Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Mkuu hilo huwa linauma ila hapo jipige tu kiume bora uumie leo utasahau tu, kuliko kusubiri huko baadaye itakuumiza zaidi. Tunakosa wa ndoto zetu hivi hivi
 
Kiranga Scars Infropreneur min -me Mjuni Lwambo ulishawahi kumpoteza mweza kwasababu ya kutokuwa na dini?
Sijasoma mada, kumpoteza mwenza kwa maana ya yeye hakutaki au wewe ndiyo humtaki kwa sababu ya dini?

Vyovyote vile iwavyo, siyo rahisi. Labda awe mtoto wa shehe kwamba aogope kutengwa na ndugu zake.

Ukiwa na maisha mazuri na fedha za kutosha, atakubali kufuata dini yeyote utakayomuelekeza. Wanawake wanaangalia uhakika wa maisha mazuri kutoka kwa mwanaume, dini siyo sana.

Mimi haijawahi na ni vigumu kutokea kwa sababu wallet iko vizuri, na ndicho wanawake wengi wanaangalia.
 
Ta
Kuna mdada mmoja alijaribu kunivutia kule wanaosali jmosi kisa tu nilitaka oa,nikasepa!
Ukikubali kubadilishwa dini utabadilishwa mpk na kabila, utakuwa wakugeuzwa tu....
Uzinzi umejificha kwenye tamko la ndoa. Wasichana ni wahanga wakubwa kuharibiwa maisha kwa kudanganyiwa ndoa kumbe mwanaume anahitaji kutimiza tamaa zake. Kama ni mke/mume hasa, oana na wa dini yako tu.
 
Sijasoma mada, kumpoteza mwenza kwa maana ya yeye hakutaki au wewe ndiyo humtaki kwa sababu ya dini?

Vyovyote vile iwavyo, siyo rahisi. Labda awe mtoto wa shehe kwamba aogope kutengwa na ndugu zake.

Ukiwa na maisha mazuri na fedha za kutosha, atakubali kufuata dini yeyote utakayomuelekeza. Wanawake wanaangalia uhakika wa maisha mazuri kutoka kwa mwanaume, dini siyo sana.

Mimi haijawahi na ni vigumu kutokea kwa sababu wallet iko vizuri, na ndicho wanawake wengi wanaangalia.
😃Mkuu hayajakukuta
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje

Bikra yake uliyoikuta si bado ipo?

Ama uliichukua ukijua ni wa dini yako?
 
Back
Top Bottom