Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Nilipitia hili yaani ilikua tukikwazana kidogo mi naanza kulia najua kanikwaza sababu Sina mtoto du!! Yale maisha....Asante Mungu kwa kunifuta machozi aisee.
Ndoa nyingi ambazo hazina watoto huwa hazidumu. Mungu ampe kila mwanamke uzao wa tumbo lake.
 
Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge
Mmhh! Tembelea office za Umma ujaribu huduma zao,hapo ndiyo utajua Masikini Mama Samia ana kazi kubwa sana! Wanyonge huduma za bure lakini wanauziwa Kama kawa,na hawana pa kwenda kushitaki!!
 
Nachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...

Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..

Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..

Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.

Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.
Mdogo angu kula Karanga nakuja kulipa
 
CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.
 
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.
Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.
 
Back
Top Bottom