the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
- Thread starter
-
- #21
Mkuu hilo huwa linauma ila hapo jipige tu kiume bora uumie leo utasahau tu, kuliko kusubiri huko baadaye itakuumiza zaidi. Tunakosa wa ndoto zetu hivi hiviMimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
hahaha kwahiyo nilinyimwa tunda kimasihara?Ni kisingizio hicho 😅😅hakukupenda.
Wale nasikia misimamo yao haiyumbishwi mkuuKuna mdada mmoja alijaribu kunivutia kule wanaosali jmosi kisa tu nilitaka oa,nikasepa!
Ukikubali kubadilishwa dini utabadilishwa mpk na kabila, utakuwa wakugeuzwa tu....
Hiki ndicho kinachouma zaidi mkuuDah! Inauma sana afu unakuta umepata pisi kalii,bikra, afu inajielewa dah
ungekuwa umeshamuoa ndo ungekuwa na mamlaka ya kusema hivi.nimemkuta bikra.
hongera sanaHaijawahi...
Sijasoma mada, kumpoteza mwenza kwa maana ya yeye hakutaki au wewe ndiyo humtaki kwa sababu ya dini?Kiranga Scars Infropreneur min -me Mjuni Lwambo ulishawahi kumpoteza mweza kwasababu ya kutokuwa na dini?
Roma ilikuwa zamani, sasa hivi hamna kitu, mpaka mashoga ni mapadre hakuna lolote la kujivunia kwenye hilo gengekama sio mroma mapema
Uzinzi umejificha kwenye tamko la ndoa. Wasichana ni wahanga wakubwa kuharibiwa maisha kwa kudanganyiwa ndoa kumbe mwanaume anahitaji kutimiza tamaa zake. Kama ni mke/mume hasa, oana na wa dini yako tu.Kuna mdada mmoja alijaribu kunivutia kule wanaosali jmosi kisa tu nilitaka oa,nikasepa!
Ukikubali kubadilishwa dini utabadilishwa mpk na kabila, utakuwa wakugeuzwa tu....
My Wii wew unaweza kuwa royal Kuna wazazi wakatili balaa 😀 unaweza tamni Hama ukooDini zenyewe tumeletewa mimi wala siangalii hilo 😹
😃Mkuu hayajakukutaSijasoma mada, kumpoteza mwenza kwa maana ya yeye hakutaki au wewe ndiyo humtaki kwa sababu ya dini?
Vyovyote vile iwavyo, siyo rahisi. Labda awe mtoto wa shehe kwamba aogope kutengwa na ndugu zake.
Ukiwa na maisha mazuri na fedha za kutosha, atakubali kufuata dini yeyote utakayomuelekeza. Wanawake wanaangalia uhakika wa maisha mazuri kutoka kwa mwanaume, dini siyo sana.
Mimi haijawahi na ni vigumu kutokea kwa sababu wallet iko vizuri, na ndicho wanawake wengi wanaangalia.
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.
Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management
Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.
Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima
Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially
Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.
Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.
Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Kwahiyo tafsiri ya mtu sahihi ni dini?Mkishakùa dini tofauti huyo sio mtu sahihi