PoleNikiwa bado shababy miaka Hi you Dodoma, 2008!, kazi, nyumba, niliwekewa mpaka house girl na mlinzi na kampuni, Sina mke, wala mtoto, mi Gym na muviii tu,
Badala ya kuwekeza kununua ardhi, nikanunua gari, la kutembelea tu!
Kampuni ilipokufa, nikapata kazi nyingine, maokoto kiduchu! Gari nikauza! Laiti ningenunua ardhi Leo ningrkua bilionea,
Kuna Dogo tulikuwa wote kazini, aliuza ardhi yake kwa bilioni 1.5 kwa nssf!
Sasa hv ana nyumba kama 10 hv!
Mie bado nachechemea! Hatsri Sana,
Wekeza kwanza keenye ardhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jfKuoa mwanamke mwenye matako makubwa,..
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuambiwa kwani huniamini!
mkuu vepe unakopesha kausha damu tujongee Dm au?Kumkopea mtu pesa/kudhamini,
Naona naelekea kulia kilio cha mbwa mwizi.
Haaahaaa ngoja uzae watoto nawewNaunga mkono hoja.
Ni fimbo tu
nyumba ni choo kiongoziKuoa mwanamke mwenye matako makubwa,..
Mweeeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najuta kusoma mpaka degree na kuogopa kuazaa na tajiri kisa ana mke wake huenda hata angenipa mtaji
sa apo kwere ilianzia wapi kiongozi ?Kujaribu kuoa MMERU
Hahahaha unakataaga ndoa kumbe umeoa 😂😂😂😂1. kusoma degree
2. kuoa
Luv uu Nii!!😍😍Sina ninachojutia. Kila nilichopitia kilikuwa daraja la kunifikisha nilipo hivi sasa.
Najitahidi kuwa bora, nisiwe kama nilikotoka.
Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.
Wewe ndo yule ulosoma sijui nini unatafuta kazi uku jf!?Ni course gani umesoma mkuu Mimi pia najuta Bora ningesoma ualimu saivi ningekua zangu mwalimuuu
Tofaut hapo hii moja ni BASIC na hii ni TECHNICAL even though all are Education.Mkuu naomba unipe tofauti ya hivyo vitu viwili
Dah, mumeo anafaidi sana hasa kama huigizi! Namaanisha ulichokiandika kama umeamaanisha!Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.
Hapanamkuu vepe unakopesha kausha damu tujongee Dm au?
Na yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa ya kunibadili mpaka nimekuwa na mtazamo huo.Dah, mumeo anafaidi sana hasa kama huigizi! Namaanisha ulichokiandika kama umeamaanisha!
Mkuu “ vepe” hiyo ciyo sound ya kiumemkuu vepe unakopesha kausha damu tujongee Dm au?
ndio tena makubwaHee! yamekuwa haya?