Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Pamoja kamanda ndo maisha!Mkuu, tumekutana tu humu JF lakini I can feel what you're going through. Pole kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja kamanda ndo maisha!Mkuu, tumekutana tu humu JF lakini I can feel what you're going through. Pole kaka.
Ana umri gan uyo mama ako mdogo?Huwa nikiona hizi mada za kukosa watoto naumia Sana Kuna mama yangu mdogo(mke wa bamdogo) wamefunga ndoa mwaka 2006 mpaka Leo hajabahatika kua na mtoto wakati wa mwanzo wa ndoa alikua so charming na NI mrembo Sana,anakuja nyumbani kututembelea,tunaenda kwake kila mtu alikua anampenda yaani,kadri miaka ilivyokua inaenda akawa anabadilika Kuna function za familia akawa hashiriki Tena, akawa mtu wa hasira kipindi flani akajaribu kujiua bahati nzuri aliokolewa mwaka juzi mdogo wangu anayenifuata alipata mtoto nakumbuka wazo la kwanza akilini mwangu nilijiuliza sijui mamdogo alijisikaje aliposikia mwanaye amepata mtoto yeye bado maskini.
Huwa namuwazia Sana sijui kwanini.
Mungu awape kicheko wanawake wote mlioko kwenye ndoa na mnahangaika kutafuta watoto
Mkuu, isije kuwa unamfahamu personally au labda wewe ndio mumewe/baba mdogo.
Hapana, nataka kutoa ushauri boss.Mkuu, isije kuwa unamfahamu personally au labda wewe ndio mumewe/baba mdogo.
Sawa mkuuHapana, nataka kutoa ushauri boss.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama QatarHizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
41yrsAna umri gan uyo mama ako mdogo?
Dada yangu alipata mtoto akiwa 44 years. Mwambie huyo mama asikate tamaa.41yrs
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera SamiaMiaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Samia
Asante Rais Samia wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanuneUtafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Hongera Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa katiHizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Wameshatupiga ndiyo wanampongeza Mama! Tunataka Win Win situation,ili wote tupongezane kwa pamoja,siyo wao watupongeze sisi tu,lazima tujiulize Mara mbili kwanza kwa nini wanaharaka ya kumpongeza Mama hata bado kaujenzi robo kufika!?Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Maisha hayafanani, siyo kila Askari atakufa vitani, wengine wata survive!Pole sana kaka mkubwa. Mbona sisi ambao hatujaoa mnatutisha hivi?
Samia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwaUtafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Samia anafanya yaliyowashinda viongozi wengi sana wa AfricaSamia anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Rais Samia anafanya vitu vikubwa sana ambavyo chadema na ACT ya Zitto kamwe wasingeweza kuvifanyaSamia anafanya yaliyowashinda viongozi wengi sana wa Africa
Hahahahaaaa, mkuu I am very sorry kwa maana ningesema niwataje woooote wenye busara humu JF, hakika mada ingekuwa ndefu mnooKoo si wengine hatuna busara zaidi ya hao uliowataja?! MUNGU akuongeze sifa uzidi kutuchukulia poa.
That's why Presdent Samia was declared hero of the worldRais Samia anafanya vitu vikubwa sana ambavyo chadema na ACT ya Zitto kamwe wasingeweza kuvifanya