Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Mpwa Leo miwa dayπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Salama lakin
 
Zije na stori za hiv, sio negative tuu.
 
Complex creature[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kinaweza kukuonyesha wrong signals kwa makusudi ili akuingize chaka
 
I thought mbususu would available any time t, niliwaza kitoto sana. Upo kwa ndoa lakini unaweza kunyimwa tu kama kawaida na ukalala na ugwadu wako aiseee!

I thought I was marrying her, kumbe nimekusanya familia mbili na yangu ya tatu, noma sana.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Vijana inabidi walijue hili kabla ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…