Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka jana walijuta sana.
 
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka jana walijuta sana.
Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
 
Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
 
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
 
Ni sahihi sana mkuu! Ndoa zina baraka kubwa sana, ila kunavitu lazima uvipitie ili upate ukomavu na Mungu lazima aruhusu upimwe ili kujua thamani yako kwake

Watu ambao hawako kwenye ndoa nirahisi sana kupata watoto ila kwenye ndoa nyingi ni mtihani. Wengii wanao tupa watoto wako nje ya ndoa lakin surprisingly enough wenye uwezo wa kulea na kutamani itokee kwao wanakosa.

Kuna rafiki yangu amekaa kwenye ndoa miaka 9 na mwaka wa 10 huu mke wake ana mimba kubwa tu...

Ukikosa isiwe sababu ya kuanzisha migogoro ambayo haina kichwa wala miguu kwa lengo la ku-quiet ndoa... Hicho ndicho kipimo cha upendo. Huo ndio wakati wa kuonesha kwajinsi gani unajua kupenda hata kama hamna vitu
 
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
 
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.
 
Back
Top Bottom