Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Tuwe makini tu Mkuu Kaboom, binafsi hii ID hii imetumiwa na watu wengi kwa nyakati tofauti-tofauti ( MALCOM LUMUMBA) ni zaidi ya mtu mmoja hivyo siyo rahisi kukishawishi kikundi cha watu. Lakini ningekuwa mimi peke yangu huenda ningekuwa nishashawishika na ofa zinazotolewa. Tanzania is not a safe country anymore, but most people do not realise this: We live in a de-facto Mafia State full of malignant and evil people.
Sasa yule anayekujaga kule selfika ni wewe au yupi? Na yule aliyetuma picha siku ile ni wewe?
 
Huyu ndio muhusika nina uhakika asilimia95😂
Huyo masta nimeanza kukutana nae last year August if am not mistaken..wakati huo yule nilikuwa nikimuelewa alikuwepo siku mobu.

Hakuna mtu hata mmoja anaeweza kubashiri aise..hakuna ..can u repeat after me please hakuna.

https://jamii.app/JFUserGuide hisia
 
Hapo umenena kuna kajamaa kanajiita infantry soldier kalikuwa kanakuja sana PM niliwahi kukastukia kuna Siku alifanya jaribio la udukuzi nilistukia kwenye email address fake nayotumia kuna notifications nikaacha amalize kazi yake
Hiyo ndiyo sababu ya Ibrahim infantry soldier kuniwinda ila nilimuwekea mtego wa kumjua na nishamjua
Duuuh patamu hapo! Ndiyo maana jamaa huwa simuelewielewi pigo zake!
 
Npenda Sanaa bloang Behaviourist I wish kumwona one day[emoji23][emoji23]
Ngoja kwanza leo nitangulize picha kabla ya kuonana![emoji16]
2021030004449.jpg
 
Back
Top Bottom