Ulijisikiaje baada ya kugundua unaenda kuwa mzazi kwa Mara ya kwanza?

 
Hahaha, hongera kwako mkuu. Hop e mli tengeneza wengine😁.
Vipi Kuhusu changamoto Mlizo kumbana nazo mkubwa??.

una ushauri upi kwa vijana kuhusu suala Zina la uzazi, hasa Kwa sisi wanaume!?.

vipi kuhusu kubambikiziwa, Kuna precaution gani za kuchukua 😁
 
Narudia.Sitaki kukumbuka na kusimulia sipendi.Uzuri ni kwamba miaka hiyo hakukuwa na miaka "salasini lupango"!Ilikuwa sekondari i.e,mimi A-level na yeye O-level.
Mkuu Moisemusajiografii, for the sake ya sisi vijana.
Simulia hata kidogo basi 🤣, itakuwa uli kimbizwa na panga ehh😂
 
Nilitawaliwa na wasiwasi Je nitazaa salama , mwanangu atakuwa Hai , atafananaje na nitakuwa mama Kweli, nitaweza hekaheka za Leba kila siku zikisonga mawazo yalizidi

Mwishowe 😅😅 nikatoboa Raha sanaa.
 
Mm sipendi matoto matundu of course siyapendagi matoto tundu😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…