Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
Hahaha, Ali goma kulia nini 🤣🤔aloooh kila nkikumbka mabao waliyo mzaba mwanangu wale madaktari 🖐🏾😂😂,,alilia kwa uchungu sana😭,, lakin kile kilio chake kikawa furaha kwangu🥰
Nilikuwa na mixed feelings, shauku na uoga.
Nilipata bahati ya kuwepo mtoto alipokuwa anazaliwa na kupata fursa ya kumbeba alipofutwa tu. Kwa mara ya kwanza nadhani nilitokwa na machozi ya furaha, yani nilijikuta machozi tu yananitoka.
Ilikuwa ni hisia nzuri mno.
Hakuna mtu yeyote anaeweza kukufundisha jinsi ya kuwa mzazi bora, just be the best you can be kwa kuwepo katika kila hatua ya ujauzito mpaka kujifungua kwa mzazi mwenzio. Kumbuka kila kitu kwako ni kipya hivyo ni sawa kuwa na hofu na uoga.
Funzo pekee ambalo nahisi ni muhimu ni kupanga na mwenzi wako kupata mtoto, nahisi hapo utaenjoy zaidi process yote mpaka mtoto kuzaliwa.
-aloooh kila nkikumbka mabao waliyo mzaba mwanangu wale madaktari 🖐🏾😂😂,,alilia kwa uchungu sana😭,, lakin kile kilio chake kikawa furaha kwangu🥰
Hahaha, hongera kwako mkuu. Hop e mli tengeneza wengine😁.Ilikuwa ni moment nzuri sana Kwa kweli
Baada ya kupima na kujua mwenzangu alikuwa Mjamzito Kwa mara ya kwanza, nilihakikisha natumia resources zote kumtunza na kuhakikisha anakula mlo kamili Kila Siku
Nilihakikisha namtunza vizuri Mama Kijacho pamoja na mtoto mwenyewe iwapo atazaliwa salama
Ilikuwa sitaki apate tatizo lolote wakati wote wa ujauzito wake, na yeye alikuwa anadeka hadi basi (unaweza kuwa Kazini, mwenzio anakupigia simu eti mtoto(mimba) amemisi kusikia sauti yako hivyo anaomba niongee naye)
Ujauzito huwa unakuja na mabadiriko ya mwili wakati mwingine na tabia Kwa Mwanamke ama Kwa Baba husika (Baba Kijacho)
Binafsi nilikuwa nahisi kichefuchefu wakati wote Waifu alipokuwa Mjamzito hadi kilipokoma baada ya yeye kujifungua 🙌
Mama Kija wangu, yeye alikuwa Mpenzi sana wa Kitimoto na Soda ya Pepsi
Kwahiyo nilimwekea Bili Kwa Mangi kwaajili ya kula Kila Siku
Soda nilikuwa nanua Kreti la Pepsi Kila baada ya Siku 4 maana alikuwa na wastani wa kunywa Chupa 5 hadi 6 Kwa Siku 🙌
Baada ya miezi 9 alijifungua mtoto wa Kiume mwenye Afya tele
Ilikuwa ni kama naota kupewa taarifa zile na Daktari, maana kusema kweli Wanaume wengi hupenda kupata Watoto wa Kiume kwenye Uzao wetu
Kutokea hapo nikawa nawahi kutoka Kazini Kila Siku hata kama ni Kwa kutoroka ili niweze kwenda kucheza na mtoto nyumbani 🤗
Mtu asikudanganye, being a Dad for the first time unaweza kuchizika.
Unaweza kumchukua mwanao uzunguke naye mitaani just for the funny 🤗
aligoma aloooh,,nilichelewa aseee daaah ila madaktari Mungu awatunze tuHahaha, Ali goma kulia nini 🤣🤔
Mkuu Moisemusajiografii, for the sake ya sisi vijana.Narudia.Sitaki kukumbuka na kusimulia sipendi.Uzuri ni kwamba miaka hiyo hakukuwa na miaka "salasini lupango"!Ilikuwa sekondari i.e,mimi A-level na yeye O-level.
Wewe ulishasema wanaume hawaaminikiHongera! Una ahadi za ukweli
Ohh pole na hongera mkuu, vipi kuhusu changamoto zozote kabla na baada ya kuji fungua ??.aligoma aloooh,,nilichelewa aseee daaah ila madaktari Mungu awatunze tu
Historia Ime muhukumu😂😂Wewe ulishasema wanaume hawaaminiki
Mm sipendi matoto matundu of course siyapendagi matoto tundu😊Habari wakuu, najua wengine humu tayari mmesha oa au ni wazazi tayari.
Ningependa mtupe uzoefu wenu, kuwa uli jisikia vipi kwa Mara ya kwanza baada ya kugundua wewe ni mzazi mtarajiwa.
Kuna kipi Cha kuji funza zaidi , ili kuwa mzazi bora?
1. Changamoto mlizo kumbana nazo, kabla na baada ya kuwa mzazi. (Hii kwa wanaume na Wanawake, ita pendeza mki elezea kwa kina zaidi).
2. Una ushauri upi kwa vijana kuhusu suala hilo la kuwa mzazi.
3. Kwa mwanaume ni Mambo yapi ya kuzingatia zaidi, hasa Baada ya kupata taarifa hizo.
I mean no malice to nobody.
View attachment 2967184View attachment 2967185
Hahaha, itakuwa wanao ni wakorofi ehh🤣😂.Mm sipendi matoto matundu of course siyapendagi matoto tundu😊
Shangazi mzuri binti kiziwi, ume niangusha sana Leo🙄.Mi kwa leo sisemi chochote, ila nimejifunza kitu kwenye comments na nataka kuwaambia mabinti kuwa wajitahidi kupanga uzazi na wanaume zao.
Kuna discussions tusipende kuziavoid….
update chrome, uki shindwa tafuta Uzi wangu wa zamani.😊mkuu yaan Pm hazifunguki sijui shida Nini?
Kama una options nambie nifanyeje
Shukran Chief.Kwanza pole kwa msiba mkuu, na imagine maumivu mliyo kuwa nayo mkuu.
Ila mwisho Mungu yu mwema nyakati zote, Kikubwa niku pongeze kwa kusimamia imara Kama baba.