Ulijisikiaje baada ya kugundua unaenda kuwa mzazi kwa Mara ya kwanza?

Hongera Sana mkuu, vipi kuhusu changamoto zozote mlizo kumbana nazo??.
Iwe kabla au Baada ya kupata mtoto.

Una ushauri upi kwa vijana, kuhusu suala Hilo la uzazi??
Changamoto zilikuwa nyingi sana.Ukizingatia mke wangu wazazi wake wote nikimaanisha baba na Mama ni wanasheria haswa.
Ila niseme tu mwanamke alikuwa muelewa na mimi nilikuwa muelewa.

Pili, nimempata katika wakati bado nina umri ambao wengi hawafikirii. Mke wangu alipopata mimba kwa % kubwa alifanya akili yangu ifanye kazi sana. Nilikuwa nafikiria ni namna gani ninalea Hicho kiumbe. Ukilinganisha uwezo wa kwao na kwetu kwao wana uwezo mkubwa sana kipesa lakini hakuwahi hata siku moja kuonyesha dharau.

Kingine alikuwa anapenda kunywa maji ya uhai ya chupa. Hapa nilikuwa natamani nimpige. Na lazima ukirudi urudi na udongo wa kula. Mpaka anakuja kujifungua zile chupa za maji nilikuwa naweza fungua kiwanda.

Kingine ni mara ya kwanza hivyo alikuwa anakasirika mda wowote. Ilinipa shida sana. Anaweza akakasirika au akakujibu vbaya baadae anakupigia simu Babe nimekumiss sana na huu usiku nataka kuwa kwenye mikono yako. Hakuna namna narudi.

Moment ni nyingi sana😂❤️ Huwa tukikaa tunafurahi na kukumbushana.
 
Wewe Tena mbinu, masuala ya nta kufundisha. Baadae.
Yasije kuta Nisha pewa limbwata🤣😂.

Halafu hizo pigo za kitanda haki zao haramu, yaishie huko daslam 😂😂
Ukiishi hiyo slogan kwamba Kitanda hakizai haramu hautapata tabu ya kwenda kuwapima DNA watoto wako na Mkeo, kama Sisi Wazee tunavyofanya

We ukipewa Sema hewara tu 😜😅
 
Nilipata mtoto wangu wa kwanza nikiwa na miaka 17, kiukwrli nilikuwa na hisia mchanganyiko.
-Nilikua naogopa yet sijui naogopa nini
-Nilikuwa nina aibu as nilijiona dah, mi ndo naonekana muhuni mtaani
-Nilikuwa na majuto as niliona nimeaibisha walezi wangu as baba na mama walikwishafariki
-Nilikuwa nina hasira as nilijua sitasoma tena
-Nilikuwa ninahamu ya kumuona mwanangu as nilihisi atakuwa kama kamdoli
-Nilikuwa ninawivu as nilijua boyfrien wangu angeniacha
Yani tu kwa ujumla nilikuwa na sintofahamu kibao.
Binti yangu sasa ana miaka 26.
Leo hii ukiniuliza nitakwambia yafuatayo
KUTUNZA MIMBA NA KUKUBALI KUWA MAMA KWA UMRI ULE, ILIKUWA NI UAMUZI THE BEST NILIWAHI KUFANYA KWENYE MAISHA YANGU!
 
Ukiishi hiyo slogan kwamba Kitanda hakizai haramu hautapata tabu ya kwenda kuwapima DNA watoto wako na Mkeo, kama Sisi Wazee tunavyofanya

We ukipewa Sema hewara tu 😜😅
Wee Kuna Jamaa Ali pata mtoto, kalea kuanzia mimba Hadi mtoto kaja.
Halafu binti ana mwambia sio wake, Jamaa Ali sepa na mtoto aisee🤣😂.

Mbona wali rudisha mizigo ya jamaa×3
 

Hongera sana kiongozi
 
nimeipenda hii
 
Hongera Sana mkuu, na Niku pongeze Kwa kusimamia kidete kujenga familia Bora.
Asante Kwa ushauri mzuri 🙏
 
Hongera mkuu😍, unaitwa mama nani ety🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…