Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Duuh
 
Kombolela hasa nyakati za usiku maana huko tulikuwa tunachaguliana me na ke
Unafaham nini? Kilichokuwa kinatokea ni siri yetu
Tena wakubwa wanajificha sehem moja mda mrefu,wakimaliza wanatoka kubutua mpira au kopo eti kombolelaaaaaaa mxiuuuu zao😆😆
 
Danadana.
Ile kushindana kufika 1000.

Gololi - Nilikuwa napiga vidole vyote 5 vya kulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…