M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Staged big time, hauwezi kusimamisha convoy ya rais na ukabaki salama.Angalia video sio ya msiba alikuwa hai bado anapita tu njiani kwenye mishemishe zake. Baada ya ving’ora kukatiza wananchi walipoona akuwa na mpango wa kusimama wakavamia barabara kitemi gari lake binafsi ikabidi msafara wote usimame.
Halafu video imerokediwa na bystander tu aliekuwepo kwenye eneo. Unaona upendo wa wazi kutoka kwa wananchi.
Kwanza sikulala kabisa nilishinda JFUkweli humuweka mtu huru.
Sukuma huwa mko kwenye denial siku zote, poleni sana na endeleeni kuiabudu hiyo maiti.hakuna majority yoyote usidanganye watu watanzania walihuzunika mno acha uongo mpaka kwa uchache wenu mlikuwa mnamuonea wivu marehemu jinsi watu walivyoshiriki kwa majonzi na kuonyesha mapenzi ya dhati
... hapa ndipo thanks👍🏾 yangu ilipo.. Ila nikajagundua nilikosea
Jidanganye hivyo hivyo, habari nyingi za TZ huanza kujulikana ughaibuni ndiyo mnakuja kuzipata nyinyi ni si kila aliye ughaibuni ni mbeba box(blue color jobs) lakini hata kubeba box si mbaya bora kipato kipatikane.wewe komaa na kubeba mabox huko ughaibuni houseboy/girl mkuu kumbe hata Tanzania hukuwepo na wala hujui lolote nahisi ulikuwa unaangalia page ya kigogo hujui hata nini kilikuwa kinaendelea kwenye mitaa na vitongoji nchini Tanzania
endelea kuwa fala kwenye nchi za watu mtumwa wewe 😎
Sukuma gang ufahamu wao ni mdogo sana, vitu viko staged hiyo ni kwa ajili ya kuwadanganya mazoba(wanyonge) wasiojielewa.hayo yamepangwa mkuu. kazuie hata msafara wa DC uone kitakachokutokea
Ule ulikuwa ni upumbavu wa hali ya juu. Unatembeza maiti mtaani ili iweje! Nchi hii ina watu wa ajabu sana! Maumbile makubwa, akili kiduchu.Hiyo maiti waliidhalilisha sana sijui kwa nini mke alikubali huo ujinga wa kutembeza maiti huku watu wanaishangaa
Kama umechoka kuishi uraiani, kasimamishe msafara wa Rais.Wanaposimama magari yanayoongoza njia ayaendi mbali vile na msafara, ata huyo anae-record unamsikia akisema inabidi waliotangulia warudi.
Unaona pia heka heka za walinzi wake awakuwa tayari for stop over mpaka gari limezingirwa.
Video inajitosheleza yenyewe ni ghafla, but then you are entitled to your own interpretation of the incident.
Mimi hiyo siku kidogo nigonge gari pale mwengeNlifurahi sana ad nkagonga gari yangu kwenye mti navyosema ad sasa gar yangu nmepaki tu nyumban ni nauza km spea ni BMW X5 kwa anaeitaji spea anitafte DM gar iko Arusha
Ila nilifurahi ad sasa bado nafuraha na ninapoina watu km nyie mnamkumbuka ndo mnaniongezea furaha zaid sabu najua sio ndoto ni kwel jambazi kaondoka na hatorudi tena kunitesa
huna lolote mbeba mabox wewe 🙁Jidanganye hivyo hivyo, habari nyingi za TZ huanza kujulikana ughaibuni ndiyo mnakuja kuzipata nyinyi ni si kila aliye ughaibuni ni mbeba box(blue color jobs) lakini hata kubeba box si mbaya bora kipato kipatikane.
hata wewe ni maiti mtarajiwa halafu hasara uliyonayo utafia kwenye nchi za watu shame on you.Sukuma huwa mko kwenye denial siku zote, poleni sana na endeleeni kuiabudu hiyo maiti.
Hapo kaka naona kilingeni mwako palichangamkaMy apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
Nchi za watu ndiyo upuuzi gani, hapo upo kijijini walipozaliwa babu zako? Dunia ni yetu na maisha ni popote.hata wewe ni maiti mtarajiwa halafu hasara uliyonayo utafia kwenye nchi za watu shame on you.
Some stupid goons believe those staged and scripted scenarios, yaani out of blue mkasimamishe msafara wa raisi? Hiyo ni kujisainia death warrant au treason case itakayokupoteza jumla.Kama umechoka kuishi uraiani, kasimamishe msafara wa Rais.
mbeba box weeeee unadhani una dhamani sawa na mimi ninaeishi kwenye nchi yangu huna lolote mkimbizi wewe huna lolote 😕 nasisitiza tena hata wewe utakufa hata kama hujawahi kua,kutesa wala kudhulumu na wabaya wako watakunanga pia Mungu ni wetu sote siku yako yaja hakikisha umejiandaa kuliko kuhukumu wenzako wakati na wewe njia ni hiyo hiyoNchi za watu ndiyo upuuzi gani, hapo upo kijijini walipozaliwa babu zako? Dunia ni yetu na maisha ni popote.
Jibwa lile linavuna lilichopanda, limekufa baada ya kuua sana, kutesa na kudhulimu ndiyo maana linanangwa kila uchwao. Ishi vizuri na watu na utakumbukwa kwa mazuri(though some don't just give a fvck kwani kwao vyovyote watakavyokumbukwa ni sawa ila chawa wao ndiyo wanawapigania eti 'legacy', that shit sucks big time).
Nilichinja kondoo mwenye mkia mnono na kufanya sherehe kubwa!Lucky bar and restaurant kuna watu walitununulia bar na jiko zima bar ilifungwa saa nne asubuhi yake tukapewa supu ya bure wakituahidi tukutane arobaini yake