marehemu anachoka vpYote hayo lakini marehemu hakufufuka. Mimi ni Christian ila napenda waislam hawana tabia ya kuchosha marehemu.
Sasa mzee wangu unasema hujawahi kushtushwa na chochote kumbe mtu kulipiwa ada ya chuo tu umeshtuka hahaha!Sijawai stushwa na Kitu chochote cha mtu.
Japo wakati naanza firstyeae, kuna rafk etu alikua kaomba mkopo na kapangiwa 100% I'm ila cha ajabu, mzee wake alivo jua akamwambia andika barua loarboard kua wasitishe huo mkopo.
Toka hapo nikajua jamaa kwao sio wachovu.
Wewe fukara ulienda masaki kufanya nini?nilienda kwa rafiki yangu masaki nikakuta kila mtu amepewa milion 5 kwa ajili ya kufanya shoping ya sikukuu ya eid ilikuwa ni 2017 wkati huo mimi nimenunuliwa nguo za mtumba
Marahaba dada yangu kipenzi mzuri japo nilitaka kuangalia avatar yako ila sasa(This member limits who may view their full profile)Sijambo shikamoo kaka
Kwa kitendo cha kumwekea madawa aendelee kuwa fresh etcmarehemu anachoka vp
kwamba ukikaa kaburini na kukaa kwenye jeneza siku 5 wa kwenye jeneza ambaye ajazikwa anachoka ama
😅😅😅😆😆😆Nilienda kwa tajiri mmoja, baada ya kutulia sitting room, tukahitajika refreshments room unapanda lift kwenda chumba cha kutuliza akili 3rd floor 😀
😁😁👏👏😆😆😆😄😄😂😂😂😬😬 Mpaka paka na mambwa Wazungu wanayapanda.Maisha hatufanani..kabisa nimekuja kuona tena kitu kama hicho kwa boss wangu mmoja mzungu nae anapaka wake nyumbani wanabudget kubwa kama laki 4 kwa mwezi isee mapaka manene hadi kutembea yanashindwa..
paka wananunuliwa hadi toy za kuchezea..
Jamaa akaniambia hawa paka waliokotwa kwenye jaa kwanza hawataki mazoea na rangi nyeusi kabisa wakiwaona wanaondoka na yule mzungu alivyo mweu anasema hataki wageni kwake wanawapa stress paka wake..
Nikacheka sana nikasema hao paka wanajua balaa la jua kali huko nje wamekubali kuwa machawa hapa maisha yaende..mzungu aamini hivyo anaamini wale paka wanapata msongo wa mawazo sababu sisi waafrica tuna watisha na kuwapiga ovyo bila sababu.
Unataka kuona nini tenaMarahaba dada yangu kipenzi mzuri japo nilitaka kuangalia avatar yako ila sasa(This member limits who may view their full profile)
Kilete nikikate.nipo kwa mangi hapaAmenikopesha ntakuletea ww
😄😄😄😄Mimi Kuna dogo alikuja kwetu, tukampa makande baada ya kula mtoto akaanza kulalamika ameshiba sana, hapumui vizuri...alivyokuja mama yake akapelekwa Agakhan just for check up....kumbe kwao hawakitambui kama chakula Cha binadamu 🤣🤣🤣
Yaani mtu mzima nianze kuingia kwenye jakuzi? 😂😂😂Kama ulaya na marekani kulikua mbali Sana in terms of infrastructure & technology.
Vitu Kama washing machine,bomba la mvua linalo toa maji moto na baridi bafuni, vitu Kama oven, fridge,Tv, jakuzi, pasi ya umeme yaan ilikua nadra Sana miaka ya 89's kumiliki ivyo vitu.
Wachache Sana ndio walikua na hiyo access
madam tafuta muda basi tukutane Dubai,nikupeleke shopping...baadaye ukatembelee ule msikiti mpya..
Mbweni hapo, tumeingia getini upande wa kulia swimming pool, kushoto garden na parking. Pale swimming pool Kuna fridge ya LG milango miwili. Parking kuna Range mbili moja ya Mama na nyingine ya baba. Kuna gari nyingine tatu za watoto watatu. Kwenye corridor ya mbele Kuna fridge ya LG milango miwili. Kilichonishangaza ni ukubwa wa jiko size ya nyumba ya vyumba vinne ndani ya jiko Kuna counter, fridge kubwa, Kuna meza ndefu na bado nafasi inabakia kubwa tu ya kukimbia. Nyuma ya nyumba Kuna garden na fridge nyingine. Watoto wote watatu hawajaolewa na wote wamesoma Uingereza kua
nzia secondary school. Tanzania
Halafu mission ikafeli aah ukawa kama Musa unaiona kanaani afu huingiiKuna siku nilienda kufunga WI Fi mbezi beach jogoo, wakati nipo sitting room naendelea na kazi ghafla namuona dogo anakuja na bulungutu na Euro 50/50 zipo kwenye tape hazijafunguliwa anaendesha kama gari😳 mwili ulipigwa na ganzi isiyo ya kawaida, akili ya kutaka kulichukua ikanijia (kuiba)🤣 nikiwa najiuliza sijafanya maamuzi nikamuona dada yake anaita mamie...nourin anacheze hela za baba...mama yake akiwa jikon simple tu akasema mnyang'anye Kisha ufunge mlango wa chumbani....hakuna siku mapigo ya moyo yalinienda mbio kama siku hiyo nahisi yule mlaika alitumwa Kuna kunitoa umaskin🤣🤣
LAzima uone chai watu wanaishi mzee baba..
Nishashuhudia MBWA wananunuliwa Nyama STEKI tena za mbavu kikahesabiwa kibunda nyama ikabebwa.
Yote kisa mmbwa ni mzazi katoka kuzaaa,na ile ni siku zote.
Hamna chai mzeee ni pesa watu hawana pakupeleka
😂😂😂 yooo!Huku pia tia maji tia maji 🤣🤣🤣
Ungekufa vimbaya wewe nimekuhurumia😂kuiba