Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante kwa kukubali hilo....Mmh wanaume wenyewe mwanamke jobless hawampi airtime sana😂😂😂😂
Nipo upande wa Mzeee! Daktari ni bora.Mimi kusema kweli nlitaka tu kuwa dereva hasa hasa wa malori ya masafa ili nitembee niione dunia.
Nmefika class 7 nkwambia mshua mi shule staki tena nataka kuwa dereva.
Akanipeleka seminari.
Nmemaliza form 4 nkakumbushia, akaishia kunitaftia leseni na kuniambia umri wa kuendesha lori bado miaka 3 kwaio nenda advance kwanza. Nkajidanganya nkaenda. Wooi, nmemaliza nkaishia kusomea udaktari.
But one day yes, ntashika chuma yangu nianze kuitalii dunia.
bado ipo kumbe??😂Bado safari ndefu, Niko mbali sana na ndoto yangu ya kuwa Raisi.
Social welfare officerNdo kazi gani wakili au
Padri. Niachana na hayo mawazo baada ya kufukuzwa seminary.Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!😹
Ipo nasubiri katiba mpya.bado ipo kumbe??😂
Thank you.I pray for you!
you're bluffing bro😂Ipo nasubiri katiba mpya.
Maisha ya tz ni kubeti , unalima unabeti mvua inyeshe , unafungua biashara unabeti wateja waje , wasipo kuja mkeka wa sku unachanika , unafungua mgahawa una bahatisha wateja waje wasipo kuja chakula una mwaga , unabeti Mungu yupo na haujawahi mwona ili ukifa ubeti kwnda peponi , unabeti unaenda kulala , kesho ukiamka utafanya jambo fulani na hauna uhakika kama utaamka, maisha hauwezi yatenga na kubeti hasa nchi zetu za ulimwengu wa tatu.Kubet sio kazi
I got your point!Maisha ya tz ni kubeti , unalima unabeti mvua inyeshe , unafungua biashara unabeti wateja waje , wasipo kuja mkeka wa sku unachanika , unafungua mgahawa una bahatisha wateja waje wasipo kuja chakula una mwaga , unabeti Mungu yupo na haujawahi mwona ili ukifa ubeti kwnda peponi , unabeti unaenda kulala , kesho ukiamka utafanya jambo fulani na hauna uhakika kama utaamka, maisha hauwezi yatenga na kubeti hasa nchi zetu za ulimwengu wa tatu.
Kwanini bro?you're bluffing bro😂
bora hata huyo anaeuza duka la dawa anajua ana kazi ya uhakika. Wengine tunatoka asubuhi na bahasha kubwa kuwa tunaenda kazini halafu ukifika kituoni unaweza leo niende wapi.Nimemkumbuka rafiki yangu alikua na maono ya kua Pilot alikua anasoma kishenzii yaani. Sasa hivi anauza duka la dawa😂