Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Nakumbuka wakati nipo darasa la 2 au 3 nilikua nilienda bank na mzee, nilikua nataman Sana na mimi kuwa banker nashukuru Mungu nilitimiza ndoto zangu kwa miaka kumi
 
Calculate the volume of sphere...

Unachukua jagi unaweka maji mwaaaah... unamimina unapima unapata.

Mambo madogo hayo mdogo wangu unafeli wapi
Mmmh sio hayo...
Ni mambo mazito ya projectile motion...
Mi naweza sema physics ilinibikiri waliona ningekua dactar ningesumbua sana aiseee

Ila kwa sasa sehemu nilipo nainjoiii sana tuuu mambo yanaendelea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Interesting 😍
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwenzako physics nilipata F ila nashukuru Mungu nimekuwa diwani...

Japo hukunipigia kuraaa... roho mbaya tu my
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwenzako physics nilipata F ila nashukuru Mungu nimekuwa diwani...

Japo hukunipigia kuraaa... roho mbaya tu my
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijitajidi sana ila wewe una mambo mengi sana kwanz degree yako ya uvunaji asali inakulipa sana...

Hivi ni degree au diploma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…