Teddy1
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 213
- 201
Hakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Samia.
Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama laoHakika Rais Samia anaipaisha Dodoma na kuipendezesha sana huyu mama.
Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.Samia ndio mwamba na vijana wanamuita mama lao
Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.Wageni karibuni Tanzania chini ya Mzalendo Samia.
Utanioa lini baby wangu?Ni kweli
Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.Kwa hii CCM ya mama Samia, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98% ifikapo 2025.
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka jana walijuta sana.Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka jana walijuta sana.
Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
AminaHotep Hotep Wakushi. Ndoa bila mtoto ni mtihani mkubwa, Mungu awape watoto wale wote waliopo ndoani. Awape amani, uvumilivu na kuheshimiana. Hotep Hotep
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.
Pole nduguNilipitia hili yaani ilikua tukikwazana kidogo mi naanza kulia najua kanikwaza sababu Sina mtoto du!! Yale maisha....Asante Mungu kwa kunifuta machozi aisee.
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Samia.Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.
Samia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloni.Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Samia.
Kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno.Samia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloni.
Rais Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda Mjerumani miaka hiyo anaitawala Tanganyika.kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno.