Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha Hebu niachien kipenzi changu cha JF.(huyu sijui nani anambana siku hizi loh amepotea ajabu)Jamanii ni chako changu nimefungua code hahaha
Sana aiseh...Aise kumbe Tuko wengi
Sasa yule anayekujaga kule selfika ni wewe au yupi? Na yule aliyetuma picha siku ile ni wewe?Tuwe makini tu Mkuu Kaboom, binafsi hii ID hii imetumiwa na watu wengi kwa nyakati tofauti-tofauti ( MALCOM LUMUMBA) ni zaidi ya mtu mmoja hivyo siyo rahisi kukishawishi kikundi cha watu. Lakini ningekuwa mimi peke yangu huenda ningekuwa nishashawishika na ofa zinazotolewa. Tanzania is not a safe country anymore, but most people do not realise this: We live in a de-facto Mafia State full of malignant and evil people.
OhoooSasa yule anayekujaga kule selfika ni wewe au yupi? Na yule aliyetuma picha siku ile ni wewe?
Huyu ndio muhusika nina uhakika asilimia95😂Hahahahahaha Hebu niachien kipenzi changu cha JF.(huyu sijui nani anambana siku hizi loh amepotea ajabu)
Aise siwezi kumtaja huyu Memba humu ndani hata iweje.afe beki afe kipa sitomtaja
Hiyo code hutokuja fungua aise
Huyo masta nimeanza kukutana nae last year August if am not mistaken..wakati huo yule nilikuwa nikimuelewa alikuwepo siku mobu.Huyu ndio muhusika nina uhakika asilimia95😂
Hapo umenena kuna kajamaa kanajiita infantry soldier kalikuwa kanakuja sana PM niliwahi kukastukia kuna Siku alifanya jaribio la udukuzi nilistukia kwenye email address fake nayotumia kuna notifications nikaacha amalize kazi yake
Duuuh patamu hapo! Ndiyo maana jamaa huwa simuelewielewi pigo zake!Hiyo ndiyo sababu ya Ibrahim infantry soldier kuniwinda ila nilimuwekea mtego wa kumjua na nishamjua
Ushawahi hata chit chat Naye mahaliHahahahahaha Hebu niachien kipenzi changu cha JF.(huyu sijui nani anambana siku hizi loh amepotea ajabu)
Aise siwezi kumtaja huyu Memba humu ndani hata iweje.afe beki afe kipa sitomtaja
Hiyo code hutokuja fungua aise
Acha tu My dearSana aiseh...
Sikuwahi kujua hata wewe huu ugonjwa wa kichaa unakupataga[emoji2][emoji2]
Imebidi niulize! Maana ni wengi tumefanya huo mchezo!Ohooo
😀😀 Huwezi just, labda ndo hiyo body niliyoipendaNimejicheki kwenye kioo vyote ninavyo ila tatizo hilo body sasa
ķweli si mimi
Unatakiwa kunipa pole, si kwa kicheko hicho 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuuu mbona unaniharibia tena...Kakusema wewe mzee wa kula kimasihara? [emoji3] acha kujipendelea
Kumbe unaangalia sura aisee...BET LOST maini!Sema wanaume wengi wa Arusha mnakuwaga wazuri wa sura aisee
Sahivi mi ni mwanamkeWewe si umesema Ni mwanaume.. mbona sura za wanaume tena "zinamatter" kwako?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una chura?
Ngoja kwanza leo nitangulize picha kabla ya kuonana![emoji16]Npenda Sanaa bloang Behaviourist I wish kumwona one day[emoji23][emoji23]
Mulemule![emoji16]
😂😂😂😂ndo maaanaHahahaha wauza simu kumbe wanapenda ile mikate ya kanye West! 🤩🤩🤩
Mie si simba damu mama la mama