Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Mimi niliamini sana katika Ndoa katika kushirikiana katika umoja...

Pamoja na madhaifu yangu ila siku zote nilikuwa na huruma na mke wangu..

Nimeoa aina ya mwanamke ambaye ukimkabidhi mwanaume yeyote mwenye akili timamu hawezi kudumu nae hata mwaka 1 ila vyote nilipuuzA japo hasira za hapa na pale zilikuwepo

Wakati namvumilia yeye kwa changamoto zaKe za Afya ambazo zimepelekea tusipate mtoto,uchawi wa kwao imagine kanisaliti tena kanisaliti ila hali niliota mara 2 na nikamkanya ili hali nilimsisitiza sana kwamba sisamehi usaliti,ili hali nimekataa offer z kuzaa nje kibao kwa lengo la kujenga misingi ya Ndoa..Ili hali hata movies za usaliti siangalii na anajua.

Kuna mda ulifika tukawa na migogoro mingi nikawa namwambia unafanya kila kitu sawa ila moyo wangu unakukataa,kwanini???Siku moja tumekaa katika mazungumzo akaniambia kila kitu kuhusu usaliti wake akaniomba na msamaha tuanze upya....

Hapo ndo nilipomwona kwa uhalisia wake...Nilipata uchungu sana sababu Pamoja na madhaifu yake sikuwaza kumuacha nikiamini ni mwaminifu sasa amevuka mstari ambao hajawahi kufuka ex wangu yeyote nyuma huko nikamsemehe na kuendelea nae..amegusa mahali ambapo hapaguswi.Kagusa heshima yangu, kagusa Uaminifu kagusa misingi ambayo hajawahi kugusa yeyote...

Hapo sasa ndo nikamuona kwa madhaifu yake yote nilipitia kipindi cha uchungu sana kwa kama miezi 3 na yeye akiwepo hapo hapo ila nikagundua hawezi kuwa na thamani ile ile nikagundua siwezi nikawa proud mbele za watu nina mke,nikagundua kwangu mimi neno mke wangu lina heshima kubwa ambayo yeye haistahili na Kamwe hatakaa kuistahili hata nikiendelea nae..

Huwezi amini nimemsamehe ila nimeachana nae na sababu sio kwamba sijasamehe ila kwangu mimi kumuita mwanamke, mke wangu naona nimemuita jina la heshima sanaaa,Kinachonishinda ni kwamba nashindwa kumtofautisha na wanawake wengine...nashindwa kumuona km Ana thamani, nashindwa kumuangalia kwa upendo,nashindwa hata kumuona km atanisaidia chochote maishani,kifupi namuona ni mzigo tu maishani mwangu naona my energy is stacking sababu yake..Miaka yote ya uchumba na ya ndoa ni bure..

Kwanini nakataza Ndoa ya makaratasi ni kwa sababu dada zangu,mama yangu na ndugu wote wanampenda mke wangu,Yes,ni wale wanawake wenye mionekano ya wife material sababu amenipa kazi ya kukaa chini kuwaelewesha ndugu zangu kwamba Navunja Ndoa mbaya zaidi lazima watataka sababu ya msingi..tumetengana wanajua ila wapo dilemma wanasubiri tukisikia kauli yangu.Mimi nasuburi miezi 6 iishe nitafute million 1 nitoe rushwa nipate talaka ya haraka...

Nini nitawaambia ndugu zangu,bonding iliyopo je??

Nikichojifunza kuhusu Usaliti ni chakushangazA..Eti sijaumia kusalitiwa kama nilivyoua mda niliopotezA,heshima yangu kuguswa,heshima niliyompa kama mke,nimeumia kwamba hajanionea huruma wakati mimi nipo busy kumuona huruma,nimeumia kwamba nimemshirikisha kila kitu kwenye mipango yangu ya maisha,nimeumia kwamba nimepuuzA madhaifu yake mengiiiiiiiiii nikiamini Lakini sio msaliti..Finally kile nilichodhani hawezi kufanya ndo kafanya mstari nikidhani hawezi vuka ndo kavuka..

Nailaani siku niliyooa,nalaani kila kitu kuhusu hiyo siku gharama,ku match kanisani,Furaha niliyopata.

Nachojiamini ni uwezo wangu wa kuhandle stress imagine unasalitiwa halafu hata kibao hurushi halafu unakaa miezi 3 na mwanamke na mapenzi mnafanya mwanzo nikidhani haitasimama ila ilisimama halfu siku moja unaona tu huyu hana thamani tena ya mke u amwambia tutengane then badae tutaenda mahakamani.Sikudhani kama I am that strong [emoji123] I hata mimi limenishangazA...ila nilimtukana mara kadhaa nisiseme uongo..

Yaani naacha nae ila hata nikiendelea nae nawezA pia ni ile kusimamia masingi yangu na confidence tu I can get better than her na ile hali ya kumuona hana thamani ambayo mke anastahili kupewa.Self pride tu nina maisha mazuri na naweza kupata bora zaidi yake..

Hapa nimepark kigari changu nacheki mademu wa chuo..

Both ways,it benefits me.Mi sina maisha mabaya
Ndugu yangu sikulaumu ni kuwa tu hakuna mafunzo ya jando siku hizi. Ndoa ni taasisi na mke ni cheo na mume ni cheo. Hakuna mapenzi katika ndoa bali majukumu, mmoja anaposhindwa kutimiza majukumu yake panakuwa hakuna ndoa. Kwako wewe mkeo hakutimiza majukumuyake kama mke hivyo hapakuwa na ndoa hapo. Ndoa ukiangalia mapenzi utapotea uwe mke au mume. Inabidi uangalie majukumu, Je mke anamudu nafasi yake kama mke ? na Mume anahumudu nafasi yake kama mume ?. Kuna wanawake walidai talaka kisa mume anaruka nje, walisahau majukumu aliyokuwa anatimiza mume. Mwisho wa siku wameishia kudanga maana walishazoea maisha ya kutokuwa na shida ndogo ndogo. Kumbuka hamuwezi kuopendana milele lakini mkitimiza majukumu yenu kila mmoja katika nafasi yake ndoa itadumu.
 
Ndugu yangu sikulaumu ni kuwa tu hakuna mafunzo ya jando siku hizi. Ndoa ni taasisi na mke ni cheo na mume ni cheo. Hakuna mapenzi katika ndoa bali majukumu, mmoja anaposhindwa kutimiza majukumu yake panakuwa hakuna ndoa. Kwako wewe mkeo hakutimiza majukumuyake kama mke hivyo hapakuwa na ndoa hapo. Ndoa ukiangalia mapenzi utapotea uwe mke au mume. Inabidi uangalie majukumu, Je mke anamudu nafasi yake kama mke ? na Mume anahumudu nafasi yake kama mume ?. Kuna wanawake walidai talaka kisa mume anaruka nje, walisahau majukumu aliyokuwa anatimiza mume. Mwisho wa siku wameishia kudanga maana walishazoea maisha ya kutokuwa na shida ndogo ndogo. Kumbuka hamuwezi kuopendana milele lakini mkitimiza majukumu yenu kila mmoja katika nafasi yake ndoa itadumu.
Ukweli mchungu...
 
Yule mbwa kaibiwa simu ya kwanza kwenye daladala, nika mnunulia nyingine juzi kaenda sehemu nka mwambia usiende uko sio safe ka force kwenda,

jana usiku wenye kazi zao za usiku wame loa simu .afu asubuhi ana jiliza ..kinacho niuma sio yeye kinacho niuma ni pesa yangu aija maliza hata week ningefanyia mambo mengine nilio weka pending kwa ajili yake
Bado ujasema

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Mimi niliamini sana katika Ndoa katika kushirikiana katika umoja...

Pamoja na madhaifu yangu ila siku zote nilikuwa na huruma na mke wangu..

Nimeoa aina ya mwanamke ambaye ukimkabidhi mwanaume yeyote mwenye akili timamu hawezi kudumu nae hata mwaka 1 ila vyote nilipuuzA japo hasira za hapa na pale zilikuwepo

Wakati namvumilia yeye kwa changamoto zaKe za Afya ambazo zimepelekea tusipate mtoto,uchawi wa kwao imagine kanisaliti tena kanisaliti ila hali niliota mara 2 na nikamkanya ili hali nilimsisitiza sana kwamba sisamehi usaliti,ili hali nimekataa offer z kuzaa nje kibao kwa lengo la kujenga misingi ya Ndoa..Ili hali hata movies za usaliti siangalii na anajua.

Kuna mda ulifika tukawa na migogoro mingi nikawa namwambia unafanya kila kitu sawa ila moyo wangu unakukataa,kwanini???Siku moja tumekaa katika mazungumzo akaniambia kila kitu kuhusu usaliti wake akaniomba na msamaha tuanze upya....

Hapo ndo nilipomwona kwa uhalisia wake...Nilipata uchungu sana sababu Pamoja na madhaifu yake sikuwaza kumuacha nikiamini ni mwaminifu sasa amevuka mstari ambao hajawahi kufuka ex wangu yeyote nyuma huko nikamsemehe na kuendelea nae..amegusa mahali ambapo hapaguswi.Kagusa heshima yangu, kagusa Uaminifu kagusa misingi ambayo hajawahi kugusa yeyote...

Hapo sasa ndo nikamuona kwa madhaifu yake yote nilipitia kipindi cha uchungu sana kwa kama miezi 3 na yeye akiwepo hapo hapo ila nikagundua hawezi kuwa na thamani ile ile nikagundua siwezi nikawa proud mbele za watu nina mke,nikagundua kwangu mimi neno mke wangu lina heshima kubwa ambayo yeye haistahili na Kamwe hatakaa kuistahili hata nikiendelea nae..

Huwezi amini nimemsamehe ila nimeachana nae na sababu sio kwamba sijasamehe ila kwangu mimi kumuita mwanamke, mke wangu naona nimemuita jina la heshima sanaaa,Kinachonishinda ni kwamba nashindwa kumtofautisha na wanawake wengine...nashindwa kumuona km Ana thamani, nashindwa kumuangalia kwa upendo,nashindwa hata kumuona km atanisaidia chochote maishani,kifupi namuona ni mzigo tu maishani mwangu naona my energy is stacking sababu yake..Miaka yote ya uchumba na ya ndoa ni bure..

Kwanini nakataza Ndoa ya makaratasi ni kwa sababu dada zangu,mama yangu na ndugu wote wanampenda mke wangu,Yes,ni wale wanawake wenye mionekano ya wife material sababu amenipa kazi ya kukaa chini kuwaelewesha ndugu zangu kwamba Navunja Ndoa mbaya zaidi lazima watataka sababu ya msingi..tumetengana wanajua ila wapo dilemma wanasubiri tukisikia kauli yangu.Mimi nasuburi miezi 6 iishe nitafute million 1 nitoe rushwa nipate talaka ya haraka...

Nini nitawaambia ndugu zangu,bonding iliyopo je??

Nikichojifunza kuhusu Usaliti ni chakushangazA..Eti sijaumia kusalitiwa kama nilivyoua mda niliopotezA,heshima yangu kuguswa,heshima niliyompa kama mke,nimeumia kwamba hajanionea huruma wakati mimi nipo busy kumuona huruma,nimeumia kwamba nimemshirikisha kila kitu kwenye mipango yangu ya maisha,nimeumia kwamba nimepuuzA madhaifu yake mengiiiiiiiiii nikiamini Lakini sio msaliti..Finally kile nilichodhani hawezi kufanya ndo kafanya mstari nikidhani hawezi vuka ndo kavuka..

Nailaani siku niliyooa,nalaani kila kitu kuhusu hiyo siku gharama,ku match kanisani,Furaha niliyopata.

Nachojiamini ni uwezo wangu wa kuhandle stress imagine unasalitiwa halafu hata kibao hurushi halafu unakaa miezi 3 na mwanamke na mapenzi mnafanya mwanzo nikidhani haitasimama ila ilisimama halfu siku moja unaona tu huyu hana thamani tena ya mke u amwambia tutengane then badae tutaenda mahakamani.Sikudhani kama I am that strong [emoji123] I hata mimi limenishangazA...ila nilimtukana mara kadhaa nisiseme uongo..

Yaani naacha nae ila hata nikiendelea nae nawezA pia ni ile kusimamia masingi yangu na confidence tu I can get better than her na ile hali ya kumuona hana thamani ambayo mke anastahili kupewa.Self pride tu nina maisha mazuri na naweza kupata bora zaidi yake..

Hapa nimepark kigari changu nacheki mademu wa chuo..

Both ways,it benefits me.Mi sina maisha mabaya
Mkuu mademu wa chuo tena.
Acha utoto,,,,wewe hukuwahi kusaliti wapenzi wako??
 
Ndugu yangu sikulaumu ni kuwa tu hakuna mafunzo ya jando siku hizi. Ndoa ni taasisi na mke ni cheo na mume ni cheo. Hakuna mapenzi katika ndoa bali majukumu, mmoja anaposhindwa kutimiza majukumu yake panakuwa hakuna ndoa. Kwako wewe mkeo hakutimiza majukumuyake kama mke hivyo hapakuwa na ndoa hapo. Ndoa ukiangalia mapenzi utapotea uwe mke au mume. Inabidi uangalie majukumu, Je mke anamudu nafasi yake kama mke ? na Mume anahumudu nafasi yake kama mume ?. Kuna wanawake walidai talaka kisa mume anaruka nje, walisahau majukumu aliyokuwa anatimiza mume. Mwisho wa siku wameishia kudanga maana walishazoea maisha ya kutokuwa na shida ndogo ndogo. Kumbuka hamuwezi kuopendana milele lakini mkitimiza majukumu yenu kila mmoja katika nafasi yake ndoa itadumu.
Ila katika hayo majukumu ni pamoja na uaminifu wa mke.

Likikosekana hili basi umeingiza ndani Malaya, kahaba, Changudoa, Mchawi, Mwanga na siku yoyote utalia kwa machozi au kifo
 
Ila katika hayo majukumu ni pamoja na uaminifu wa mke.

Likikosekana hili basi umeingiza ndani Malaya, kahaba, Changudoa, Mchawi, Mwanga na siku yoyote utalia kwa machozi au kifo
Ndio nilichosema hapo juu rejea kwenye comment yangu.
 
Tuwekee hapa kisa chako huenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa kama amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
daa ishu ya mi kuzaliwa bongo ilikuwa sio aisee
 
Back
Top Bottom