Ulivyokuwa mdogo ulikuwa na ndoto ya kuja kufanya kazi gani?

Daaah,,,mwaka wa nne huu tangu niweke vyeti vyangu chini ya godoro. Ndoto zangu na nilichokisomea haviendani na hata ninachokifanya sasa nacho hakijulikani yani basi tu kikubwa nahema.
Usikate tamaa i hope siku moja utatupa ushuhuda wako humu jf.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] pale unapofanyia panatoshaaa napajua[emoji23]
 
Nilikuwa napenda kuwa mtengenezaji mabomu ya nyukilia (nuclear bomb) haya mawazo yalianza kwenye baruti..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…