Nakumbuka wakati nipo darasa la 2 au 3 nilikua nilienda bank na mzee, nilikua nataman Sana na mimi kuwa banker nashukuru Mungu nilitimiza ndoto zangu kwa miaka kumiWakuu,
Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani?
Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi?
Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia! Tuendelee kujenga mazingira yanayowawezesha watoto wetu kufanikisha ndoto zao
Mmmh sio hayo...Calculate the volume of sphere...
Unachukua jagi unaweka maji mwaaaah... unamimina unapima unapata.
Mambo madogo hayo mdogo wangu unafeli wapi
Nimechoka mimi..Kukutombah baby
Interesting πAstronaut..Mtaalamu wa mambo ya anga huko juu..Nakumbuka hadi baba nlikuwa namuuliza maswali mengi sana kuhusu nyota na anga kwa ujumla.
Nikaingia shule mahesabu yakawa mengi sana.
Kiko wapi sasa π€£π€£π€£.
Lakini nilipo sio pabaya nashukuru Mungu kuna vitu vinatokea sio kwa bahati mbaya unaona kabisa ni mpango wa Mungu.
Unachoka nin baby hebu njoo tupeane haki zetu ππNimechoka mimi..
Hvi we uchokiπππππ
πππππMmmh sio hayo...
Ni mambo mazito ya projectile motion...
Mi naweza sema physics ilinibikiri waliona ningekua dactar ningesumbua sana aiseee
Ila kwa sasa sehemu nilipo nainjoiii sana tuuu mambo yanaendelea πππππππ
Ahahahaha sawaKama zako tu kudadeki tena bora mimi najua hata kuvuka barabara
πππππππππ
Mwenzako physics nilipata F ila nashukuru Mungu nimekuwa diwani...
Japo hukunipigia kuraaa... roho mbaya tu my
Una kipaji gani mkuuaisee mimi sikua na muda wa kufikiria mbele nitakua nani, sikuwahi kabisa kutamani kazi fulani, akili ilikuwa inaniambia fursa yoyote nitapambania, just any chance
Ila ukubwani ndio nimejua nina kipaji gani
Mkuu hata kindege cha aviator haukirushi Mkuu? ππ mbona Odds ni za uhakika sanaNilipenda sana kuwa rubani ila maisha yakacheka sana yakaniambia we hujajua kua kwanza uyaone.
Diploma..... πππ asali zenyewe mpaka tabora nikaona bora niwe diwani tyuuππππ
Ulijitajidi sana ila wewe una mambo mengi sana kwanz degree yako ya uvunaji asali inakulipa sana...
Hivi ni degree au diploma
Mkuu jana na leo nimepigwa kama 15k hayo mambo daaah nafuta app zote aiseeMkuu hata kindege cha aviator haukirushi Mkuu? ππ mbona Odds ni za uhakika sana
π€£π€£π€£Nilikuaga nafuata mkumbo tu aisee
Mimi sio mtabiri kama sheikh yahya ila nna uhakika wewe pia ni askariπNilichotamani nimekuwa ila shida ni husda za kazi za serikali napitia joto ya jiwe natamani kuachana na kazi ila naendelea kufanya kwakuwa ni passion tu .
sirmeea?... nilitamani niwe bwana wa mwanamke fulani Ambaye sasa hivi ni mzee mno kwangu!
π
nimeipenda hii comment bure.Mie nakuwa rubani soonπ€£