Kuna mazoea ,tu unajikuta umeomba mzigo 7nashangaa imo tayari Kuna mke watu mpk sasa Nina mahusiano naye tulianza km utani vileUsipokuwa na pesa ,shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
You're such a gentleman, mke wa mtu siyo kabisaKuna binti mmoja alikuwa demu wangu. Alikuwa na haraka za kutaka nimuoe mi nikawa bize na school, nikamruhusu aolewe.
Baada ya miaka nakutana naye ameshaolewa na mtoto na wana maisha mazuri. Cha ajabu anataka nimle mzigo.
Analazimisha kweli, ananilalamikia mpaka analia. Hapo ndio naamini kwamba hawa wanawake ni viumbe wa ajabu sana, Mungu atupe nguvu ya kushinda mitego yao.
Siwezi kula mke wa mtu aisee, its unfair kwa mwanaume mwenzangu hata nafsi inakataa kabisa.
Ahaha ndio ivyo wengine wakivibe inn hawasemi...na nyege mbaya sana... Ila saivi sipigi tena na nimemtandika block.. Sitaki ugomvi na watu ndugu yangu....Hahaa hivi unajua mimi mwenyewe ni mwanamke pia, ulivyo comment ni kama unahisi me mwenzio 😀 so kimasikhara hivo na out za hapa na pale mke wa mtu analiwa. Duh
Itakurudia Kama sio ww mwanaoKwa bahat mbaya akat amenifumania tunapambana nilimsukuma ajapiga kisogo kwenye ubao wa kitanda akakata moto alipokuja kuzinduka adi leo hii hana mtandao hakumbuki chochote kile katika maisha yake
Unajiskiaje???Kwa bahat mbaya akat amenifumania tunapambana nilimsukuma ajapiga kisogo kwenye ubao wa kitanda akakata moto alipokuja kuzinduka adi leo hii hana mtandao hakumbuki chochote kile katika maisha yake
Tupe kisa mkuuuu 😁😁View attachment 2610730Haya mambo haya
Hizo sio za kugusa, sijawai kutamani.Bora nitembee na mwanafunzi sio mke wa mtu.
Limekata moto kwa maan ya kua lilikufa?Hizo sio za kugusa, sijawai kutamani.
Kuna limoja toka kigoma choo chetu cha nje akitoka chooni anazama gheto kavaa kanga moko.
Hana chupi wala kingine anasema nipige kimoja chap.
Dah nikimfikiria mumewe mtu poa sana muhangaikaji hana noma na mtu.
Nikawa namtimua.
Jamaa nahisi alilogwa yule
Lile janamke lizuri kweli lina nya balaa ila ndo hivyo tena
Limekata moto.
Hamna lilikua fyatu fyatu labda sa hizi halipo.Limekata moto kwa maan ya kua lilikufa?
Unajua alipo kwa sasa?Hamna lilikua fyatu fyatu labda sa hizi halipo.
Ilikua kipindi mkuu
Wapo marijali wengi tu... usitusemee wengine bhana. Yusufu mbona alikua rijali na alikwepa?Wake za watu ni simple sana kula hasa hawa wenye marejesho ya Vicoba na kausha Damu...
mi kuna mmoja kaahidi kunizalia ila kasema tutunze SIRI[emoji28][emoji28][emoji28]
jamani wanawake heshimuni ndoa zenu, hakuna mwanaume rijali anaekwepa mtego wa mbususu
40Siku za mwizi .........!
Naongea ilikua miaka ya 90 ntajuaje alipo leo?Unajua alipo kwa sasa?
Why wanawaogopa? Unaonesha Wamakonde mlivyo hamna akiliNiliendelea tu mpaka msimu ulivyoisha kuna kitu kikinipa nguvu kidogo ni kwamba ile nyumba mzee sio yakwake ni ya yule mke ndio maana sikuogopa sana yule mama alikuwa ananiambia hakuna chakutufanya yule mzee,halafu pia kule umwerani wanatuogopa mno wamakonde na wiki 2 zijazo naenda tena msimu umeanza na nitafikia nyumba ile ile
Kumsema vibaya mume wake? Kumsema maneno kama yapi?Ni kweli mke wa mtu kuna wakati unamnogesha mpaka unaona anahamisha upendo kwako na kuanza kumsema vibaya mume wake hapo kidume usijisifu ujue muda wa kufumaniwa unakaribia wanawake huwa wanaongozwa na hisia sana cha kufanya mpotezee
HamjaliKumsema vibaya mume wake? Kumsema maneno kama yapi?
Tatzo kuna mda wanawake wenyewe hawasemi kama wameolewa wao wanatoa mbususu tuWell said,
mtu yeyote anaetembea na mke wa mtu hajatumia akili,
Hasara ni nyingi kuliko faida
Sio suala la kujivunia