Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Tatizo, ulikula faida ya NDOA kabla ya ndoaπŸ˜‚πŸ˜‚. Msikilize Mch. Mgogo hapa

 
Muda wa kufanya hayo yote ndio kipengele

Tuna jukumu kubwa la kutafuta pesa na maendeleo kwa ajili yao
 
That lady she's never loves you,women likes sex vividily to man has feeling with.You've too much expectation on marriage.You 'll struggle on that union untill your last breath!
It' s matter of time, I will take Strong decisions
 
Swala la kuzaa ni mipango, sio kila anayeoa anahitaji apate mtoto haraka haraka

Jambo la msingi, nilimuambia kabla na akakubali unless angekataa ningefanya maamuzi mengine
 
Huyu mleta mada ni mjinga sana. Mwanamke anamwambia anataka wazae yeye anadai yuko bize kutengeneza maisha.. kulikuwa na haja gani ya kumuoa?
Unadhani lengo la ndoa ni kuzaa tu??

Kila mtu ana mipango yake katika ndoa.

Pia si kila mtu ana plan yake ya kutengeneza familia

Jambo la msingi nilimuambia uhalisia wangu, angenikatalia mapema

Lakini kukubali halafu anakuja kukataa baada ya kuolewa ni usaliti.
 
Mtaani watu hawapendi kuonekana kama wanapitia magumu ktk ndoa ila wengi wanavumilia. Hapa kuna utambulisho wa bandia watu wapo huru kuongea ukweli. Usipuuze hata moja aliloandika mtoa mada kabla hujaingia huko.
Ale vyuma hivyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asije kusema hajaambiwa
 
Nishamwambia bi Mkubwa mwakani labda naandaa mabuti ya jeje na Kombat niingie nayo huko nikapambane πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mwambie bi Mkubwa ule mchongo niliokuwa nausikilizia, upo njiani kutiki. Asipokee posa yoyote, isipokuwa yangu πŸ˜…πŸ˜…
 
Pole
 
Swala la kuzaa ni mipango, sio kila anayeoa anahitaji apate mtoto haraka haraka

Jambo la msingi, nilimuambia kabla na akakubali unless angekataa ningefanya maamuzi mengine
Unavyonibishia ndo unazidi kuonyesha madhaifu yako. Wewe unadhani akili za mwanamke ni kama zako? Hivi pia ndo unavyombishia mkeo... acha aendelee kukunyima papuchi na wahuni wamtundike mimba. Acha ujinga aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…