Upo vizuri Mrs nyuzi za kimasihara 🤣Heshima yangu npe bwan 😂
Bingwa umetisha sana👊Michezo ya vurugu tu😁,,,kuwavuruga watu na kukimbia. Nilikuwa nachomoka zaidi ya husain bolt
Yes,,hazichoshi ubongo 🤣Upo vizuri Mrs nyuzi za kimasihara 🤣
Na ulivyo mrefu🤣Yes,,hazichoshi ubongo 🤣
🤣🤣🤣😭 Na kula nauli tulijifunzia wapi?michezo inayowafundisha mabinti kuruka wanaume
na ile yesta yesta ya kurusha kibeto
Kula nauli mlijifunzia kwenye ile michezo ya kukojoa kwenye vikopo ili msonge ugali wa udongo 🤣🤣🤣🤣🤣😭 Na kula nauli tulijifunzia wapi?
Daaah! Ulikosa uhondo sana.Nilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Thubutuuuu🤣🤣🤣Aaa wee shindikana, kipindi hicho kitaa kizima watoto wenzangu walikua wananiogopa ,hata akija mgeni lazima aletwe kwangu nimfue kwanza kulinda ufalme wangu🤣
Maisha ya kujifungia getini ya kijinga sana mpaka leo yamenifanya niwe mtu wa kushinda jfNilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Kijana wa hovyo🤣🤣🤣Nilikua napenda sana kuwa mtazamaji wa mpira wa rede🤣
Hivi shindikana unanichukuliaje mfano🤔Thubutuuuu🤣🤣🤣
Daaah! Zilikuwa siku njema sana hizi🤣😭😭Kula nauli mlijifunzia kwenye ile michezo ya kukojoa kwenye vikopo ili msonge ugali wa udongo 🤣🤣
Ulikuwa busy na kibaba baba na kimama mama tu.Hivi shindikana unanichukuliaje mfano🤔
HAWAKUKUPIDIDI MKUU? UNAONEKANA NALENALE SIO MKAZAJI KABSA! JE UBNGWA ULFANIKIWA KUULINDA?Nilikuwa naangalia katuni tu na kuwa wa kwanza darasani basi.
Najuta sana, sijui ni malezi ya geti kali, sijui ni mimi, nakosa wa kulaumu.
Utoto wangu ulikuwa mgumu, uonevu(bullying) ulinisumbua.
Yani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguni🤣Ulikuwa busy na kibaba baba na kimama mama tu.
Si unaona!! Nilijua tu ni hizi sarakasi.Yani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguni🤣