Mi hata sikujua Kama ananipenda, hlf ujue na mimi kuna mtu nampenda ila yy hanipendi. Life is not fairUnatuhumiwa kwa kosa la unyanyasaji wa Kimapenzi.
Umemsababishia binadamu mwenzako maumivu na mateso ya roho na mwili,umemfanya aishi bila furaha na kwa unyonge kwa muda mrefu.
Adhabu.
Mrudishie furaha kwa kumuuliza anataka umfanyie Nini,akikutajia tekeleza.
Usirudie Tena kutesa binadamu wenzio.
Nakusomea shitaka la pili.Mi hata sikujua Kama ananipenda, hlf ujue na mimi kuna mtu nampenda ila yy hanipendi. Life is not fair
Jamani griffin usikufe na kuoza. Nashukuru sana mkuu[emoji120][emoji120]Mwenzenu nimekufa nimeoza kwa heaven sent kokote Ulipo mrembo nakuelewa mnoo.
Hebu niache bana mama mchungaji.
😂😂😂 Sawa ndugu hakimuNakusomea shitaka la pili.
Unatuhumiwa kwa jaribio la kujidhuru,kujisababishia maumivu ya roho na mateso na kujinyima raha na furaha ya akili kwa sababu za uoga na uzembe wa kutotaka kufunguka juu ya mtu huyo.
Kama ilivyonenwa hapa juzi Kati,"Raha jipe mwenyewe".
Sasa nakuamura rudisha Raha yako kwa kufanya hivi.
Mtafute fargha huyo muungwana.
Mwambie kuwa ungependa akushauri Jambo Fulani kuhusu mateso unayopitia kwa masuala ya mapenzi,mweleze Kuna mtu unapendezwa nae lkn huwezi kumwelezea.akushauri,ushauri wake ndio yatakupa dira na mwelekeo.
Akitoa ushirikishwaji mtafute. Live kwa dinner.
Akikubali wewe Ni mtu mzima utajua Cha kumalizia.
Ikumbukwe kuwa Simba Ni mkali lakini anazaa.
Nipo hapa dada angu kumbe unateseka kama mimi ninavyoteseka juu yako...[emoji11][emoji11]Hii ipo sana kuna mkaka humu JF nampendaga sijui hata kama ni mwanaume kweli[emoji27]
Nipo hapa dada angu kumbe unateseka kama mimi ninavyoteseka juu yako...[emoji11][emoji11]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kakusema wewe mzee wa kula kimasihara? 😀 acha kujipendeleaNipo hapa dada angu kumbe unateseka kama mimi ninavyoteseka juu yako...[emoji11][emoji11]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Jamani thank you rafiki, ila hako ni kaavatar tu hakafanani na mimi hata kidogo😉😍😍Ila Kuna kademu kanaitwa huduma za kimihamala financial services kana macho flan ya confidence na aibu flani hiv za kike kike,
Naamini anafanana na avatar yake
Nauhakika hatakuwa na chura flani hivi mchomozo,
Sio mimi huyoNishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Umemissika pia mama mchungaji. Tangu KLM atelekeze wafuasi wake, kukutana humu imekua ngumu sana. Naona kuna ndugu yetu hapo juu amekufa alafu akaoza hahaaa!Mimi sikuachi eti hadi uandike tena bila kufuta. Umemissika MOTP
Yaani hata kuwa mke wa 3 ningekubali tu ila ndiyo hivo umejifunga mpaka kifo kije kiwatenganishe basi tena😜Hahahahahaaa. Sijui nilikuwa nawahi nini!! Ningekuwa upande ule mwingine ningekuongeza tu ukawa mke mdogo[emoji1][emoji1].
Asante kwa upendoo, you keep on being here rafiki. Kuna watu ni baraka kuinteract nao and you are one of them.
Acha utani basi kwanini umefuta namba yanguKuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Aisee nisamehe mimi, nimeshinda salama habari yako pia?Momy umeshindaje leo?
Nimekumiss sana aisee! Ila shida moja had mm ndo nianze kukusalimia daily. Inauma basi tu.