Jinsia gani kwani?Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Ni vile hujatambulishwa tu mzee wako halisi. Mimi nliwalea muwe wanaume kama mimi siyo mabwabwahSiku ukiwa na mtoto huta andika hayo
Good question....π€Baba yao iko wapi?
LoohππTafuta mapicha ya kutisha tisha bandika ukutani mafuvuπβ οΈβ οΈπ½majeneza, madragons.
Watapakimbia wenyewe usiku...π
Ila nyieeπ€Kuna lile jicho la mwana ukome wazaz wa kike mnaelewa ukimpa mtoto ambaye Hana madekezo anaelewa Hilo jicho la mama linamaanisha nin
Kama hujui kutoa saut Kwa mtoto au watoto wako wewe ngojea fedheha siwez ongea na mtoto mara mbilimbili kama vile nabembeleza anyonye Kofi moja anaendanalo Hadi kitandan [emoji51]
wewe hamia kwenye cumba chao watakuffuata,wakikufuata rudi chumbani akwako hawatakufuata!!Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yanguNdo mnalea mashoga na matahirah.... Ni aibu hata kuandika haya maneno....
Kama watot wanaitwa junia au precious jua una kazi maana Hawa watot Huwa hawaskii kabsaaHebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Hama ww nenda chumba kingine waachie huko/ wakikufata huko unawaacha unarudi kwa mwanzo.Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulalaSisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogo
Tunawekaga shuka kutenganisha sehemu ya wazazi kunyanduana na sehemu ya watoto kulalaSisi wengine hatuna ushauri maana hicho chumba cha pili hakipogo
Kuweka uso wa mbuzi piaNgoja nijaribu hili inaweza kuleta matokeo mazuri
Demi naomba mtoto..Mnawadekeza sana watoto.
Ni kuwakunjia tu sura na kuwaambia ni marufuku kulala chumbani kwangu. Watoto wanaelewa.
Huyo wa miaka minne akielewa basi na mdogo wake ataelewa taratibu.
Hebu naomba mnisaidie hapa jaman ili niweze kuwahamisha hawa Watoto chumbani kwangu (Miaka 4&2). Imekuwa vita ya muda mrefu sana hawataki kulala kwenye Chumba chao, wanalazimisha kuendelea kulala kwangu
Hata nikisubiri walale halafu niwahamishe wakishtuka kwenye zoezi la kuhamishwa mtanange unaanza upya, walalia kama ndio wanakufa siku hiyo π π π πππ
Wenzangu mlifanyaje kwenye hili?
Unawaharibu hao watoto. Otherwise watafutie baba awe anakusaidia. Yaani unashindwa waambia fanya ABC wakafanya? Ndo matokeo yake tunaona kizazi cha sasa hivi kimelegea legea. Sisi ukoo wetu tusingeruhusu huo upuuzi. Ni ukoo wa Simba. Uliingia leba utuzalie mchekea? No way. Mimi sitoruhusu huo ujinga na ukiendelea na huu wazimu nitakuadhibu wewe na kumwambia aliyekuzalisha achukue vitoto vinaharibiwa.Pole sana na tena ukome kuita kizazi changu ni mashoga na mataahira..... Hukunisaidia kuingia leba sasa hayo maneno yako yaelekeze kwenye kizazi chako na ukoo wako najua Kuna mapungufu mengi kayafanyie kazi. Nakuonya koma niseme mimi ila wanangu waheshimu sana sipendi ujinga narudia staki kuingiziwa ujinga kwenye familia yangu