Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Upadre ulikuwa damuni nilikuwa nahudumia mbele pale mda mwingine nilikuwa naiba ekarist ambazo azijabarikiwa na vitaamba naenda nyumban nachukua misale ya kanisa naanza kujiimbisha mpka mam akawa anasema utakuwa chiziNdo kazi gani wakili au
Kwa. Njia yake pamoja nae na ndani yaake wewe Mungu baba mwenyezi unapata heshima yote na utukufu hata milele kwahiyo sisi pamoja na jeshi la malaika wa mbinguuni tunaimba utenzi wa utukufu tukisemaaa bila mwishoooooo
Nakamaliza shule nikata kwenda kuwa bruda mpaka form nikachukua mam akanikataza akaita watu na watu kuongea na mimi dah ila nikiwaonaga naona wivu sana
AsanteHongera!!