Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

Utoto wangu nilidhulumiwa sana , majukumu yalio kuwa nje ya umri wangu yaligharimu.
Hata hivyo kombolela nilikua vizuri kwayo, nikijificha sehemi sionekani kamwe.
 
Hadi sasa unacheza games ?
adi sasa nacheza pale nikikutana na wale tulio cheza udogoni yan ni kama muunganiko flani usiofutika kwenye mioyo yetu wengine tupo mikoa tofaut but sometime mtu anaez kukwambia ntafunga safari nije kukusallimia pia tutapita sehem tujikumbushie vitu vyetu😁
 
Goroli na visoda
Enzi izo naingia na goroli mbili tatu natoka mfuko wa suruali umejaa. Mtaani akija mtu anapiga goroli sana wananiita mm .
I miss the old me😌❤️
 
Umenirudisha mbali sana 😂 😂
 
Yani, kuna dada aliitwa pendoo sita kaa nimsahau , nilifumwa nae mama alinipiga mpaka nikaingia uvunguni🤣
Kipigo chote hicho alafu sasa hv umekuwa anataka uoe wakati tayari alisha kuharibu kisaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…