KazinjaTwo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2021
- 330
- 333
Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyongeThat's why Presdent Samia was declared hero of the world
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyongeThat's why Presdent Samia was declared hero of the world
Ndoa nyingi ambazo hazina watoto huwa hazidumu. Mungu ampe kila mwanamke uzao wa tumbo lake.Nilipitia hili yaani ilikua tukikwazana kidogo mi naanza kulia najua kanikwaza sababu Sina mtoto du!! Yale maisha....Asante Mungu kwa kunifuta machozi aisee.
Samia ndio jembe mchapa kazi bora na huyu mama nitampa kura yangu 2025Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge
CHADEMA Wajifunze siasa safi kama za Samia la sivyo wataishia kufa kisiasaSamia ndio jembe mchapa kazi bora na huyu mama nitampa kura yangu 2025
Mmhh! Tembelea office za Umma ujaribu huduma zao,hapo ndiyo utajua Masikini Mama Samia ana kazi kubwa sana! Wanyonge huduma za bure lakini wanauziwa Kama kawa,na hawana pa kwenda kushitaki!!Samia Mungu amlinde kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge
Vp na Tundu Lissu je, haumpi kura!?Samia ndio jembe mchapa kazi bora na huyu mama nitampa kura yangu 2025
Mdogo angu kula Karanga nakuja kulipaNachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...
Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..
Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..
Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.
Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.
Hahahahaaaa, kwanini mkuu?Mdogo angu kula Karanga nakuja kulipa
Rais Samia anafanya kazi kubwa saaaana huyu kipenzi chetuSamia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Bila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilioneaRais Samia anafanya kazi kubwa saaaana huyu kipenzi chetu
Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloniBila Rais Samia na JPM kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilionea
Rais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwaRais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni
Shauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kuraRais Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tuShauri yao Chadema, sisi Watanzania wote 2025 tupo na Rais Samia tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kura
Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.Kumpinga mtu Mzalendo kama Samia ni kujitakia dhambi tu
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.Rais Samia hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.CHADEMA kumpinga Samia ni kujidhalilisha tu kwa maana amefanya kazi kubwa huyu mama yetu.
Hii sasa chai unaleta!!Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.
Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.