Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Unatuhumiwa kwa kosa la unyanyasaji wa Kimapenzi.
Umemsababishia binadamu mwenzako maumivu na mateso ya roho na mwili,umemfanya aishi bila furaha na kwa unyonge kwa muda mrefu.

Adhabu.
Mrudishie furaha kwa kumuuliza anataka umfanyie Nini,akikutajia tekeleza.

Usirudie Tena kutesa binadamu wenzio.
Mi hata sikujua Kama ananipenda, hlf ujue na mimi kuna mtu nampenda ila yy hanipendi. Life is not fair
 
Mi hata sikujua Kama ananipenda, hlf ujue na mimi kuna mtu nampenda ila yy hanipendi. Life is not fair
Nakusomea shitaka la pili.
Unatuhumiwa kwa jaribio la kujidhuru,kujisababishia maumivu ya roho na mateso na kujinyima raha na furaha ya akili kwa sababu za uoga na uzembe wa kutotaka kufunguka juu ya mtu huyo.
Kama ilivyonenwa hapa juzi Kati,"Raha jipe mwenyewe".

Sasa nakuamura rudisha Raha yako kwa kufanya hivi.

Mtafute fargha huyo muungwana.
Mwambie kuwa ungependa akushauri Jambo Fulani kuhusu mateso unayopitia kwa masuala ya mapenzi,mweleze Kuna mtu unapendezwa nae lkn huwezi kumwelezea.akushauri,ushauri wake ndio yatakupa dira na mwelekeo.
Akitoa ushirikishwaji mtafute. Live kwa dinner.
Akikubali wewe Ni mtu mzima utajua Cha kumalizia.
Ikumbukwe kuwa Simba Ni mkali lakini anazaa.
 
Nakusomea shitaka la pili.
Unatuhumiwa kwa jaribio la kujidhuru,kujisababishia maumivu ya roho na mateso na kujinyima raha na furaha ya akili kwa sababu za uoga na uzembe wa kutotaka kufunguka juu ya mtu huyo.
Kama ilivyonenwa hapa juzi Kati,"Raha jipe mwenyewe".

Sasa nakuamura rudisha Raha yako kwa kufanya hivi.

Mtafute fargha huyo muungwana.
Mwambie kuwa ungependa akushauri Jambo Fulani kuhusu mateso unayopitia kwa masuala ya mapenzi,mweleze Kuna mtu unapendezwa nae lkn huwezi kumwelezea.akushauri,ushauri wake ndio yatakupa dira na mwelekeo.
Akitoa ushirikishwaji mtafute. Live kwa dinner.
Akikubali wewe Ni mtu mzima utajua Cha kumalizia.
Ikumbukwe kuwa Simba Ni mkali lakini anazaa.
😂😂😂 Sawa ndugu hakimu
 
Hahahahahaaa. Sijui nilikuwa nawahi nini!! Ningekuwa upande ule mwingine ningekuongeza tu ukawa mke mdogo[emoji1][emoji1].

Asante kwa upendoo, you keep on being here rafiki. Kuna watu ni baraka kuinteract nao and you are one of them.
Yaani hata kuwa mke wa 3 ningekubali tu ila ndiyo hivo umejifunga mpaka kifo kije kiwatenganishe basi tena😜

It feels good to hear from you rafiki, uzidi kubarikiwa👏
 
Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Acha utani basi kwanini umefuta namba yangu
 
Back
Top Bottom