Ulivyokuwa mdogo ulikuwa na ndoto ya kuja kufanya kazi gani?

Ulivyokuwa mdogo ulikuwa na ndoto ya kuja kufanya kazi gani?

Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi![emoji81]
Nilitamani kuwa dr , mwisho wasiku nikasomea ukunga [emoji16] pcb ya kipndi hicho sio mchezo, 4 years udom,mwisho wa siku nikatemana na kazi nipo tu kitaa nina beti.
 
Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.

Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.

Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.

Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Rais wa JMT.
 
Mimi kusema kweli nlitaka tu kuwa dereva hasa hasa wa malori ya masafa ili nitembee niione dunia.
Nmefika class 7 nkwambia mshua mi shule staki tena nataka kuwa dereva.
Akanipeleka seminari.
Nmemaliza form 4 nkakumbushia, akaishia kunitaftia leseni na kuniambia umri wa kuendesha lori bado miaka 3 kwaio nenda advance kwanza. Nkajidanganya nkaenda. Wooi, nmemaliza nkaishia kusomea udaktari.
But one day yes, ntashika chuma yangu nianze kuitalii dunia.
 
Back
Top Bottom