Kufanya kazi za watu muda mrefu hadi usiku nakusahau kupambania ndoto zangu. Kumbe niligeuzwa ngazi ya kuwapandisha wengine badala ya kujituma kuboresha malengo yangu
Ninalo sasaNipange
Unalo bwanaNinalo sasa
Njoo tulale basUnalo bwana
Hee! yamekuwa haya?Kuoa mchaga
Hahahaa kipindi hicho sister du hatari unaringa,sasa miaka 35 ushazeekaNajuta kusoma mpaka degree na kuogopa kuazaa na tajiri kisa ana mke wake huenda hata angenipa mtaji
🥰🥰😋Njoo tulale bas
Hahahaha.Ni kweli Makolo hamna majuto? Au ndio mnafanya siri?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kukojolea ndani.
Mmmh ni mwenyeji pale ujue mkuu.Bila shaka ww ni zao la CNMS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.
Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeeeeeh,madam[emoji15]Kupenda.,...msithubutu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],unaitwa baba.Kukojolea ndani.
Kuacha kazi ya laki nusu kwenda mjini kulipwa sabiniHili ndio linanifanya kila siku "Niwaze jinsi ya kuacha Kazi""
#YNWA
Mweeeeh,kumbe ndiyo maana haupigi kampeni[emoji23]1. kusoma degree
2. kuoa