Nilitamani kuwa dr , mwisho wasiku nikasomea ukunga [emoji16] pcb ya kipndi hicho sio mchezo, 4 years udom,mwisho wa siku nikatemana na kazi nipo tu kitaa nina beti.Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi![emoji81]
itabidi watz tuzoee mambo ya kujiajiriKuolewa sio kazi
Rais wa JMT.Leo nimekumbuka kipindi nipo mdogo nilikua na ndoto ya kuja kua Miss Tanzania.
Akili yangu yote ilikua inajua Miss Tanzania ni kazi kama daktari, mwanasheria, mwalimu au kazi zingine.
Nilivyofika form 1 ndo nikajua kumbe sio kama nilivyodhani, hapo nikapata mawazo ya kua mwanauchumi mpaka sasa napambania ndoto yangu.
Mliotimiza ndoto zenu nyoosheni mikono juu tuwapigie makofi!πΉ
Nina weza pata bingo hakuna cha pole apo , bado napambana na mhindi jak port.Pole
how's that working out for you??πRais wa JMT.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.What's the long form of JMT?
lazima mikopo kausha damu ihusikeMtaji ndo kipengele.
Nikiwa mdogo umri gani? Mimi nilipokuwa chekechea nilikuwa na ndoto ya kuwa muuza duka ili nile pipi na biskuti muda wote.Kwahiyo umekua mchumi au muhasibu?π
Bado safari ndefu, Niko mbali sana na ndoto yangu ya kuwa Raisi.how's that working out for you??π
Mmh wanaume wenyewe mwanamke jobless hawampi airtime sanaππππitabidi watz tuzoee mambo ya kujiajiri
Nipo huku natatua kes za ndoa na researchUmeishia wapi sasa