wanauza matambara, mawe na mavi mule ila wateja kibao! Na mapesa kedekede... Ukiwa na macho ya ulimwengu mwingine ndo utayashuhudia hayo hivihivi katu huwezi gundua hilo. Na wao wenyewe wakijua wanakutoa mkuku fasta! π ππΎKariakoo paache tu, ukiwauliza wanakwambia nidhamu & kujituma
Kwanini usimtegemee Mungu tu mkuu?
Mule mambo kibao figisu + ImaniWatu wanauza matambara, mawe na mavi mule ila wateja kibao! Na mapesa kedekede... Ukiwa na macho ya ulimwengu mwingine ndo utayashuhudia hayo hivihivi katu huwezi gundua hilo. Na wao wenyewe wakijua wanakutoa mkuku fasta! π ππΎ
Daaah...! Dhahabu hatari sana jamaa yangu. Hapa kichwa kimevurugika. Najikaza tu uanaume ila nina strees za kufa mtu. Nikivuka Salama mpaka mwaka 2025 nitamshukuru MUNGU sanaNina ndugu yangu analipa madeni (uzuri ni mfanyakazi wa serikali) sababu ya Hii biashara ya madini
Bahati mbaya yeye aliingizia na ushirikina, mganga akalamba hela na shimo likalamba pesa
Siyo mchezo..
Pole sana utainuka tu pambana.
Hiyo ni wengi sana wako hivyo. Unamtoa chini baadae anakuwa adui yako namba moja. Waafrika sio kabisaNyie Nyie binaadamu?[emoji119]
Yupo nilimfundisha kila kitu na amekua my no one Enemy!
Yeye ndo amekua anapambana na mimi kupitia migongo ya watu wengine,
Ndo maana matajiri hawataki ukaribu na maskini..
Ufuge na majini na mamisukule, makafara ndo usiseme. Tazama wahindi na waarab kule town! Sasa wale ndo biashara zao wale na wanafugaga majini wale. Wewe mswahili ukitaka kuparamia kule sharti ufanye wafanyayo.Hivi biashara ya dhahabi bila kufanya featuring ya tawire kutoboa ni hamna?
ndio hvyo kiongoziUlimbia mchezon mapema sana, issue s ilikua kukata mti mwingine tu uchane size unayotaka ? Au
Lililo kupata ni sehem ya kujifunza , hujachoma pesa
jamaa akanikoki ukiwa na chainsaw mizinga ya mabox ni rahisi kuchonga tena kiwepesi... Ltrs20 ya petrol inachana mbao 700. Bwn bwn nikaona utajiri si huu hapa... Kumbe bhn si kwel yule mshenz alikuwa na lengo lake maalumHehehe pole mkuu, tayar umejifunza, rudi upya mzigoni
Yaani kuna wakati mtu ukikaa ukikumbuka jinsi ulivyochoma pesa unaishia kucheka badala ya kuhuzunika.π Na kuna watu ni wataalamu kwenye kuchochea wenzao wafanye vitu ambavyo wenyewe hawavifanyi au vilishawashinda..jamaa akanikoki ukiwa na chainsaw mizinga ya mabox ni rahisi kuchonga tena kiwepesi... Ltrs20 ya petrol inachana mbao 700. Bwn bwn nikaona utajiri si huu hapa... Kumbe bhn si kwel yule mshenz alikuwa na lengo lake maalum