fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
kwanini nisideke ubabe nawaletea maskani tu wakat wa kula vitu nyumbni hawajui kama mm ni sadari mkuu 😂😂Kumbe bado sadari, nataka nipate mafunzo Hapa.
Kuna mengi ya kuji funza Hapa.
Halafu kumbe sadari huwa una deka home??
Changamoto zilikuwa nyingi sana.Ukizingatia mke wangu wazazi wake wote nikimaanisha baba na Mama ni wanasheria haswa.Hongera Sana mkuu, vipi kuhusu changamoto zozote mlizo kumbana nazo??.
Iwe kabla au Baada ya kupata mtoto.
Una ushauri upi kwa vijana, kuhusu suala Hilo la uzazi??
Ndio sikusema uongo! Kwanini unamcheat mtu mna watoto then mmetoka mbali😎Wewe ulishasema wanaume hawaaminiki
Ukiishi hiyo slogan kwamba Kitanda hakizai haramu hautapata tabu ya kwenda kuwapima DNA watoto wako na Mkeo, kama Sisi Wazee tunavyofanyaWewe Tena mbinu, masuala ya nta kufundisha. Baadae.
Yasije kuta Nisha pewa limbwata🤣😂.
Halafu hizo pigo za kitanda haki zao haramu, yaishie huko daslam 😂😂
Oohooooohhhhh🤣🤣 sio sana lakinNdio sikusema uongo! Kwanini unamcheat mtu mna watoto then mmetoka mbali😎
Kama mimi tu mkuu, ila kuitwa baba jau😅siku nikiitwa baba nitafurahi sana ila nitalia pia maana kudeka kwangu ndo kutaisha
🚮Oohooooohhhhh🤣🤣 sio sana lakin
😂😂 jau lakini pia ni raha sana mkuu tuache utani kuna mda natamani sanan😂😂😂 afu naogopaKama mimi tu mkuu, ila kuitwa baba jau😅
Una ogopa ata kuja kuwa sadari kama Mimi au😂.😂😂 jau lakini pia ni raha sana mkuu tuache utani kuna mda natamani sanan😂😂😂 afu naogopa
Nilitawaliwa na wasiwasi Je nitazaa salama , mwanangu atakuwa Hai , atafananaje na nitakuwa mama Kweli, nitaweza hekaheka za Leba kila siku zikisonga mawazo yalizidi
Mwishowe [emoji28][emoji28] nikatoboa Raha sanaa.
Wee Kuna Jamaa Ali pata mtoto, kalea kuanzia mimba Hadi mtoto kaja.Ukiishi hiyo slogan kwamba Kitanda hakizai haramu hautapata tabu ya kwenda kuwapima DNA watoto wako na Mkeo, kama Sisi Wazee tunavyofanya
We ukipewa Sema hewara tu 😜😅
Nilikuwa na mixed feelings, shauku na uoga.
Nilipata bahati ya kuwepo mtoto alipokuwa anazaliwa na kupata fursa ya kumbeba alipofutwa tu. Kwa mara ya kwanza nadhani nilitokwa na machozi ya furaha, yani nilijikuta machozi tu yananitoka.
Ilikuwa ni hisia nzuri mno.
Hakuna mtu yeyote anaeweza kukufundisha jinsi ya kuwa mzazi bora, just be the best you can be kwa kuwepo katika kila hatua ya ujauzito mpaka kujifungua kwa mzazi mwenzio. Kumbuka kila kitu kwako ni kipya hivyo ni sawa kuwa na hofu na uoga.
Funzo pekee ambalo nahisi ni muhimu ni kupanga na mwenzi wako kupata mtoto, nahisi hapo utaenjoy zaidi process yote mpaka mtoto kuzaliwa.
nimeipenda hiiNilipata mtoto wangu wa kwanza nikiwa na miaka 17, kiukwrli nilikuwa na hisia mchanganyiko.
-Nilikua naogopa yet sijui naogopa nini
-Nilikuwa nina aibu as nilijiona dah, mi ndo naonekana muhuni mtaani
-Nilikuwa na majuto as niliona nimeaibisha walezi wangu as baba na mama walikwishafariki
-Nilikuwa nina hasira as nilijua sitasoma tena
-Nilikuwa ninahamu ya kumuona mwanangu as nilihisi atakuwa kama kamdoli
-Nilikuwa ninawivu as nilijua boyfrien wangu angeniacha
Yani tu kwa ujumla nilikuwa na sintofahamu kibao.
Binti yangu sasa ana miaka 26.
Leo hii ukiniuliza nitakwambia yafuatayo
KUTUNZA MIMBA NA KUKUBALI KUWA MAMA KWA UMRI ULE, ILIKUWA NI UAMUZI THE BEST NILIWAHI KUFANYA KWENYE MAISHA YANGU!
Asante Mamy.Hongera sana
Sema muda ukifika tutazoea😅 baba nani vilee😂😂😂😂 jau lakini pia ni raha sana mkuu tuache utani kuna mda natamani sanan😂😂😂 afu naogopa
Hongera Sana mkuu, na Niku pongeze Kwa kusimamia kidete kujenga familia Bora.Kama ilivyo raha kuwa mzazi hasa kwa mara ya kwanza basi inapaswa kuelewa kuna karaha pia. Baada ya mama kujifungua huo ndio mwanzo hasa wa challenge yenyewe.
Kuna kukesha usiku mzima sababu mtoto analia, kuna mtoto kuumwa usijue hata umsaidie vipi, kuna kununiana na mwenza wako sababu ya stress ya ulezi. Ila hii yote ni sehemu ya kuwa baba na kufuzu hasa katika hili ni kukubaliana na kila linalokuja mbele yako.
Umeuliza swala la kuwa baba likoje kwangu. Ni hisia iliyo bora kuliko kitu kingine chochote. Nina watoto 4 sasa, hakuna faraja kubwa ninayopata kama kurudi tu nyumbani na kusikia zile kelele za kushangiliwa nimerudi nyumbani, hakuna raha kama kupewa kesi baina yao wenyewe ya kuwa huyu kanipiga, huyu kanifinya.
Kadri umri unavyokwenda nahisi na enjoy zaidi swala la kuwa baba. Kuna mambo mengi ambayo miaka 10 iliyopita yalikuwa na kipaumbele kwangu kama vile kutoka na marafiki weekends. Lakini leo hii kila weekend asilimia kubwa nipo na watoto wangu. Ni faraja kubwa kukaa sebuleni ukasikia watoto wako wana discuss baina yao kuwa kesho Jumamosi baba haendi kazini na furaha wanayokuwa nayo kujua kuwa mtakuwa wote.
Ile hali ya kujua kuwa kwa vitu vidogo unathaminiwa na viumbe wengine ni furaha kubwa mno maishani. Leo hii ukisikia watoto wako wanajivunia kuwa nitamwambia baba yangu pale wanapokerwa na kitu/mtu wakiamini you have some kind of super powers ni hisia ambayo haimithiliki na chochote kile.
Ukiniambia leo nibadilishe chochote katika kuwa kwangu baba basi hakika sina ambalo nitakalo libadilike. Na maudhi yao yote ila faraja ya watoto haiwezi fanya nitake utofauti wowote.
Hongera mkuu😍, unaitwa mama nani ety🤣Nilipata mtoto wangu wa kwanza nikiwa na miaka 17, kiukwrli nilikuwa na hisia mchanganyiko.
-Nilikua naogopa yet sijui naogopa nini
-Nilikuwa nina aibu as nilijiona dah, mi ndo naonekana muhuni mtaani
-Nilikuwa na majuto as niliona nimeaibisha walezi wangu as baba na mama walikwishafariki
-Nilikuwa nina hasira as nilijua sitasoma tena
-Nilikuwa ninahamu ya kumuona mwanangu as nilihisi atakuwa kama kamdoli
-Nilikuwa ninawivu as nilijua boyfrien wangu angeniacha
Yani tu kwa ujumla nilikuwa na sintofahamu kibao.
Binti yangu sasa ana miaka 26.
Leo hii ukiniuliza nitakwambia yafuatayo
KUTUNZA MIMBA NA KUKUBALI KUWA MAMA KWA UMRI ULE, ILIKUWA NI UAMUZI THE BEST NILIWAHI KUFANYA KWENYE MAISHA YANGU!